Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Big up mkuu Graph endelea!Wataendeleza wazee wa kazi. Nimefanya kiherehere cha kuwaonjesha tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Big up mkuu Graph endelea!Wataendeleza wazee wa kazi. Nimefanya kiherehere cha kuwaonjesha tu.
Graph theory maliza mchezo mkuuWataendeleza wazee wa kazi. Nimefanya kiherehere cha kuwaonjesha tu.
Si Ndo maana kaileta ili na sisi badaye tujiongeze kwa kutopenda vya bure muda wote unaonjeshwa na ikifika mahali na wewe unajiongeza sio lazima huyo lege akwambie ununue vitu vingine vya kujiongeza ili na mtunzi na yeye apate ela ya kununua maji ya kunywa sio unajikunja mgongo muda wote na kwa season zote hizo afu watu hawajiongezi hata kama ni wewe huwezi fanya hivyo kwa lege anayo tayari season 8 ila anasubiri kwanza na nyie mjiongeze kidogo bhana sio vya bure muda wote kuwa na uelewa wa mbali wa kuchanganua mambo kwa jicho la tatu.Acha upaka pori wewe....Lege angeibania kuileta uku ungeijua wapi? watu wengine hamnazo aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataendeleza wazee wa kazi. Nimefanya kiherehere cha kuwaonjesha tu.
[emoji134] [emoji134]kama austin hakumuoa Monica basi mtunzi amekosea sana
Ulichokifanya siyo fair kabisa, ifute hiyo thread ya hilo file....Kama kutuma ungetuma pm kwa kila muhusika.Mzigo huo hapo pakueni
Mbududa njoo basi !Ulichokifanya siyo fair kabisa, ifute hiyo thread ya hilo file....Kama kutuma ungetuma pm kwa kila muhusika.
Mkuu shusha story kama vipi!Ulichokifanya siyo fair kabisa, ifute hiyo thread ya hilo file....Kama kutuma ungetuma pm kwa kila muhusika.
Mbududa katoa vitisho halafu kasepa!
Mkuu unachangiaje kitu ambacho hakipo hapa.Sasa unategemea sisi ambao hatujasoma tuchangie nini?Wewe ni sawasawa na mtu anayesikiliza mziki kwenye headset halafu unatafuta maoni ya huo wimbo kwa watu wa pembeni!Nmeisoma,
Ni vyema watu wakaheshim taaluma za watu, patrick ni miongoni mwa watu wachache walio na kipaji cha pekee cha kuandika story,
Japo bado hawezi kufika kwa akina willy, ila tunaanza kupata mbadala wake taratibu....
Ikiwa ataendelea hivi na sifa zisimlevye kama wengine atakuja kuwa na mafanikio makubwa sana,
Ni vyema akaziondika story zake ktk vitabu ili kutunza kumbukumbu kwa kizazi kijacho,
Ikiwa ataruhisi, tunaweza kufanya hariri, uhakiki na tathimini, ili tuiweke story katika maudhui halisi,
Huenda tukapata vitu vzr vya kujifunza kama taifa, maana humo ndani yapo mambo mengi sana....
Kikubwa ni pongezi kwa patrick,
Wengi namna ya kuhitimisha story huwa inawashinda, na mtunzi mzr ni namna ambavyo anaimalizia story, (kwa mtazamo wangu) najua wengine hamjaisoma ufanisi uongezwe umaliziaje bado si mzr sana...
Tutahakiki wote tukimaliza
................................................
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa....Mkuu unachangiaje kitu ambacho hakipo hapa.Sasa unategemea sisi ambao hatujasoma tuchangie nini?Wewe ni sawasawa na mtu anayesikiliza mziki kwenye headset halafu unatafuta maoni ya huo wimbo kwa watu wa pembeni!
Mkuu mwisho nimeeleza vzr, kama ulisoma mpka mwisho..Mkuu unachangiaje kitu ambacho hakipo hapa.Sasa unategemea sisi ambao hatujasoma tuchangie nini?Wewe ni sawasawa na mtu anayesikiliza mziki kwenye headset halafu unatafuta maoni ya huo wimbo kwa watu wa pembeni!