Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Lega katupa ahadi hewa za chama cha kijani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kauli ya Lege jana.ila wacha nijitahidi kuweka nowmaana kesho haitawezekana sito pota mda kabisaa
mzigoWakuu naomba kupatiwa majina ya riwaya zilizowekwa humu na zikaisha nizipitie. Mi nimesoma Peniela na Hofu
Nilale au nisubirimkuu mzigo upo kama kawa usiwe na wasi wasi
Mkuu mie nasubiri, ila usinilaze njaa aiseee [emoji56] [emoji56]mkuu mzigo upo kama kawa usiwe na wasi wasi
tunakuombea lege na leo usishindwedaaa wakuu tusameheane lakini leo hakika sito waangusha jana nilijitahidi kadri ya uwezo wangu lakini nikashindwa
Mimi naomba link ya paniela na hofu Mkuu ili nizipitie maana sina muda mrefu humuWakuu naomba kupatiwa majina ya riwaya zilizowekwa humu na zikaisha nizipitie. Mi nimesoma Peniela na Hofu
hhahaha nakuona umepiga magoti, unaomba kutoka moyoni, haya mastory bwana!!tunakuombea lege na leo usishindwe
labda sii wewedaaa wakuu tusameheane lakini leo hakika sito waangusha jana nilijitahidi kadri ya uwezo wangu lakini nikashindwa