QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Huyu lege kwa mtazamo wangu
Uwa anachukuaga mahali hii hadithi
Nahisi wamemkatalia safari hii
Kwasababu wata wanakuwa wanaisoma huku so hawanunui vitabu
See me true
Hakuna ubize wa hivi
 
  • Thanks
Reactions: ADK
Haya ndio mambo yanafanya nisiwe na soma story,nilijua hii imeisha hvyo nikaanza juzi kusoma jana nikamaliza kumbe bado!!
 
Nilikuwa nasoma story ya vipepeo ya mkuu the bold nikaiacha nikaanza hii ya lege,sasa kurui kule nimeona ile hanivutii sana.huku nako lege kazingua
 
Nilikuwa nasoma story ya vipepeo ya mkuu the bold nikaiacha nikaanza hii ya lege,sasa kurui kule nimeona ile hanivutii sana.huku nako lege kazingua
Basi kumbe wee ndo mwenye gundu hadi jamaa kapotea kama saa nane
 
Sisi tupo tunajipongeza na Njia Nyembamba huku ANGALIZO: Mods naomba muufute uzi huu make unawapa watu wazimu aisee
 
Lakini nimekasirika labda kama kuna explanation kama kutekwa hivi nitaelewa.LEGE
 
Back
Top Bottom