QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Huyu jamaa naweza kumfananisha na wale jamaa wenye maboblishi ya town maana hawana tofauti. Mtu gani usiesikia wenzio wakiwa na shida, ningeweza ningekublock LEGE, yaani tusikuone humu. Bahati yako mimi sio md.
 
Huyu jamaa naweza kumfananisha na wale jamaa wenye maboblishi ya town maana hawana tofauti. Mtu gani usiesikia wenzio wakiwa na shida, ningeweza ningekublock LEGE, yaani tusikuone humu. Bahati yako mimi sio md.
Duh umechukulia personal sana kaka.
 
Wadau hebu njooni na huku kwa The bold ili mshushe jazba kidogo,kuna mambo mazuri yasiyo na kelele.
Digitaldrimzafrica
 
Jamaa kapatwa na nini tena jamani? Laptop haijapona?
 
Huyu jamaa naweza kumfananisha na wale jamaa wenye maboblishi ya town maana hawana tofauti. Mtu gani usiesikia wenzio wakiwa na shida, ningeweza ningekublock LEGE, yaani tusikuone humu. Bahati yako mimi sio md.
Hahhaahaha mkuu usifanye hivyo bana plz. hembu niambie hao maboblish ndio majamaa gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…