QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

.......Hivi hamjuwi kua LEGE ameenda kumkamata Harmorapa Ameonekana Chalinze akiwa speed ya 12Km per Min
 
[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
huo ndio ukweli wangu mkuu kuna mdau huwa ananipigia simu na humu jf kuna member wengi tuu huwa tunaonana nao au kuwasiliana mbona mfano some times nafika home saa 7 wengi huwa mnakuwa mmeshalala
Wengine tunakua night shift weka simulizi waliolala wataikuta asubuhi... Ila wewe jamaa una sound kinoma Yani [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Subra ya vuta heri..... Naamini Lege amebanwa ila atakuja tu.....!
 
Tuwe na umoja tufanye maombi ili Mungu ampebaraka na kumbukumbu njema juu yetu ya kupata hadith ya Monica
 
Back
Top Bottom