Mkuu uko ulipo umeweza kufatilia habari ya hamorapa? I mean umekutana naye huko? Maana kakimbia hapa juzi,mkuu bado sijageuka kuna ishu imenipiga kabali nilitegemea itakuwa faster lkn imekuwa ndivyo sivyo
Hata mimiDAHHH SIKUMBUKI HATA TULIISHIA WAPI
Za kikuzi kweliSitegemei kusoma hadithi za jf tena. Nikitaka kusoma hadithi labda iwe full, lakini hii ya kutupia halafu katikati ya story bundle zimeisha mara nimesafiri mara nauguza mara kazi nyingi ofisini mwisho
Pamoja na Nifah kapotea mazima hakuna hata mrejesho kwa wanayojiri!Kuna uhusiano gani kati ya LEGE na THE BOLD... kwa maana wote wamethitisha story zao