92Ubuntu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 313
- 367
Inatosha kuamin...Kusema dini ni upuuzi haimanishi sijuii mungu kama yupo mungu yupo ila sio kama uislamu na ukristo unavyotuelezaaa broo ila mungu yupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatosha kuamin...Kusema dini ni upuuzi haimanishi sijuii mungu kama yupo mungu yupo ila sio kama uislamu na ukristo unavyotuelezaaa broo ila mungu yupo
Kusema dini ni upuuzi haimanishi sijuii mungu kama yupo mungu yupo ila sio kama uislamu na ukristo unavyotuelezaaa broo ila mungu yupoUnapoint mzee ila jaribu kuangalia na fact , binadam lazima kdg tuwe na imani kuwa mungu yupo na siku ya mwisho ipo, hizi din mtu mweusi tumeletewa ila sasa fact iko wapi sikulazimishi usiwe na din au kuto kuaminin kama mungu yupo ila ni vzr kuwa na iman..
Ni hivyooooInatosha kuamin...
Sasa utaaamin vip Qur'an na ni uongo mtupuKivipi
Sasa niweke quruan yangu mm ni mwarabu wewe vip mm sio mwarabuUlisema utaweka Qur an yako, bado twaisubiri
Fact zipo nyingi dada angu Ukiangalia kwenye Utungaji wa mimba mpka mtoto anazaliwa, Quran inaeleza vizuri, Kwenye masuala ya Solar sytem na unajim Quran inaeleza vzri tuu, bado na pia mfumo mzima binaadam aishije pia quran inaeleza vizurii tuuuKivipi
Kwaiyoo kabla ya Qur'an watu walikuwa hawaishii sioFact zipo nyingi dada angu Ukiangalia kwenye Utungaji wa mimba mpka mtoto anazaliwa, Quran inaeleza vizuri, Kwenye masuala ya Solar sytem na unajim Quran inaeleza vzri tuu, bado na pia mfumo mzima binaadam aishije pia quran inaeleza vizurii tuuu
Simama kati kati kaka usitake mabishano tayari tushamaliza we baki na iman yako na mm nibak na iman yungu ,itoshe kisema ivyooKwaiyoo kabla ya Qur'an watu walikuwa hawaishii sio
Qur'an alitunga jamaaa .mmoja anaitwa mzee mudi afuu sasa akataka watu wamwamini yaaan Acha sasa kama km quruan imekamilika mnasema peponi kuna wanawake 73 kwa wanaume je wanawake wema watapewa nnSimama kati kati kaka usitake mabishano tayari tushamaliza we baki na iman yako na mm nibak na iman yungu ,itoshe kisema ivyoo
Quruan imekuta maisha yameeendelea watu washajenga mpaka magorofa labda huko maka ndio kulikuwa hakuna maendeleoo Quruan imekuja na imewakuta wakina Aristotle pilato akina Jesus sasa useme etyy imegundua vitu haya imegundua nn QuruanHata wasinge thibitisha ndio iko hivyo,
Inasemaje kuhusu artificial intelligence na umemeHakuna kisicho zungumziwa
Nikuulize swali Quran ilishuka au kuandikwa lin au kipindi gani..!!?Quruan imekuta maisha yameeendelea watu washajenga mpaka magorofa labda huko maka ndio kulikuwa hakuna maendeleoo Quruan imekuja na imewakuta wakina Aristotle pilato akina Jesus sasa useme etyy imegundua vitu haya imegundua nn Quruan
Qur'an haijashuswa mudi alifundiswa na wakatolic hakuna kitu kimeshuka bhanaNikuulize swali Quran ilishuka au kuandikwa lin au kipindi gani..!!?
Bado hujajibu swali broo...Qur'an haijashuswa mudi alifundiswa na wakatolic hakuna kitu kimeshuka bhana
Sasa kama Jesus aliishi mika 5 bk na mudi alikuja 607 ad yaaan hata babu wa Muhammad hajazaliwa Jerusalem misri iko na maendeleo ugirik watu washaendeleaa leo useme quruan iligundua vitu una akili weweNikuulize swali Quran ilishuka au kuandikwa lin au kipindi gani..!!?
Mm sijuii imeandikwa lini lakin mwazilishi wake alizaliwa mwaka 607 ad sasa sijuii aliitunga lini kakaBado hujajibu swali broo...
Kwahiyo Mohammad alitoka dini gani kabla hajawa muislamu?
Mkuu kabla ya Mohammad kusilimu alikuwa dini gani?Simama kati kati kaka usitake mabishano tayari tushamaliza we baki na iman yako na mm nibak na iman yungu ,itoshe kisema ivyoo
Alikuwa muabudu masanamu kakaKwahiyo Mohammad alitoka dini gani kabla hajawa muislamu?