Quick Reminder: Ewe Shabiki wa Simba na Yanga punguza matarajio

Quick Reminder: Ewe Shabiki wa Simba na Yanga punguza matarajio

Waambie mashabiki wa yanga sisi tushazoe huko Caf champions league ni wazoefu ila wale upande wa pili wameanza kuwaambia wana habari kwamba kule baridi inawasumbua ili hata wakipigwa wapate kisingizio.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliana na wewe umeandika bila kupelekeshwa na mihemko ya kishabiki lakini naomba nikupinge kidogo katika hii aya

Ni kweli miaka ya karibuni simba imekua na rekodi nzuri kimataifa ukilinganisha na timu zingine hapa nchini lakini bado haijafika hatua ya kusema they belong to that competition kumbuka simba imefanya ivyo kwa miaka takribani minne tu kwaiyo haijafika level za kusema nae ni kigogo uko umweke kwenye mzani mmoja na wakina al ahly, sundowns n.k ambao miaka nenda rudi wanasumbua uko hata ulaya kuna timu ambazo zinaibuka na kupotea mfano monaco, dortmund, porto n.k hawa huwezi kuwaweka kwenye mzani mmoja na real madrid, bayern munich n.k ambao wanapambania kombe miaka nenda rudi na pia tusisahau miaka sita au mitano nyuma simba alikua na kikosi bora sana huwezi kufananisha na hawa wakina kibu dennis pamoja na spirit na mentality ya timu pia kikosi bora kinachangia sana kupata matokeo chanya pia ukiangalia tangu simba anaondolewa na orlando pirates ubora na chati yake hapa nyumbani na kimataifa imekua ikishuka kutokana na kuuza wachezaji wazuri, kushuka viwango na umri kwenda kwa wachezaji waliopo na usajiri mbovu. Binafsi sitashangaa kama simba ikishika mkia kwenye kundi lake
Nikivaa viatu vyako naona bado tupo kwenye same lane.

Ni kweli mentality pekee haitoshi, ila ni mwanzo wa kila mafanikio.

Ndiyo maana nimesema Simba akipata wachezaji bora, kwa mentality yake namuona fainali kabisa, ila kwa sasa ana avarage players tu.
 
Waambie mashabiki wa yanga sisi tushazoe huko Caf champions league ni wazoefu ila wale upande wa pili wameanza kuwaambia wana habari kwamba kule baridi inawasumbua ili hata wakipigwa wapate kisingizio.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Yanga aendelee kujitafuta tu, ila kwa sasa lolote litakalotoea walipokee vyema kabisa.
 
Nikivaa viatu vyako naona bado tupo kwenye same lane.

Ni kweli mentality pekee haitoshi, ila ni mwanzo wa kila mafanikio.

Ndiyo maana nimesema Simba akipata wachezaji bora, kwa mentality yake namuona fainali kabisa, ila kwa sasa ana avarage players tu.
Kwa kigezo cha wachezaji bora basi tukubali hata yanga pia sio wa kuwalaumu maana kwa kipindi cha miaka takribani minne simba akiwa anafanya vizuri kumbuka alikua na mfadhili ambae alikua anawezesha suala la kumudu kuwa na wachezaji bora wakati huo wote tunajua hali aliyokua nayo yanga baada ya manji kupigwa pin na mamlaka. Tukisema tufanye ulinganisho wa yanga na simba kimataifa basi ziangaliwe rekodi zao kwa hii miaka miwili tangu GSM amebeba jukumu la ufadhili completely haitakua sawa kuilinganisha simba ya mo, miquisone, chama, kagere na boco wakiwa kwenye ubora wao na yanga ya kutembeza bakuli uwanjani, yikpe, moringa n.k
 
Sasa Simba yupo kwenye Kundi gumu sana maybe zaidi hata ya lile la Al-ahly na Vita. Raja si mwepesi hata kidogo(hata hapa kwa mkapa), Vipers atatupa pia mechi moja ngumu sana(Mark my words), Horoya si wepesi pia pale kwao. Nitakua mtu wa mwisho kuamini simba atapata 7+ points kwenye group lake. Punguza matarajio.
Taratibu yale yaliyonenwa mwanzo yanaenda kutokea.
 
Yakiwa yamebaki Masaa yasiyozidi therathini kwa Timu zetu za Kariakoo kurusha karata zao katika mashindano ya kimataifa, ghafla nazinduka usingizini baada ya kuyakumbuka maneno ya mzee mmoja mwenye busara aliyesema;

"SON, Football can kill you, A real death. Don't settle for less but lower your expectations"

Matarajio, Matarajio, Matarajio. Hayo matarajio makubwa uliyonayo. Je, yanaendana na ubora wa kikosi chako?

