Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joka Road, ila walikuja kuhamia Tanga. Mama yake alikuwa ni mwana kwaya wa Kwaya Kuu, Moravian Mbeya Mjini, enzi za Mwamlima.Kumbe mama ni wa Majengo huyu?
Mitaa ipi sasa kule juu, kwa marehemu Mwangoka, Legico, Mbata, Machinjioni...??
mi namzimia kama alivyo. yuko natural sana, she is pure african, bantu woman.View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Ipo mkoa gani? Kama ni ya hapa Dar ni chai. Mbona kuna wanawake wa kawaida waliojirundikia ma make up na makolokolo kibao usoni huku yamevaa masuruali ya kubana makalio tu.Ila stendi ya makumbusho inaongoza kwa warembo jaman,mpka huwa najiuliza Hawa n watu kwel au wengine mizuka🤔
Hahaaaaa hatari mkuu. Alikuwa RC wetu kipindi nikiwa Iringa. Hana shida mama wa watu.mi namzimia kama alivyo. yuko natural sana, she is pure african, bantu woman.
Hivyo ndivyo mwanamke wa kibantu anatakiwa awe, pure flesh.
sio kuweka yale manywele ya katani na makope ya paka na kujichubua, thats an insult to african beauty and an insult to God na uumbaji wake.
Joka Road, ila walikuja kuhamia Tanga. Mama yake alikuwa ni mwana kwaya wa Kwaya Kuu, Moravian Mbeya Mjini, enzi za Mwamlima.
Mama yake alikuwa charming sana na mfanya maigizo maharishi kanisani.
Apunguze usela.Abadilike huyu mwanamama.🤔
Hana mume usitudanganye.Mke wa mtu apendeze umtazame hili ufanye nini?
Sahihi ni Tom Mboya.Dada alishawahi kuandika kuwa tuna mtu Ni tom
Serikalini kuna kitu wanaita dressing code, afisa utumishi mara kwa mara uwakubusha watumishi namna ya uvaaji au ukataji na usukaji wa nywele au mpaka viatu.Mke wa mtu apendeze umtazame hili ufanye nini?
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Kamesuka twende kilioni shangazi! Nakapenda sana hivyo kalivyo hako ka mama! Mlio karibu na Queen Sendiga mpeni taarifa kwamba Manjagata huku anakuzimikia kikweli kweli!View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Unapenda yanayoweka mawigi mpaka inakuwa chukizo! Unalikuta li m-mama la Kiafrika eti nalo linatingisha kichwa kurekebisha nywele, pumbavu kabisa!!View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Ila humu watu sio wa kuwaamini [emoji23][emoji23]nasoma comments nacheka yaani leo wababa wa humu mnapenda twende kilioni ila ukitoka nje huko mambo ni tofauti kabisa.Wadada wangeiga huo msuko ,ungekuta tushapandisha magorofa kabisa[emoji848][emoji848]