mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
LEGE acha hizo mkuutanesco nao ni shidaaa mida ya wanga ikifika washeni basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LEGE acha hizo mkuutanesco nao ni shidaaa mida ya wanga ikifika washeni basi
Hafu legeeeee[emoji134] [emoji134] [emoji134]tanesco nao ni shidaaa mida ya wanga ikifika washeni basi
Ndo saa ngapi hiyo mkuu?tanesco nao ni shidaaa mida ya wanga ikifika washeni basi
tanesco nao ni shidaaa mida ya wanga ikifika washeni basi
tehpoa..!!...ni tanesco au luku...mkuu....embu kuwa mkweli tujue cha kufanya....!!!...
kweli umetoa ya moyoniMwaka huu aseee tutakufa,
Trust me; haya ni madhara ya vitu vya bure[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Mpaka nimefikia hii hatua siwafichi nishawaza sanaa, kila muda nanunua tu bando mwisho wa siku tunafiemo LEGE hajaweka,
Mpaka sasa gharama ya mb ninazopoteza kumfuatilia mtu asiye na huruma
Ama kwa sababu zilizoinje ya uwezo wake, ama kwa kujua tuu watu hatuna cha kufanya kwani kwanza huduma yetu yenyewe ni buree.
Lakini kuna huduma za bure ambazo zikitolewa kwa staili hii wengi tunaadhirika, mfano kuvuta hewa, huwa tunavuta buree lakini ni ya uhakika.
Lakini kuwa wapenzi wa mtangazaji, hua tunapewa na fasi ya kuwa wapenzi wa mtazamaji bula malipo yoyote,
Vile vile
LEGE ULIAMUA KWA MOYO WAKO WA BURE KUTUPA HUDUMA HII BURE BASI USITUNYANYASI KWA KIZINGIZIO AU SABABU YOYOTE ILE.
NI bora ungetuambia kuwa huduma hii itabidi turipie ili uiweke katika moja ya majukumu yako ambayo unadai yanakubana mpaka kutufanya sisi utuone hatufai na hatuko katika sehemu ya majukumu yako.
Ki ukweli, niseme ukweli nimeumia mnooo na nadhani wengi wao wanaumia lakini wanashindwa kuongea kwa kuwa huduma yenyewe ni ya bure, mimi nimewawakilisha.
Ni bora ungetuchaji tukalipia ikawa kama sehemu ya majukumu yako,
Nimeumia mnoooooo na tunaumia wengi, kama unamajukumu ni bora tuu usingetuanzushia huduma hii
Nimeongea haya ili kuondoa kinyongo changu kwako
Hiyo ndio gharama ya vya bure mkuu!Mkuu Monica kakubadilisha Sana Siku hizi Yani Tofauti kbs Ulivyo kuwa na Paniela
Ila Poa tu Bro
Mkuu hiki ndio nilikuwa nakiwaza, asante kwa kuliongea hili!Mwaka huu aseee tutakufa,
Trust me; haya ni madhara ya vitu vya bure[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Mpaka nimefikia hii hatua siwafichi nishawaza sanaa, kila muda nanunua tu bando mwisho wa siku tunafiemo LEGE hajaweka,
Mpaka sasa gharama ya mb ninazopoteza kumfuatilia mtu asiye na huruma
Ama kwa sababu zilizoinje ya uwezo wake, ama kwa kujua tuu watu hatuna cha kufanya kwani kwanza huduma yetu yenyewe ni buree.
Lakini kuna huduma za bure ambazo zikitolewa kwa staili hii wengi tunaadhirika, mfano kuvuta hewa, huwa tunavuta buree lakini ni ya uhakika.
Lakini kuwa wapenzi wa mtangazaji, hua tunapewa na fasi ya kuwa wapenzi wa mtazamaji bula malipo yoyote,
Vile vile
LEGE ULIAMUA KWA MOYO WAKO WA BURE KUTUPA HUDUMA HII BURE BASI USITUNYANYASI KWA KIZINGIZIO AU SABABU YOYOTE ILE.
