Queen Sendiga, pendeza basi mama, tunaokutazama tufurahi!

Queen Sendiga, pendeza basi mama, tunaokutazama tufurahi!

MNapenda watu waongo sana;
Wavae wigi
Wajichubue ndio muone anapendeza.
Sendige anq uzuri wa asili.
Ninaamini huyu mwanamke atakuwa mkwwli sana hata kwa mahusiano yake.

Mwacheni aishi maisha yake.
 
Huyu mama ni mrembo sana. Kama atasoma hii comment yangu namshauri aendelee kubaki hivyo hivyo, binafsi nampenda sana. wewe muanzisha mada endelea kudanganyika na wadada/wamama wenye muonekano bandia.

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Wewe uko pamoja na mimi.
Mimi sipendi vitu na watu fake.

Napenda watu wanaoishi uhalisia wao.
Namkubali Sendiga.
 
Tusiingilie maisha binafsi ya mtu... Kuna mipaka umevuka umeleta utani ukumbuke anawatoto wakubwa, ndugu pia wanaona hii sio sawa.

Pia nafikiri ni mtu anaetingwa sana na ni mlambanaji sana...kuna watu busy sana hawapati muda wa kushinda saloon au kushinda na wasusi..

One of the best traits toka kwake ni hiyo.
 
We Jamaa unatakiwa uwe mahabusu, kwanza umetumia picha ya mtu kwa maslahi yako binafsi bila ridhaa ya muhusika, pili umefanya shambulio la aibu kwa kumuanika mtu hadharani ,bila kujali cheo chake wala wafuasi wake. Jtahidi kuwa na mipaka

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Wenyewe wanaziita "twende kilioni" au "mistari"...

Mabutu huwa kama vitungu vitunguu kichwani...
 
We Jamaa unatakiwa uwe mahabusu, kwanza umetumia picha ya mtu kwa maslahi yako binafsi bila ridhaa ya muhusika, pili umefanya shambulio la aibu kwa kumuanika mtu hadharani ,bila kujali cheo chake wala wafuasi wake. Jtahidi kuwa na mipaka

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Watu msiokuwa na uelewa sawa sawa, wala hamjui picha zote zipo mtandaoni.
 
Tusiingilie maisha binafsi ya mtu... Kuna mipaka umevuka umeleta utani ukumbuke anawatoto wakubwa, ndugu pia wanaona hii sio sawa.

Pia nafikiri ni mtu anaetingwa sana na ni mlambanaji sana...kuna watu busy sana hawapati muda wa kushinda saloon au kushinda na wasusi..

One of the best traits toka kwake ni hiyo.
Hii ni stupid thinking.
Seriksli toka uhuru, ina standards za appearance of public officials.
Waziri hawezi kwenda ofisini na jeans, na mbunge vile vile hawezi kwenda bungeni na jeaneans na T shirt.
Kwa wanawake ikoje?
 
MNapenda watu waongo sana;
Wavae wigi
Wajichubue ndio muone anapendeza.
Sendige anq uzuri wa asili.
Ninaamini huyu mwanamke atakuwa mkwwli sana hata kwa mahusiano yake.

Mwacheni aishi maisha yake.
Usichojua ni kua natural hair ina style nyingi sana na nzuri mno kuliko nywele za twende kilioni kama mwanafunzi.
 
Sijaongelea stylish bali u natural wako...
Hana nywele bandia au kupaka mkorogo.
Mimi ni mwanaume, hakuna nisichokijua kwa wanawake wa ndani na nje.
Mwisho...ninachaguo langu vilevile.

Hata hivyo mtu kujipamba sio tatizo kwangu but kujipamba kiasi ni bora...kuliko kujipamba hadi kuondoa uhalisia woke.
Usichojua ni kua natural hair ina style nyingi sana na nzuri mno kuliko nywele za twende kilioni kama mwanafunzi.
 
View attachment 2782173
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.

Mama Samia tukimtazama kwenye runinga, anavutia, ni mwanamke anapendeza.

Sasa Queen,suka yako ya mabutu , heri hata ungevaa kilemba, haipendezi ulivyo.
Hata leo sherehe kuuubwa mkoani Manyara, mabutu!
Aaah!

Tupe raha Queen, pendeza kidogo.
It's a unique matter. Hiyo ndiyo brand yake na way of her life style. Ummy mwalimu bila shaka ni mama wa kiislam lakini havai hijabu kama kina mama wengine viongozi wa serikali yeye anafunga kitambaa tu. Walikuwepo kina mama mkapa yeye hata msiba mkubwa wa kitaifa aliacha kichwa wazi huku ni first lady. Hata hivyo queen sendiga ni mrembo na ana sura nzuri, still ni pisi kali na anavutia kama mwanamke
 
Kama huu uzi kaweka Mwanaume kabisa

Basi hadi Shinyanga tumelizia apewe Mwarabu
 
She looks so beautiful kwa style yake hiyo hiyo, sio mawigi fekero fekero Nop!
 
Back
Top Bottom