Queen Sendiga, pendeza basi mama, tunaokutazama tufurahi!

Queen Sendiga, pendeza basi mama, tunaokutazama tufurahi!

Role model wangu,namkubali sana, nikimtizama hana makorokoro,najiona mimi[emoji3059]
 
Yeye na mdamda mmoja aliwahi kuwa naibu waziri siku za nyuma FENERA MKANGARA. Kwa kweli wanapendeza kwa style hiyo,hakuna Madrid, they are naturally beauty. FENERA MKANGARA sijui siku hizi yuko wapi.
 
Kumbe mama ni wa Majengo huyu?

Mitaa ipi sasa kule juu, kwa marehemu Mwangoka, Legico, Mbata, Machinjioni...??
Joka Road, ila walikuja kuhamia Tanga. Mama yake alikuwa ni mwana kwaya wa Kwaya Kuu, Moravian Mbeya Mjini, enzi za Mwamlima.

Mama yake alikuwa charming sana na mfanya maigizo maharishi kanisani.
 
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.

Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
mi namzimia kama alivyo. yuko natural sana, she is pure african, bantu woman.

Hivyo ndivyo mwanamke wa kibantu anatakiwa awe, pure flesh.

sio kuweka yale manywele ya katani na makope ya paka na kujichubua, thats an insult to african beauty and an insult to God na uumbaji wake.
 
Piga kazi Dada Queen mwana kiteengooo huna makuuu
 
Ila stendi ya makumbusho inaongoza kwa warembo jaman,mpka huwa najiuliza Hawa n watu kwel au wengine mizuka🤔
Ipo mkoa gani? Kama ni ya hapa Dar ni chai. Mbona kuna wanawake wa kawaida waliojirundikia ma make up na makolokolo kibao usoni huku yamevaa masuruali ya kubana makalio tu.
 
mi namzimia kama alivyo. yuko natural sana, she is pure african, bantu woman.

Hivyo ndivyo mwanamke wa kibantu anatakiwa awe, pure flesh.

sio kuweka yale manywele ya katani na makope ya paka na kujichubua, thats an insult to african beauty and an insult to God na uumbaji wake.
Hahaaaaa hatari mkuu. Alikuwa RC wetu kipindi nikiwa Iringa. Hana shida mama wa watu.
 
Angekuwa anasukwa vizuri basi hiyo mistari hapo kichwani 🚮 Mwanamke ni kupendeza jamani
 
Joka Road, ila walikuja kuhamia Tanga. Mama yake alikuwa ni mwana kwaya wa Kwaya Kuu, Moravian Mbeya Mjini, enzi za Mwamlima.

Mama yake alikuwa charming sana na mfanya maigizo maharishi kanisani.

Dah! sawasawa umenikumbusha mchungaji Mwamlima, zamani hii...
 

Attachments

  • Screenshot_20231015-084334_Chrome.jpg
    Screenshot_20231015-084334_Chrome.jpg
    281.8 KB · Views: 1
Yuko vizuri mama wa watu
 

Attachments

  • IMG-20230117-WA0043.jpg
    IMG-20230117-WA0043.jpg
    46.7 KB · Views: 2
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.

Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha Queen, pendeza kidogo.

IMG_5755.jpg
 
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.

Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Kamesuka twende kilioni shangazi! Nakapenda sana hivyo kalivyo hako ka mama! Mlio karibu na Queen Sendiga mpeni taarifa kwamba Manjagata huku anakuzimikia kikweli kweli!
 
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.

Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Unapenda yanayoweka mawigi mpaka inakuwa chukizo! Unalikuta li m-mama la Kiafrika eti nalo linatingisha kichwa kurekebisha nywele, pumbavu kabisa!!
 
Back
Top Bottom