Hii ndiyo ile miezi ya Nongwa pale Jangwani. Why?, Tunaaminishwa tena na viongozi wetu kabisa, Yanga ni timu bora sana, like hakuna timu ya kuizuia. So kama mashabiki matarajio yetu yapo juu, Inafika wakati unawaza ubingwa kabisa. Mambo yakiwa tofauti ni disappointments na Vilio. Punguza matarajio wewe sio mkubwa kama unavyofikiri.

Hii ndiyo ile miezi ya manung'uniko pale msimbazi(Hawa jamaa hawana kelele sana kama wananchi). Naamini utakubaliana na mie, Simba linapokuja suala la kimataifa mentality yao ni kama Real Madrid, yaani ligi ya ndani anaweza kuwa wa kawaida ila kimataifa wana-spirit moja ya ajabu sana. Timu nyingi zina mengi ya kujifunza kutoka kwa Simba. Simba ikija kupata wachezaji bora, Nawaona fainali kabisa.

Sasa Simba yupo kwenye Kundi gumu sana maybe zaidi hata ya lile la Al-ahly na Vita. Raja si mwepesi hata kidogo(hata hapa kwa mkapa), Vipers atatupa pia mechi moja ngumu sana(Mark my words), Horoya si wepesi pia pale kwao. Nitakua mtu wa mwisho kuamini simba atapata 7+ points kwenye group lake. Punguza matarajio.

Ni vizuri ukawa positive kuhusu timu yako, pia kama shabiki unaweza tamba na timu yako ila ni vyema ukatengeza mazingira ya kuto-jidanganya(Jiambie ukweli). Otherwise, vile vilio vitarejea tena. Zile ngonjera za atuachie timu yetu....sijui hatumtaki huyu na yule tuzisikia sana.

Yaani Mnyama unafungwa na Raja unalia? Una-andamana? Wewe Mnyama wa wapi buana?

Mwanachiii. Punguza matarajio.

Nasema haya sababu najali. Tupunguze matarajio.

All in all, Kila lenye Kheri Mwananchi.
All the best, Mnyama.
Simba ikija kupata wachezaji bora, Nawaona fainali kabisa.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Yakiwa yamebaki Masaa yasiyozidi therathini kwa Timu zetu za Kariakoo kurusha karata zao katika mashindano ya kimataifa, ghafla nazinduka usingizini baada ya kuyakumbuka maneno ya mzee mmoja mwenye busara aliyesema;

"SON, Football can kill you, A real death. Don't settle for less but lower your expectations"

Matarajio, Matarajio, Matarajio. Hayo matarajio makubwa uliyonayo. Je, yanaendana na ubora wa kikosi chako?

Hii ndiyo ile miezi ya Nongwa pale Jangwani. Why?, Tunaaminishwa tena na viongozi wetu kabisa, Yanga ni timu bora sana, like hakuna timu ya kuizuia. So kama mashabiki matarajio yetu yapo juu, Inafika wakati unawaza ubingwa kabisa. Mambo yakiwa tofauti ni disappointments na Vilio. Punguza matarajio wewe sio mkubwa kama unavyofikiri.

Hii ndiyo ile miezi ya manung'uniko pale msimbazi(Hawa jamaa hawana kelele sana kama wananchi). Naamini utakubaliana na mie, Simba linapokuja suala la kimataifa mentality yao ni kama Real Madrid, yaani ligi ya ndani anaweza kuwa wa kawaida ila kimataifa wana-spirit moja ya ajabu sana. Timu nyingi zina mengi ya kujifunza kutoka kwa Simba. Simba ikija kupata wachezaji bora, Nawaona fainali kabisa.

Sasa Simba yupo kwenye Kundi gumu sana maybe zaidi hata ya lile la Al-ahly na Vita. Raja si mwepesi hata kidogo(hata hapa kwa mkapa), Vipers atatupa pia mechi moja ngumu sana(Mark my words), Horoya si wepesi pia pale kwao. Nitakua mtu wa mwisho kuamini simba atapata 7+ points kwenye group lake. Punguza matarajio.

Ni vizuri ukawa positive kuhusu timu yako, pia kama shabiki unaweza tamba na timu yako ila ni vyema ukatengeza mazingira ya kuto-jidanganya(Jiambie ukweli). Otherwise, vile vilio vitarejea tena. Zile ngonjera za atuachie timu yetu....sijui hatumtaki huyu na yule tuzisikia sana.

Yaani Mnyama unafungwa na Raja unalia? Una-andamana? Wewe Mnyama wa wapi buana?

Mwanachiii. Punguza matarajio.

Nasema haya sababu najali. Tupunguze matarajio.

All in all, Kila lenye Kheri Mwananchi.
All the best, Mnyama.
Uliona mbali
 
Back
Top Bottom