Katika total football, ubora wa Yanga upo kwenye formation yeyote ya ku-defence. Ni ngumu sana kuona Yanga hii ya Nabi inafungwa goli nyingi. Je, uta-score?
Shida yangu, Uta-score mwananchii?
Mnayama falsafa yake ni kushambulia. Ila akikutana na timu ambayo wanatumia mipira ya juu saana na wapo aggressive. Mnyama hana jipya.
Siwalaumu, ila ni nature ya wachezaji waliopo. Mpinzani tumia wings kushambulia(Huwa tunaona madhaifu ya kina Tshabalala), Wakimbize, Piga cross ya juu. Utakuta Manula haya yeye haelewi kilichotokea.
Ila ukisema utembeze boli chini. Mnyama ataku-outshine, Mnyama atakutesa sana.