Qur-an description about the clouds

Sawa fafanua na kuhusu jua kuzama kwenye matope usiku na kuchomoza kutoka matopeni alfajiri
 
Qur an ni kitabu kinacho elezea mambo yote ya sayansi kabla ya wavumbuzi kuzaliwa na ndio maisha tunayo ishi hasa kwanini tusiamini.
muachage uongo, lini quran imeanza kuwa ni kitabu cha rejea za kisayansi? Hatukusoma quran kuwa ni sayansi application, tunasoma wanasayansi wote wa physics na chemistry si waislam hata mmoja, le mje mseme quran ni sayansi, how come? Udini tu mnashabikia
 
Mashaka yapo mengi hata Qur"an iko na makosa mengi na ndio maaana kuna zilizochomwa unafanya hatujuii kama kitu hakina mashak kuna aya nyingine zingechomwa kaka

Weka ushahidi hapa na utuambie sababu za kuchomwa hiyo Qur'an.

Kingine, mpaka unakufa huwezi kuleta hata kosa Moja kwenye Qur'an.

Qur'an huijui, huenda umesikia vitu mitandaoni na hujavifatilia.
 
Ety Qur'an ni sayansi
 
Nilikuambia unitajie historical facts baada ya hapo unipe na source.

Sijaona historical facts zaidi ya maandishi nisiyoyaelewa kugha yake ndio maana nikauliza hiki ni nini umeandika

Nimekutajia fact tayari kwamba hakuna dini kongwe kuliko UISLAMU, kisha nikakuwekea rejea.

Sasa labda hujui maana ya facts, au facts kwako wewe nikuambie habari za mapangoni au Carbon 14 ?

Unatakiwa uongeze umakini ili usirudie jambo ambalo tayari limeshawekwa wazi.

Ni wakati wako Sasa uonyeshe au upinge hiki nilichokiandika kwa ushahidi na uje kuthibitisha ya kuwa Kuna dini kongwe kuzidi UISLAMU.
 
Weka ushahidi hapa na utuambie sababu za kuchomwa hiyo Qur'an.

Kingine, mpaka unakufa huwezi kuleta hata kosa Moja kwenye Qur'an.

Qur'an huijui, huenda umesikia vitu mitandaoni na hujavifatilia.
Hata hujuii Qur'an yako
 
Facts hazitajwi tu kwa kusema ni facts.

Unaelewa maana ya historical record?
 
Onyesha mashaka yako wapi kwenye kitabu cha hesabu cha form 2

Rejea kitabu husika kuanzia Chapter Five mpaka Chapter Eight ya kitabu hicho nina mashaka nayo.

Naomba uje kuonyesha ukweli juu ya hizo chapter. Tuanzie hapo. Na utuambie ilikuwaje wakafikia hitimisho juu ya theory hizo, na kwanini Kuna assumptions kwenye baadhi ya theory ?
 
Facts hazitajwi tu kwa kusema ni facts.

Unaelewa maana ya historical record?

Naposema kifo kipo, how unaogopa ni fact au sio fact ?

Bali fact wewe unazijuaje bila kutajwa ? Hivi unakisoma unachokiandika ?

Naelewa ndio maana nimekuwekea fact na marejeo yake ambayo ndio Historical records.
 
Be specific kwa ku point eneo husika kwenye hizo chapter.

Weka kilichoandikwa kwenye hizo chapter halafu uoneshe hayo mashaka.

Kuna wasiwasi kwenye hayo unayoita mashaka kuwa ni tatizo lako personal la kushindwa kuelewa vitu.

Sio kila usichokielewa kina mashaka. Wewe ndio mwenye mashaka. Sawa mashaka?
 
Naposema kifo kipo, how unaogopa ni fact au sio fact ?

Bali fact wewe unazijuaje bila kutajwa ? Hivi unakisoma unachokiandika ?

Naelewa ndio maana nimekuwekea fact na marejeo yake ambayo ndio Historical records.
Kwann sasa uogope kifooo sasa
 
Naposema kifo kipo, how unaogopa ni fact au sio fact ?

Bali fact wewe unazijuaje bila kutajwa ? Hivi unakisoma unachokiandika ?

Naelewa ndio maana nimekuwekea fact na marejeo yake ambayo ndio Historical records.
Hivi unaelewa hujajibu swali?

Unaelewa maana ya historical records?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…