QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Mhhh mkuu tunskushukuru sana kwa kutuacha wapweke Mungu anakuona[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
da mkuu LEGE huu sasa ni ukoloni mamboleo hadi leo mzigo bado mkuu duuhh ney wa mitego ameachiwa ww bado tuu????
darasa alisemaga lakini this is too much, ditto akatushauri moyo sukuma damu na si kupendapenda stori/simulizi
 
Humu hua nalazimika kupita kimya kama kusoma hadithi za mfalme juha, au mfalme mwenye masikio kama ya punda
 
LEGE utapata kesi maana wengi wetu tumelazwa hospitali kwa panic attack.pls help
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huyu LEGE ila iwe siri yenu tu usimwambie mtu nahisi atakuwa anafanya kazi na akina baba jesca hivo msihofu akimaliza tu mtamuona anatinga ndani ya nyumba (alafu ana kale ka kisingizio kake kale) Namnukuu:" Huku niliko mtandao unasumbua mh!!!"
 
Huyu LEGE ila iwe siri yenu tu usimwambie mtu nahisi atakuwa anafanya kazi na akina baba jesca hivo msihofu akimaliza tu mtamuona anatinga ndani ya nyumba (alafu ana kale ka kisingizio kake kale) Namnukuu:" Huku niliko mtandao unasumbua mh!!!"

Dahhh nilidhani Lege kumbe Umecopy style yake
Hii ndo tz hakunaga Ubunifu
 
Back
Top Bottom