Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivii wewe huna elfu 3 au? Lipa kwa mtunzi lege alishadisplay no yake muda sana humuHuyu LEGE huyu.
Tuwekee Bac na cc hapaHivii wewe huna elfu 3 au? Lipa kwa mtunzi lege alishadisplay no yake muda sana humu
Mi nshamaliza sehemu ya 5
Tanzania ya viwonder
Siwezi mkuu si adabu ni uzi wa jamaa na inawezekana ana makubaliano yake ya kuiweka hapa ni kazi ya mtuTuwekee Bac na cc hapa
Ila wakuu ni buku 3 tuuuSiwezi mkuu si adabu ni uzi wa jamaa na inawezekana ana makubaliano yake ya kuiweka hapa ni kazi ya mtu
Nsije nkatiwa ndani mimi buree
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Lege bhana bora uende kibiti tu maana umekuwa na ahadi za kampeni
Hahahahaha mkuu hakuna.legezo wala nini.Tunampataje uyo mtunzi maana lege kaisha legea ingawa tunashkuru kwa kushusha izo sehem nne
Lege tuwekee basi hiyo episode ya 5 jamaan [emoji134]Hahahahaha mkuu hakuna.legezo wala nini.
Mm nishawambia mkienda jikoni msimsimulie mpishi utamu wa chakula wa huku sebuleni.mnaharibu mambo.
Sa ngapi sasa amsha popo nini tumekumiss ujue legeHaina shida
Mzima mamaSa ngapi sasa amsha popo nini tumekumiss ujue lege