Qur-an description about the clouds

Sindio uongo jibu swali adamu alifunga aliswali alienda maka hujajibuu
 

Mkuu you ur ignorant katika masuala ya uislamu, hata Muhammad saw uislamu aliukuta anasema mwenyewe alifuata dini ya nabii Ibrahimu
Ni muongo amewadanganya,hakufuata dini ya Ibrahim,manake huyo ibra hakuwahi hata na kuwa 4
 
Qur an ni kitabu kinacho elezea mambo yote ya sayansi kabla ya wavumbuzi kuzaliwa na ndio maisha tunayo ishi hasa kwanini tusiamini.
Kati ya Quran na Aristotle, Archimedes, Pythagoras, Hipparchus ni nani alianza kuwepo?

Quran imeanza kuandikwa mwaka 609AD wakati hao wanasayansi walishagundua vitu vingi na kuja na theories na principles kibao miaka mingi kabla ya kristo (BC)
 
Kati ya Quran na Aristotle, Archimedes, Pythagoras, Hipparchus ni nani alianza kuwepo?

Quran imeanza kuandikwa mwaka 609AD wakati hao wanasayansi walishagundua vitu vingi na kuja na theories na principles kibao miaka mingi kabla ya kristo (BC)
Qur'an imekuja hata afrika tushaelimika kitambo sana Qur'an ni ya juzi juzi tuu mwaka 60Ad
 
Kati ya Quran na Aristotle, Archimedes, Pythagoras, Hipparchus ni nani alianza kuwepo?

Quran imeanza kuandikwa mwaka 609AD wakati hao wanasayansi walishagundua vitu vingi na kuja na theories na principles kibao miaka mingi kabla ya kristo (BC)
Na kuheshima sanaa ila sidhani kama unaweza usijue Renaissance re birth of knowledge ulikuepo mwaka gani? Sawa tuambie Bc waligundua nini mkuu?
 
Na kuheshima sanaa ila sidhani kama unaweza usijue Renaissance re birth of knowledge ulikuepo mwaka gani? Sawa tuambie Bc waligundua nini mkuu?
Kwaiyoo wataka useme vitu vyote vimegunduliwa na Qur'an kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…