Msomi hewa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 768
- 1,066
Unamchukia mtu humjui wala hutegemei kuonana nae!!!!!Kwa mara ya kwanza naisi kumchukia lege
Nan kakwambia simjui watu wengine buanaUnamchukia mtu humjui wala hutegemei kuonana nae!!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]No one can stop lege ×3
coz lege is strong
Najiliwaza tu na mashairi ya bob Marley
Wengine tunakua night shift weka simulizi waliolala wataikuta asubuhi... Ila wewe jamaa una sound kinoma Yani [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]huo ndio ukweli wangu mkuu kuna mdau huwa ananipigia simu na humu jf kuna member wengi tuu huwa tunaonana nao au kuwasiliana mbona mfano some times nafika home saa 7 wengi huwa mnakuwa mmeshalala
poa..poa..!!!..mkuu...hope u'll be back soon....kwa muendelezo..!!!....mkuu bado sijageuka kuna ishu imenipiga kabali nilitegemea itakuwa faster lkn imekuwa ndivyo sivyo
Asa kama unamjua si umfate ukaisomee stori gheto kwake kwenye pc kuliko kulia lia hapaNan kakwambia simjui watu wengine buana