Hata hujuii Qur'an yako
Jibu maswali niliyo kuuliza.
Qur'an Kila siku naisoma na Nina ifatilia kwa ufupi ndio muongozo kwangu.
Sasa fanya kama nilivyo kuambia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hujuii Qur'an yako
Sasa mm inanisaidia nn kaka afuu ni ya kiarabu kina faida ganiJibu maswali niliyo kuuliza.
Qur'an Kila siku naisoma na Nina ifatilia kwa ufupi ndio muongozo kwangu.
Sasa fanya kama nilivyo kuambia.
Mbona iliwaacha wanaoiamini kwenye kiza bila hata baiskeli? Kwa wapumbavu ni kweli quran ni zaidi ya sayansi. Kwangu binafsi, ni sayansi ya uchawi na uongo.Quran ni zaidi ya sayansi.
Hivi unaelewa hujajibu swali?
Unaelewa maana ya historical records?
Qur'an ni upambavuuu sanaaa yaaaanMbona iliwaacha wanaoiamini kwenye kiza bila hata baiskeli? Kwa wapumbavu ni kweli quran ni zaidi ya sayansi. Kwangu binafsi, ni sayansi ya uchawi na uongo.
Kijana huu unaleta utoto, nimekuwa ainishia chapter za kwenye hicho kitabu na nikaenda mbali zaidi nimekwambia katika theory, hivi kwanza hicho kitabu unacho hapo ? Kama huna kipakue mtandaoni utazame hizo chapter.Be specific kwa ku point eneo husika kwenye hizo chapter.
Weka kilichoandikwa kwenye hizo chapter halafu uoneshe hayo mashaka.
Kuna wasiwasi kwenye hayo unayoita mashaka kuwa ni tatizo lako personal la kushindwa kuelewa vitu.
Sio kila usichokielewa kina mashaka. Wewe ndio mwenye mashaka. Sawa mashaka?
Ni kweli. Ni sawa na biblia kitabu cha watasha na wayahudi kinachotukuzwa wakati kimejaa uchafu kama vile usodomaQur'an ni upambavuuu sanaaa yaaaan
Vitabu vyote hivii havitufaii sisi wafrica ujinga tuuuuNi kweli. Ni sawa na biblia kitabu cha watasha na wayahudi kinachotukuzwa wakati kimejaa uchafu kama vile usodoma
Sasa mm inanisaidia nn kaka afuu ni ya kiarabu kina faida gani
Mwanangu umenena na una akili sana. Vimetupotezea muda na kupandikiza chuki na kutojiamini mbali na uvivu na utaahira kwa kiwango cha kaumu aka mass imbecilisation mwanangu.Vitabu vyote hivii havitufaii sisi wafrica ujinga tuuuu
Historical records ni nini?Swali nimejibu, labda useme sijajubu vile unavyotaka wewe.
Najua ndio maana nimekuwekea na marejeo ya vitabu. Au ukitaka nikuonyeshe fuvu ?
Kabisaa dini zingefutwa AfricaMwanangu umenena na una akili sana. Vimetupotezea muda na kupandikiza chuki na kutojiamini mbali na uvivu na utaahira kwa kiwango cha kaumu aka mass imbecilisation mwanangu.
Kuna gwiji mmoja huziita the Curse of SalvationKabisaa dini zingefutwa Africa
Maana yake huijui, jf ni sehemu pekee ambayo Kuna WAJINGA kama wewe.
Hakikisheni haya mambo mnayajua.
Hujaainisha on specific way. Umesema tu bila kuziweka hapa wote tukaziona.Kijana huu unaleta utoto, nimekuwa ainishia chapter za kwenye hicho kitabu na nikaenda mbali zaidi nimekwambia katika theory, hivi kwanza hicho kitabu unacho hapo ? Kama huna kipakue mtandaoni utazame hizo chapter.
Wajinga sanawavaa kobazi bhna
Vichawani ni weupe peeeWajinga sana
Kabisa ety Qur'an ni sayansi si uongo huooVichawani ni weupe peee