Qur-an description about the clouds

MTU MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUAMINI KITABU CHA UPUUUU
MBAAAVVVUUU KIASI HICHOO
Kabisaaa yaaaan
Walimuona mwongo tuu alikuwa mvivu wa kichunga kondoo jangwani
 
Mohamed alikuwa mvivu wa kuchungaaa kondoo akatunga dini uvivuuu tuuu
 
Naona kina kitu wa changa

Ibada ya swala haikuwepo wakati wa Nabii Adam
 
Mohamed alikuwa mvivu wa kuchungaaa kondoo akatunga dini uvivuuu tuuu
Kina siku nilimwambia mtu humu kama Muhammad ni muongo na Qur an yake ni sawa

Sasa ili tuamini maneno yako wewe ambae sio mvivu tunga angalau Aya moja ili tuamini maana Muhammad (s,a,w) alituaminisha hivyo.
 
Kina siku nilimwambia mtu humu kama Muhammad ni muongo na Qur an yake ni sawa

Sasa ili tuamini maneno yako wewe ambae sio mvivu tunga angalau Aya moja ili tuamini maana Muhammad (s,a,w) alituaminisha hivyo.
Hata mm nina ayaaa zangu tena hata mamshinda mudi
 
Sasa unasemajee adamu ni muislamu
Kipendi chake swala haikufarandishwa, haimtoi kwenye uislam

Mfano: mtoto mdogo hasipo swali hatuwezi sema si muislam kwasababu hukum ya swala bado haija muwajibikia.

Tofauti na wale watoto wa kikafiri ambao tayari wazazi wao washa watoa kwenye uislam kwa kuwabatiza nk.

Kwasababu mtu yoyote anazaliwa akiwa muislam
 
Kwaiyoo adamu alikuwa mtoto
 
Ibada ya swala haikuwepo wakati wa Nabii Adam
Naam! Taratibu umeanza kutumia akili na siyo mahaba!

1:Mpaka sasa Adam hajatekeleza mojawapo ya nguzo kuu ya dini si ndiyo??

2: Bado unaamini alikuwa muislamu??

3: Je,unakubali hizo nguzo kuu tano na za imani alianza kutumia mtume??

4:Je,Mungu alitumia kigezo gani kumpa mtume hizo nguzo na kuwasahau mitume wengine hata nguzo moja??

5:Ukitumia akili yako vizuri huoni kuwa uislamu ulianza wakati wa mtume?? Fuatilia vizuri historia ya mtume!
 
Alikuwa na Mmoja TU Sara,huyo mwingine alizalishwa TU,na alitimuliwa Ili kutovuruga penzi la ibra na Sara!!!
 

Kingine Qur'an sio kitabu Cha Sayansi, na ni makosa ya dhahiri kukilinganisha na Sayansi.

Qur'an ni muongozo kwa watu, na yanayosemwa na Qur'an ni kweli tu isiyo kuwa na shaka ndani.

Sayansi misingi yake ni dhaifu na onabadilika kila uchwao, lakini Qur'an haibadiliki.
 
Ila sayansi ipo kwenye quran tu?
Haipo kwenye zaburi, taurati wala injili?

Kwenye Qur'an hakuna Sayansi, bali Kuna muongozo kwa watu na ubainifu.

Ukiijua Qur'an huwezi kuilinganisha na hiyo elimu ya kubahatisha iliyo jengeka kwenye msingi wa dhana na majaribio.
 
Vip kuhus kuhusu kufanyika kwa tetemeko la arch na kupatwa kwa jua na mwez
Qur an 099 "The earthquake"

When the earth is shaken with it's (final) earthquake

And the earth discharges it's burdens

And man says "what is (wrong with it)

That day, it will report it's news

Because ur lord has commanded it ........ "To the end"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…