ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,284
- 19,410
hii kitu siipendagi ww umeshoma unakuja kutumalizia story ili iweje kama unataka kutusaidia kujua si uandike yote
ustarabu ni afya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanazingua hao!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii kitu siipendagi ww umeshoma unakuja kutumalizia story ili iweje kama unataka kutusaidia kujua si uandike yote
ustarabu ni afya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mnunue sasa haiwezekani season zote uletewe humu ndani bila hata ya kumchangia mtunzi kununua hata moja huo ni ubahiri wa kiwango cha lami.Jamani Naomba nitoe Ushauri kwa Sote tulokwisha Isoma
Haifai Kuwatamanisha watu humu kwa Kuwaelezea kilichomo ikiwa huna Uwezo wa Kuibandika hapa Basi Tutulie Mpaka ikishushwa humu na wenZetu wakaisoma Mpaka mwisho
Hapo sasa tutakuwa huru kuijadili na kuyajadili matukio yote yaliyomo
Vinginevyo tutakuwa na VIHERE HERE
zaman tulikua tukiona lege amecommet chochte tunastuka tunakaa sawa.saiv walaaa tushamzoeaMkuu mm nipo full mbona.kama kawa mzigo ushatoka.
Afadhali yako wewe mkuu umechangia hongera sana.Dah nimenunua season zote mbili ila hii ya mwisho sina pesa so nasubiria mtu atume humu bure
Mkuu Fanya uungwana utume kama ulivyoahidi!Guys nipo mbali na laptop na nashindwa kupost kwa simu maana ipo kwenye format ya pdf
We kiumbe kumbe upooo[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] nilikumiss aseee mkuuMkuu mm nipo full mbona.kama kawa mzigo ushatoka.
Haya ndiyi lege hapendi aseeeShukrani kwa mkuu aliyeniwezesha kuipata season 8 ubarikiwe sana hatimaye story imeisha
kulikuwa hamna makubaliano kuwa story itakuwa ya kununuaNdo mnunue sasa haiwezekani season zote uletewe humu ndani bila hata ya kumchangia mtunzi kununua hata moja huo ni ubahiri wa kiwango cha lami.
kama austin hakumuoa Monica basi mtunzi amekosea sanaDah stori tamu sana Mukasha kasepa zake Australia, Ernest z dead yani full mauza uza hii kitu imeisha vizuri ikishawekwa humu na kuisha inabidi tufanye analysis wapi mtunzi kafanikiwa na wapi kafeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upaka pori wewe....Lege angeibania kuileta uku ungeijua wapi? watu wengine hamnazo aiseNdo mnunue sasa haiwezekani season zote uletewe humu ndani bila hata ya kumchangia mtunzi kununua hata moja huo ni ubahiri wa kiwango cha lami.
Shusha kwanza Queen MonikaMUANDISHI HUYU ANA STORY NYINGINE INAITWA
"BRING BACK OUR GIRLS "
Kama hamtokuwa na Vidomo domo vya kwenda kulia Jikoni
Niwashushie Humu Jf