QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Huyu lege huyu dawa yake ni kumtafutia dem ambae anaeipenda hii riwaya(ref : the bold&nifah) otherwise tutateseka sana
Asiwe mpenda pesa kama Nifah vinginevyo tutaanza kuuziwa huko whatsap!
 
mida ya wanga ndio hii LEGE ..twende kazi.....it's about 0110'hrs......
 
Dah!aisee hii story jaman funga kazi..huyu LEGE angejua ni jinsi attention niliyonayo,ningetamani angeimaliza tu yoote kazi iwe kwetu sisi wasomaji ila ndo hivyo tena..mkuu tafadhal ckia hiki kilio tafadhal tena tafadhal tunaomba tushushie mzigo.
 
Hapa tuwe tu wapole lege ataonekana hapa mwisho wa week[emoji57] [emoji57]
 
Asiwe mpenda pesa kama Nifah vinginevyo tutaanza kuuziwa huko whatsap!
Mkuu wala usijali sisi tutakua kama albertos i.e huyo dem tutampa masharti yetu kua kusije kukaundwa group la whatsapp na kama litaundwa iwe free maana asilimia ya watanzania wengi ni wananchi wa kawaida hasa kwa wakati huu tulio nao ,kuhusu vifurushi tutakua tukimuungia juu kwa juu ili iwe rahis kwake kumchimba mikwara au kumpetipeti mkuu lege.

amsr
 
Huyo mlinzi anayeaminiwa na rais namfananisha na mlinzi wa mkuu wa sasa,yule mlinzi natizamaga tu hotuba ili nimwone alivyo makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…