QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Mkuu tumeshakuwa mateja Wa hii story ukituacha twaangamia
 
[emoji45] [emoji45] [emoji45] [emoji45] bado pakavu?
 
Wakuu naomba kupatiwa majina ya riwaya zilizowekwa humu na zikaisha nizipitie. Mi nimesoma Peniela na Hofu
 
daaa wakuu tusameheane lakini leo hakika sito waangusha jana nilijitahidi kadri ya uwezo wangu lakini nikashindwa
tunakuombea lege na leo usishindwe
 
daaa wakuu tusameheane lakini leo hakika sito waangusha jana nilijitahidi kadri ya uwezo wangu lakini nikashindwa
labda sii wewe
ujue hawakujul hawa vzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…