QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Mkuu Lege bora uwe unafanya suprise tu kuliko kutoa ahadi halafu unapotea....
 
Siwezi mkuu si adabu ni uzi wa jamaa na inawezekana ana makubaliano yake ya kuiweka hapa ni kazi ya mtu
Nsije nkatiwa ndani mimi buree
Ila wakuu ni buku 3 tuuu
 
Lege
Sinto kaa ni...........[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
 
Tunampataje uyo mtunzi maana lege kaisha legea ingawa tunashkuru kwa kushusha izo sehem nne
Hahahahaha mkuu hakuna.legezo wala nini.

Mm nishawambia mkienda jikoni msimsimulie mpishi utamu wa chakula wa huku sebuleni.mnaharibu mambo.
 
Hahahahaha mkuu hakuna.legezo wala nini.

Mm nishawambia mkienda jikoni msimsimulie mpishi utamu wa chakula wa huku sebuleni.mnaharibu mambo.
Lege tuwekee basi hiyo episode ya 5 jamaan [emoji134]
 
Uyu lege nikukamata na kumpiga vichwa haiwezekani anapita tu ata ashushi dude
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…