QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Endeleeni kumsubiri lege, wenzenu tuna na Uwaridi nakula tu story kwa raha zangu,

Nakula Mkimbizi ya Hussein Tuwa saivi!
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Wimbo wa gaidi hawajaweka hko mkuu
 
Lege mwanzo ulikuwa unasema umeme... Ukaja na ya kusafiri nje ya mjii.. Umerudi nao huna jipya bora usingetuambiia tuu mkuu kama umerudi
 
Sipendi kulalamika kwa sababu sijui mtu ana matatizo gani.but this is not fair.angemjulisha mtu yoyote yule.ila kimyaaaa na siku zinazidi kwenda tu.lege whats going on na ulianza bampa to bampa kimekusibu nini? Maaana siku zinaendelea kusogea
 
Sipendi kulalamika kwa sababu sijui mtu ana matatizo gani.but this is not fair.angemjulisha mtu yoyote yule.ila kimyaaaa na siku zinazidi kwenda tu.lege whats going on na ulianza bampa to bampa kimekusibu nini? Maaana siku zinaendelea kusogea
atakuwa yupo busy sana au probably anaumwa you never know
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] baado tu LEGE
 
Lege.. Si vizuri kukaa kimya huku wadau wako wakiwa hawelewi chochote.
Please... Sema kitu tusikie toka kwako
 
Lege mateja wa riwaya yako wanateseka washushie kidogo wapunguze maumivu
 
Back
Top Bottom