NI bora ungetuambia kuwa huduma hii itabidi turipie ili uiweke katika moja ya majukumu yako ambayo unadai yanakubana mpaka kutufanya sisi utuone hatufai na hatuko katika sehemu ya majukumu yako.
Ki ukweli, niseme ukweli nimeumia mnooo na nadhani wengi wao wanaumia lakini wanashindwa kuongea kwa kuwa huduma yenyewe ni ya bure, mimi nimewawakilisha.
Ni bora ungetuchaji tukalipia ikawa kama sehemu ya majukumu yako,
Nimeumia mnoooooo na tunaumia wengi, kama unamajukumu ni bora tuu usingetuanzushia huduma hii
Nimeongea haya ili kuondoa kinyongo changu kwako
pole sana mkuu lakini lait ungejua hakika usingenilaum kwa kiwango hicho cha lami.hata mm pia ni mwadhirika kama ww tuu na chochote nikipatacho huwa na penda kushare nanyi hata kama mm nakilipia ninyi mtakipata buree. mkuu huwezi amini mm nilishawahi toka dar to moro kwenda tuu kusoma kitabu cha KIKOSI CHA KISASI cha msiba baada ya kukitafuta sana kuna mtu akanambia kipo moro anacho na haazimishi zaidi ya kusomea hukohuko tena hapo hapo nyumbani kwake.Mwaka huu aseee tutakufa,
Trust me; haya ni madhara ya vitu vya bure[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Mpaka nimefikia hii hatua siwafichi nishawaza sanaa, kila muda nanunua tu bando mwisho wa siku tunafiemo LEGE hajaweka,
Mpaka sasa gharama ya mb ninazopoteza kumfuatilia mtu asiye na huruma
Ama kwa sababu zilizoinje ya uwezo wake, ama kwa kujua tuu watu hatuna cha kufanya kwani kwanza huduma yetu yenyewe ni buree.
Lakini kuna huduma za bure ambazo zikitolewa kwa staili hii wengi tunaadhirika, mfano kuvuta hewa, huwa tunavuta buree lakini ni ya uhakika.
Lakini kuwa wapenzi wa mtangazaji, hua tunapewa na fasi ya kuwa wapenzi wa mtazamaji bula malipo yoyote,
Vile vile
LEGE ULIAMUA KWA MOYO WAKO WA BURE KUTUPA HUDUMA HII BURE BASI USITUNYANYASI KWA KIZINGIZIO AU SABABU YOYOTE ILE.
NI bora ungetuambia kuwa huduma hii itabidi turipie ili uiweke katika moja ya majukumu yako ambayo unadai yanakubana mpaka kutufanya sisi utuone hatufai na hatuko katika sehemu ya majukumu yako.
Ki ukweli, niseme ukweli nimeumia mnooo na nadhani wengi wao wanaumia lakini wanashindwa kuongea kwa kuwa huduma yenyewe ni ya bure, mimi nimewawakilisha.
Ni bora ungetuchaji tukalipia ikawa kama sehemu ya majukumu yako,
Nimeumia mnoooooo na tunaumia wengi, kama unamajukumu ni bora tuu usingetuanzushia huduma hii
Nimeongea haya ili kuondoa kinyongo changu kwako
mkuu kama wataka kulipia hakuna shida utapewa utaratibu lkn huko kwa kulipia hata season 1 bado hawajaimaliza na huku mnalalamika bure mm nikipata nafasi huwa natupia hata sehem 10 inamaana ukienda kwenye group hizo ni wiki 5 inamaana ni mwezi mmoja na wiki wakati hapa jf unasoma kwa siku moja.njoo PM nikupe contact za kujiunga kwenye group hilo mkuuMkuu hiki ndio nilikuwa nakiwaza, asante kwa kuliongea hili!
Mkuu lege aweke wazi kama story tuilipie tu maana hakuna namna!