Qur-an description about the clouds

Qur-an description about the clouds

Dah nakupa pole sana ndugu yangu. Ukiamua kuishi maisha yako yote mpaka ukafa haujaisoma Quran basi ile siku yako ya kufa ndio utajua hujui
Huoo ndio ujinga wa watu wanaoamini din mm sasa nataka kuona huoo mwisho wangu na Qur'an ni uongo wa mudi tuu
 
Kuswali manaake ni nini mkuu? Adam aliabudu Mungu moja ndo kuswali kwake kama Musa Ibrahimu Isa wote aliabudu Mungu moja.
Adamu alisoma wap Qur'an adamu alienda lini maka kubusu jiwe adamu alifunga lini adamu aliwahi lini kufanya mambo ya Uislamu kaka
 
Adamu hakuwahi kuwa muislamu bhana Acha uongo na uzushi wako yaaan uislamu uje karne ya saba useme ety adamu mwongo mjing wewe
Mkuu you ur ignorant katika masuala ya uislamu, hata Muhammad saw uislamu aliukuta anasema mwenyewe alifuata dini ya nabii Ibrahimu
 
Kwahiyo unanitisha?

Hata sikutishi ndugu yangu, wewe endelea maisha. Sisi pia tunasubiri hicho kifo. Siku hiyo itajulikana ukweli na uwongo; lakini kwa bahati mbaya hakuna reverse, ukishaondoka ndio umeondoka
 
Hata sikutishi ndugu yangu, wewe endelea maisha. Sisi pia tunasubiri hicho kifo. Siku hiyo itajulikana ukweli na uwongo; lakini kwa bahati mbaya hakuna reverse, ukishaondoka ndio umeondoka
Kwahiyo mnamsubiri yule malaika wenu mwenye rungu lenye urefu wa kutoka mashariki hadi magharibi aje,awauliza maswali.humo kaburini
 
Hata wasinge thibitisha ndio iko hivyo,
Kwa mfano kuhusu roho,binadamu anapofariki,Qur'an imesema,hata watu wawe mbele ya mgonjwa,na roho inatoka,lakini haionekani ikitoka,mpaka leo,hakuna mwanasayansi,aliyeweza kuiona roho,ikitoka.Qur"an inasema,Wanakuuliza kuhudu roho,waambie hiyo ni elimu,ambayo hamkupewa na Mungu,na elimu mliopewa ni chache.
Yapo mambo mengi,wanasayansi yamewashinda,wanabaki kusema,ni mabadiliko ya tabia nchi,au ugonjwa usiojulikana.
 
Hata sikutishi ndugu yangu, wewe endelea maisha. Sisi pia tunasubiri hicho kifo. Siku hiyo itajulikana ukweli na uwongo; lakini kwa bahati mbaya hakuna reverse, ukishaondoka ndio umeondoka
Muhammad mwongo tuuu
 
Kwa mfano kuhusu roho,binadamu anapofariki,Qur'an imesema,hata watu wawe mbele ya mgonjwa,na roho inatoka,lakini haionekani ikitoka,mpaka leo,hakuna mwanasayansi,aliyeweza kuiona roho,ikitoka.Qur"an inasema,Wanakuuliza kuhudu roho,waambie hiyo ni elimu,ambayo hamkupewa na Mungu,na elimu mliopewa ni chache.
Yapo mambo mengi,wanasayansi yamewashinda,wanabaki kusema,ni mabadiliko ya tabia nchi,au ugonjwa usiojulikana.
Sasa hiyoo si copy and paste usilamu umekop uislamu ni uongo wa mudi alikuwa mwongoo sana
 
Ulianza na nabii Adam, wewe unasema je?
1: Naomba ushahidi kuhusu uislamu alioufanya Adam kwa kupitia nguzo kuu na nguzo za imani za uislamu.

2:Kupitia historia ya Adam na mtume unahisi nani alikuwa muislamu??
 
Kwa mfano kuhusu roho,binadamu anapofariki,Qur'an imesema,hata watu wawe mbele ya mgonjwa,na roho inatoka,lakini haionekani ikitoka,mpaka leo,hakuna mwanasayansi,aliyeweza kuiona roho,ikitoka.Qur"an inasema,Wanakuuliza kuhudu roho,waambie hiyo ni elimu,ambayo hamkupewa na Mungu,na elimu mliopewa ni chache.
Yapo mambo mengi,wanasayansi yamewashinda,wanabaki kusema,ni mabadiliko ya tabia nchi,au ugonjwa usiojulikana.
Kwan kuna dini imesema roho inaonekana
 
1: Naomba ushahidi kuhusu uislamu alioufanya Adam kwa kupitia nguzo kuu na nguzo za ibada za uislamu.

2:Kupitia historia ya Adam na mtume unahisi nani alikuwa muislamu??
Mtume mwenyewe hajawahi kuwa muislam mtuu kaishi miaka 40 anabudi masanamu afuu miaka 23 ndio kawa muislamu hivii huyuu mudi anaabudu nn
 
1: Naomba ushahidi kuhusu uislamu alioufanya Adam kwa kupitia nguzo kuu na nguzo za imani za uislamu.

2:Kupitia historia ya Adam na mtume unahisi nani alikuwa muislamu??
Hawezi kukupa ushahidi ety adamu muislamu wap adamu alienda msikitini huoo sindio uongo wa Qur'an
 
Kwahiyo mnamsubiri yule malaika wenu mwenye rungu lenye urefu wa kutoka mashariki hadi magharibi aje,awauliza maswali.humo kaburini
Sio wa kwetu tu hata wewe utaulizwa tu; hicho kiburi chako ni hapa duniani tu
 
Back
Top Bottom