Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stori inaanza kunoga mdogo mdogo naona dalili za rais kuwamaliza kina Marcelomama monica mfatilie na raisi wa congo tabia yake kama kawaida yako
ngoja tuoneStori inaanza kunoga mdogo mdogo naona dalili za rais kuwamaliza kina Marcelo
Ukizubaaa heri inaweza ivuta subira[emoji17] [emoji17] [emoji17]subira yavuta heri
hahahahaUkizubaaa heri inaweza ivuta subira[emoji17] [emoji17] [emoji17]
Chezea wewe, watu wameanza kuovta subira toka ijumaa, wakijipa matumaini kuwa kitakua kipozeo chao wikiendi,hahahaha
hahaha nenda tu mkuuChezea wewe, watu wameanza kuovta subira toka ijumaa, wakijipa matumaini kuwa kitakua kipozeo chao wikiendi,
Leo nilipanga nisiende jumuia, itanibidi tu niende[emoji17] [emoji17]
Hamna namna mkuuhahaha nenda tu mkuu
wakuu muwe mnachungulia mkiniona nilitembelea jf nilikuwa nipo online na sijabandika story mnilaum sana.humu nikiingia lazima nitupie vitu wakuu. niliahidi bumpa to bampa lkn ndio hivyo mambo yanaingiliana lkn soon yatakaa sawaHamna namna mkuu
LEGE KASHAFANYA YAKE.
alituahidi bampa to bampa, na akili yangu nikaiweka bampa tu bampa[emoji17] [emoji17] [emoji17]
Kinachonikuta hapa
Hapa tumekuona mkuuwakuu muwe mnachungulia mkiniona nilitembelea jf nilikuwa nipo online na sijabandika story mnilaum sana.humu nikiingia lazima nitupie vitu wakuu. niliahidi bumpa to bampa lkn ndio hivyo mambo yanaingiliana lkn soon yatakaa sawa