Queen Sendiga, pendeza basi mama, tunaokutazama tufurahi!

Queen Sendiga, pendeza basi mama, tunaokutazama tufurahi!

Mijitu mingine ina akili za kutosha kwenda haja tu... pengien hata kunawa vizuri haiwezi. Nchi ina matatizo makubwa lakini unakuta jitu linafanya utani wa kijinga muda wote.
Mijitu mingine ina akili za kutosha kwenda haja tu... pengien hata kunawa vizuri haiwezi. Nchi ina matatizo makubwa lakini unakuta jitu linafanya utani wa kijinga muda wote.
Halafu jinga kama wewe una uthubutu wa ku comment.
 
Kuna mtu ametuma picha hapo ana design tofauti tofauti za muonekano. Maisha ni yake hajakosea chochote yupo natural na ni mchapa kazi. Naomba atafutwe mwingine wa kusemwa kama ni lazima huku JF muwadiscuss na kuwasema viongozi.

Kwanini tusijadili namna tunavyoweza kujikwamua kimaendeleo kama nchi na kwa mtu mmoja mmoja? Tujadili namna ya kufanya uvumbuzi mbalimbali kwenye teknologia. Tujadili namna ya kuondokana na deni la Taifa la trilion 104. Tujadili namna ya kutatua tatizo sugu la ajira kwa vijana. Tujadili namna ya kuondokana na tatizo la kukatika kwa umeme. Tujadili namna ya kuondoa matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kudhibiti mianya ya upotevu wa fedha hizo.
 
Hii ni stupid thinking.
Seriksli toka uhuru, ina standards za appearance of public officials.
Waziri hawezi kwenda ofisini na jeans, na mbunge vile vile hawezi kwenda bungeni na jeaneans na T shirt.
Kwa wanawake ikoje?
Stupid thinking?

sasa umesema mwenyewe standards ya appearance of public officials hairuhusu

Je wewe na yeye nani anajua vyema kuhusu appearance ya kazi yake??
 
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.

Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu au twende kilioni, heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Kipindi yupo kijana nilipiga
 
We Jamaa unatakiwa uwe mahabusu, kwanza umetumia picha ya mtu kwa maslahi yako binafsi bila ridhaa ya muhusika, pili umefanya shambulio la aibu kwa kumuanika mtu hadharani ,bila kujali cheo chake wala wafuasi wake. Jtahidi kuwa na mipaka

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
We polisi uchwara wa darasa la saba.
Hujui kuwa picha zote ni za mitandaoni na waliozi upload ni waandishi wa habari tofauti tofauti.
Tuache kufikiri ki polisi polisi, twende na wakati.

Pili, elewa kuwa ukiwa mwanasiasa na ukatokea hadharani, taswira ysko ni public property, hivyo jenga taswira nzuri.
 
Unapenda avae minywele ya wafu,mikope ya bandia hiyo Nini sasa. Yeye ni mwanamke halisi wa kiafrika
 
Kuna namna anatamani aonekane kuficha mambo flani chini ya kapeti kwa lengo la kumfumbaza macho mwajiri wake ..... na anafanya ivo hku akijua nini anacho kifanya .... hujawahi kumwona tajiri ana vaa hovyo ili asijulikane kama anazo? .....
Sio kweli kuwa natural ni tabia ya mwanamke anaejitambua.
Afiche Nini kwani make up Bei gani hata watoto wa uswazi wanamudu.
Make up,mawigi,kucha,kope bandia ni Maalumu kwa wanawake wasiojiamini na wasiojua thamani ya miili yao
 
Back
Top Bottom