LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
- Thread starter
- #481
SEHEMU YA 5
yako
yanakwenda
vizuri.Jiulize
imewezekanaje kwa David Zumo
kuwaacha wanawake hawa wote duniani
na kukuona wewe pekee ? Haya ni
maongozi ya Mungu.Please promise me
that when you come back you’ll give us a
good answer”
“Mama siwezi kukuahidi chochote
kwa sasa kwa sababu bado moyo wangu
hauna hisia zozote kwa David “
“Nimekuelewa Monica.Vipi masuala
ya usafiri? Tayari umekwisha fanya
utaratibu wa kupata tiketi ya ndege? Kama
bado nina rafiki yangu anaweza
akakusaidia kupata nafasi katika ndege
inayoondoka kila siku jioni kwenda
Congo.Ngoja nimpigie sim...”
“hakuna haja mama” Monica
akamkatisha mama yake ambaye tayari
alikuwa ameanza kutafuta namba za simu
za huyo rafiki yake.
“David anatuma ndege yake binafsi
kuja kunichukua “akasema
“Mungu akutangulie mwanangu na
mambo
yako
yote
yakafanikiwe.Nitamtaarifu baba yako
kuhusu jambo hili na nina hakika
atafurahi sana.Basi mimi ngoja nikuache
ukajiandae tutakutana uwanja wa ndege
mimi na baba yako tutakuja kukuaga”
akasema Bi Janet akaagana na mwanae
akaondoka
“Hata mimi sina haja ya kuendelea
kukaa hapa ngoja niondoke nikajiandae
kwa safari ya jioni.Hii itakuwa ni safari ya
kimya kimya sitaki mtu yeyote zaidi ya
wazazi wangu ajue kama ninasafiri.”
Akawaza Monica
******************
Ni saa sita na dakika kumi na nane za
mchana ,rais wa jamhuri ya muungano wa
Tanzania Ernest Mkasa akiwa ofisini
kwake ,mara akaingia msaidizi wake wa
karibu mzee Mukasha akiwa na faili
mkononi.
“ Karibu Mukasha.Umefanikiwa
kupata chochote ?
“Ndiyo mheshimiwa rais.NImeipata
faili lake lakini kuna mambo mengine
nimeyagundua kuhusu Austin January na
kubwa zaidi ni kuhusiana na mdogo wake
ambaye amefungwa nchini China baada ya
kukamatwa na dawa za kulevya.” Akasema
Mukasha
“Thank you Mukasha.Thank you so
much.Hii ni taarifa nzuri sana.Saa ngapi
atapiga simu?
Mukasha akaitazama saa yake ya
mkononi na kusema
“Kwa mujibu wa Mr Boaz alisema
Austin atapiga baada ya saa moja na kwa
mujibu wa saa yangu zimebaki dakika
kumi tu muda huo utimie”
“Good.Twende chumba cha faragha
tukaisubiri simu yake kule.Sitaki mtu
yeyote ajue tunaongea nini” akasema
Ernest wakatoka wakaelekea katika
chumba cha maongezi ya faragha.Ernest
akaanza kulipitia faili lile lenye nyaraka
mbali mbali zinazomuhusu Austin
January.
“Mukasha una uhakika Austin
atapiga simu? Akauliza Ernest baada ya
kumaliza kuzipitia nyaraka zile
“Atapiga mheshimiwa.Tuendelee
kusubiri kidogo” akasema Mukasha
“Nina wasi wasi sana kama atapiga “
“Usiwe na wasi wasi mheshimiwa
rais atap..” Kabla Mukasha hajamalizia
yako
yanakwenda
vizuri.Jiulize
imewezekanaje kwa David Zumo
kuwaacha wanawake hawa wote duniani
na kukuona wewe pekee ? Haya ni
maongozi ya Mungu.Please promise me
that when you come back you’ll give us a
good answer”
“Mama siwezi kukuahidi chochote
kwa sasa kwa sababu bado moyo wangu
hauna hisia zozote kwa David “
“Nimekuelewa Monica.Vipi masuala
ya usafiri? Tayari umekwisha fanya
utaratibu wa kupata tiketi ya ndege? Kama
bado nina rafiki yangu anaweza
akakusaidia kupata nafasi katika ndege
inayoondoka kila siku jioni kwenda
Congo.Ngoja nimpigie sim...”
“hakuna haja mama” Monica
akamkatisha mama yake ambaye tayari
alikuwa ameanza kutafuta namba za simu
za huyo rafiki yake.
“David anatuma ndege yake binafsi
kuja kunichukua “akasema
“Mungu akutangulie mwanangu na
mambo
yako
yote
yakafanikiwe.Nitamtaarifu baba yako
kuhusu jambo hili na nina hakika
atafurahi sana.Basi mimi ngoja nikuache
ukajiandae tutakutana uwanja wa ndege
mimi na baba yako tutakuja kukuaga”
akasema Bi Janet akaagana na mwanae
akaondoka
“Hata mimi sina haja ya kuendelea
kukaa hapa ngoja niondoke nikajiandae
kwa safari ya jioni.Hii itakuwa ni safari ya
kimya kimya sitaki mtu yeyote zaidi ya
wazazi wangu ajue kama ninasafiri.”
Akawaza Monica
******************
Ni saa sita na dakika kumi na nane za
mchana ,rais wa jamhuri ya muungano wa
Tanzania Ernest Mkasa akiwa ofisini
kwake ,mara akaingia msaidizi wake wa
karibu mzee Mukasha akiwa na faili
mkononi.
“ Karibu Mukasha.Umefanikiwa
kupata chochote ?
“Ndiyo mheshimiwa rais.NImeipata
faili lake lakini kuna mambo mengine
nimeyagundua kuhusu Austin January na
kubwa zaidi ni kuhusiana na mdogo wake
ambaye amefungwa nchini China baada ya
kukamatwa na dawa za kulevya.” Akasema
Mukasha
“Thank you Mukasha.Thank you so
much.Hii ni taarifa nzuri sana.Saa ngapi
atapiga simu?
Mukasha akaitazama saa yake ya
mkononi na kusema
“Kwa mujibu wa Mr Boaz alisema
Austin atapiga baada ya saa moja na kwa
mujibu wa saa yangu zimebaki dakika
kumi tu muda huo utimie”
“Good.Twende chumba cha faragha
tukaisubiri simu yake kule.Sitaki mtu
yeyote ajue tunaongea nini” akasema
Ernest wakatoka wakaelekea katika
chumba cha maongezi ya faragha.Ernest
akaanza kulipitia faili lile lenye nyaraka
mbali mbali zinazomuhusu Austin
January.
“Mukasha una uhakika Austin
atapiga simu? Akauliza Ernest baada ya
kumaliza kuzipitia nyaraka zile
“Atapiga mheshimiwa.Tuendelee
kusubiri kidogo” akasema Mukasha
“Nina wasi wasi sana kama atapiga “
“Usiwe na wasi wasi mheshimiwa
rais atap..” Kabla Mukasha hajamalizia