Queen Sendiga, pendeza basi mama, tunaokutazama tufurahi!

Queen Sendiga, pendeza basi mama, tunaokutazama tufurahi!

View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hsjipendi lakini hsiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha queen, pendeza kidogo.
Kasuka nywele za jero
 
Kuna namna anatamani aonekane kuficha mambo flani chini ya kapeti kwa lengo la kumfumbaza macho mwajiri wake ..... na anafanya ivo hku akijua nini anacho kifanya .... hujawahi kumwona tajiri ana vaa hovyo ili asijulikane kama anazo? .....
20231014_220442.jpg

Ila nikubali tu, ni mrembo!
Natural.
 
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.

Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Ñjoo ofisini kwangu J3.Asubu.
 
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.

Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Kama kuna mwanamke ambaye ningependa awe Dada yangu wa hiari ni MH Queen Sendiga.Ni kielelezo cha a genuine African woman...Namkubali sana simfahamu Ila kila niliona kuna Jambo anaongelea kuhusu mkoa ama maendeleo ya nchi huwa lazima nifungue nisikie anasema nn...Laiti kama mabinti wangemfanya huyu kuwa role model wao wangefika mbali.Mama Dr Samia aliona mbali kuteua vichwa kama hivi, beauty with brain,wengine ni pamoja Mama zangu/Dada zangu Dr Tulia,Dr Gwajima,Ummy Mwalimu,Mdogo wangu Jokate Mwegelo na jembe langu Mama Stergomena Taxi.Nawaombea kila heri mzidi kuitumikia nchi , Mwenyezi Mungu awape afya njema 🙏
 
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.

Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Huyo ni malkia asiyependa makuu...
 
Mtoa Post huna Kazi ya kufanya ?

That's personal life BHANA..

Nenda kamtizame JZ Marekani huko na hairstyle yake...Tafuta kibarua ufanye .

Nonsense
 
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.

Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Huyu mama ni mrembo sana. Kama atasoma hii comment yangu namshauri aendelee kubaki hivyo hivyo, binafsi nampenda sana. wewe muanzisha mada endelea kudanganyika na wadada/wamama wenye muonekano bandia.

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom