digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Lugha gani hii,hili=iliMke wa mtu apendeze umtazame hili ufanye nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha gani hii,hili=iliMke wa mtu apendeze umtazame hili ufanye nini?
We Buji umejuaje, ujue dada yangu huyu!Hata kale kajivazi kaduchu havai, anaona ni anasa
Kuna namna anatamani aonekane kuficha mambo flani chini ya kapeti kwa lengo la kumfumbaza macho mwajiri wake ..... na anafanya ivo hku akijua nini anacho kifanya .... hujawahi kumwona tajiri ana vaa hovyo ili asijulikane kama anazo? .....Kuza picha iyo
Kasuka nywele za jeroView attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hsjipendi lakini hsiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha queen, pendeza kidogo.
Nilishangaa sana kumkuta chama gani lile na mzee wake kumbe watu wa michezoMSILOJUA HUYO NI AMONG OF TOP FEMALE 🦷 Officers
Kuna namna anatamani aonekane kuficha mambo flani chini ya kapeti kwa lengo la kumfumbaza macho mwajiri wake ..... na anafanya ivo hku akijua nini anacho kifanya .... hujawahi kumwona tajiri ana vaa hovyo ili asijulikane kama anazo? .....
🚮🚮MSILOJUA HUYO NI AMONG OF TOP FEMALE 🦷 Officers
Ñjoo ofisini kwangu J3.Asubu.View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
WATAMU SANANapenda sana wanawake design hiyo. Natural [emoji7]
Haujauelewa uzi.Nyoosha mkono uulize tena.Kwa hiyo kwako wewe kupendeza ni kuweka nywele na nyusi bandia au kujipaka foundation nab u fake mwingi
Nakuja boss!Ñjoo ofisini kwangu J3.Asubu.
Kama kuna mwanamke ambaye ningependa awe Dada yangu wa hiari ni MH Queen Sendiga.Ni kielelezo cha a genuine African woman...Namkubali sana simfahamu Ila kila niliona kuna Jambo anaongelea kuhusu mkoa ama maendeleo ya nchi huwa lazima nifungue nisikie anasema nn...Laiti kama mabinti wangemfanya huyu kuwa role model wao wangefika mbali.Mama Dr Samia aliona mbali kuteua vichwa kama hivi, beauty with brain,wengine ni pamoja Mama zangu/Dada zangu Dr Tulia,Dr Gwajima,Ummy Mwalimu,Mdogo wangu Jokate Mwegelo na jembe langu Mama Stergomena Taxi.Nawaombea kila heri mzidi kuitumikia nchi , Mwenyezi Mungu awape afya njema 🙏View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Huyo ni malkia asiyependa makuu...View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
Nami pia aisee.Miongoni mwa wanawake ninao wakubali. Tangu anagombea urais
Anapendeza akibaki hivyo hivyo. Binafsi namkubali sana. Natural woman
Huyu mama ni mrembo sana. Kama atasoma hii comment yangu namshauri aendelee kubaki hivyo hivyo, binafsi nampenda sana. wewe muanzisha mada endelea kudanganyika na wadada/wamama wenye muonekano bandia.View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!
Tupe raha Queen, pendeza kidogo.