QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Hivi bado hajaweka maana peniela nilikuwa naenda kuisomea club kila ikifika ijumaa
 
nasubiri ifike mbali kidogo, maumivu ya kusubiri yanatesa sana
Mh. Yani huyu LEGE kutesa watu kwake kama jadi,
Nadhani sio jadi yake lakini majukum yanam bana,

Lakino kwa hili, lege itakubidi Makonda akutafute[emoji35] [emoji35] [emoji35]

Umewageuza watu mateja
 
kaka mkuu wa dsm tafadhali pita hapa.. kuna mtu ana arosto za hadithi kwaiyo yaonyesha hiki ni kilevi flan hivi amaizing😀
acha aisee hiki kilevi ni sheeda
 
kaeni mkao wa kula story nyingine toka kwa mtunzi yule yule aliyetunga peniela now kaja na kitu kiitwacho queen monica. kutana na kijana AUSTIN JANUARY mtanashati na jasusi hatari anafanya mambo makubwa sana.

ALBERTOS kundi hatari linalotaka kuitawala dunia limeingia pia tanzania
Lege wewe ni Wa pekee ulitufanya kama mataje kwenye peniely, nasubr kwa ham mkuu
 
WAKUU TUSAMEHEANE AISEE NILIPATWA NA MATATIZO KIDOGO YA KIMAJUKUMU HIVYO NIKASHINDWA KABISA KUINGIA JF JAPO HATA KUSEMA NENO JUU YA MWENDELEZO WA HII STORY KWA MASIKITIKO MAKUBWA NIWAOMBE RADHI KWA KUSHINDWA KUKAMILISHA AHADI NILIYOIWEKA KWENU YA DOZI YA 10 MARA 3. NA MBAYA ZAIDI HATA LEO SITO WEZA KUIWEKA LKN KESHO ASUBUHI NAMAPEMA WEEK END ITAKUWA YA BURUDANI NITAWEKA VIPANDE VYA KUTOSHA.

TUKUTANE KESHO ASUBUHI.

MAISHA NJE YA JF SOMETIMES YANATINGA WAKUU NA KUWA KIKWAZO
 
WAKUU TUSAMEHEANE AISEE NILIPATWA NA MATATIZO KIDOGO YA KIMAJUKUMU HIVYO NIKASHINDWA KABISA KUINGIA JF JAPO HATA KUSEMA NENO JUU YA MWENDELEZO WA HII STORY KWA MASIKITIKO MAKUBWA NIWAOMBE RADHI KWA KUSHINDWA KUKAMILISHA AHADI NILIYOIWEKA KWENU YA DOZI YA 10 MARA 3. NA MBAYA ZAIDI HATA LEO SITO WEZA KUIWEKA LKN KESHO ASUBUHI NAMAPEMA WEEK END ITAKUWA YA BURUDANI NITAWEKA VIPANDE VYA KUTOSHA.

TUKUTANE KESHO ASUBUHI.

MAISHA NJE YA JF SOMETIMES YANATINGA WAKUU NA KUWA KIKWAZO
Nilivokuona kwenye notifikeshen unabembea, nikajua tayari, nimekuja ka teja kaona mtu kadonsha kete
 
Basi ngoja nifumbe macho
Watu wanavumiloaga kuchelewa kwa mishahara, lakini sio stori zako LEGE
 
Basi ngoja nifumbe macho
Watu wanavumiloaga kuchelewa kwa mishahara, lakini sio stori zako LEGE
kichwa kinanigonga sana wakuu yaani hapa naangalia laptop kimachale machale ngoja nijitahidi niwashushie japo mbili tatu za kulalia aisee za kukalibisha week end
 
Pole mkuu. Ila unatunyanyasa na mastor, hadithi hii imeanza niingia katika mishipa yangu ya damu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] (in prezdent joshua voice) anahahahahah
 
kichwa kinanigonga sana wakuu yaani hapa naangalia laptop kimachale machale ngoja nijitahidi niwashushie japo mbili tatu za kulalia aisee za kukalibisha week end
Mhhh weka mkuu. Siwezi kulala ni arosto ya queen monica[emoji17] [emoji17] [emoji17]
 
Back
Top Bottom