QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Lege mwana wa Legea tafadhali sema neno moja tyu utulize zetu nafsi
 
samahani sana waheshimiwa nilchelewa kidogo kuwataarifu kuwa mpaka sasa Lege ametekwa haijajulikana mahali alipo juhudi za kumtafuta bado zinaendelea. Kwa yoyote atakayepata taarifa zaidi tunaomba azipeleke kituo chochote cha polisi kilicho karibu yake!
 
kuumizana macho tu sijui n ushamba wangu sipendi hivyo
nafikiri ungekuwa mod ungempiga ban plus hasira za kuikosa hii story na mauzauza mengine sijui ungempiga wiki ngapi!!
 
Jamani hii story chanzo ni lege tu hatuwezi kuipata sehemu nyingine! Tumishwa onjeshwa utamu yani imekuwa ni usumbufu sass
 
Wadau hivi hamna story nyingine yenye maudhui kama haya ya story ya Monica na Peniela..

Kama IPO naomba mnitumie link plzz
 
nafikiri ungekuwa mod ungempiga ban plus hasira za kuikosa hii story na mauzauza mengine sijui ungempiga wiki ngapi!!
ningempiga ya miezi kadhaa tuna hasira za lege anatuletea marangi rangi
 
Hasira hazinenepeshi wala haziendelez stori, tulizen hasira zenu. Kwa wenye hasira...
 
Huyu jamaa ana kauongo flani hivi
1. Magufuli mwenyewe anapata muda kupiga simu kwa shilawadu
Itakuwa yeye bwana
2. Jamani tujiulize mtu akose muda kwa maelezo yake hata kuwasha komputa
Bize hadi saa nane usiku 24 7 akifanya kazi na nani usiku huo ambao siku zote uwa hawapumziki tanzania hii?
3. Anasemaga narusha sasa hivi halafu anakuja sema nilikuwa bize ndo nini sasa

Huyu jamaa anazichukuaga kazi hizi mahali nadhani ni kwa masharti hawi muwazi
Awe tu muwazi asisingozie ubize sisi sii watoto
Tena huu uzi ufutwe kuondoa usumbufu

UP DATE2.1.
Niliwaambiaje?
Eti baada ya swala, huyu jamaa sijui
Hapo kashakuwa bize tena
Ngojeni muone swala itaisha lini

UP DATE .2.
Niliwaambia nini alisema saa sita anaenda msikitini
Anadanganya hadi na kuingiza mambo ya Mungu na nyumba yake ya ibada
Mtaona wenyewe hapo atasema nilibanwa
Haha haaa haaaa
Tangu saa sita mchana yupo msikitini

UP DATE 3

Huyu jamaa hakuna kitu mi nawaambia
Ibada ya usiku ishaisha na alinijibu kuwa anamaliza ibada ya mchana
Bora asilete tu hizo stori za nini kwanza muumini wa kislamu muongo muongo
Apeleke zake huko
 
LEGE unazingua sana, you know what am sayn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…