Qur-an description about the clouds

Qur-an description about the clouds

1. Je ninyi ni watu wa jamii ya mtume au wa kipindi cha mtume?

2. Ilitafsiriwa. Je Kuruwan haiwezi kutafsiriwa?

3. Ingetafsiriwa kulingana na lugha inayotumika katika eneo husika, ili kila mtu aelewe kilichomo. Hiyo ni faida. Tofauti na sasa ambapo waislam wengi hawaelewi kilichoandikwa kwenye kurwan isipokuwa yale maneno machache ambayo huwa mnayarudia rudia kwa kuyaimba kila siku katika zile swala 5. Jambo ambalo si lenye afya kwa kutafakuli na kulisha ubongo.

4. Ndiyo lugha hutufanya tuwe wamoja ni kweli. Lakini linalowafanya watu wawe wamoja hata zaidi ni maudhui ya mafundisho, imani au itikadi. Kwa hiyo kitu kinachowaunganisha watu ni imani kwa muumba wao. Na si lugha. Kwa maana ukiangalia watu wanaokijua kiarabu cha kwenye kuruwan ambacho kinakufa kwa sababu kimepitwa na wakati ni wachache sana.

5. Mnaelewana kwa mambo au maneno yale machache mnayorudia rudia kila wakati. Lakini mtu akianza kuongea maneno mengi nje ya yale mnayokariri na kuimba, wengi hawata elewa. Ukweli ni kwamba waislam kwa idadi kubwa sana hawana vocaburaries (misamiati) mingi kwa sababu wao siyo native speakers wa kiarabu

6. Ni tafiti zinaonesha au ni hisia za waumini?

7. Wengi wanajihisi ni waumini safi ikiwa watatumia majina ya kiarabu. Hilo muarabu kafanikiwa sana. Hata kuna mmoja akawa ananiambia siku ya kiama wote mtajazana msikitini kujifunza kiarabu na kubadili majina yenu yawe ya kiarabu, ili mpata nafasi ya kuingia peponi.

Binafsi nikiwatazama namna yenu ya kuabudu, naona kwanza uarabu pamoja na mila, desturi na tamaduni zake. Baadaye ndiyo naiona dini. Hivyo dini imefichwa au kufungwa ndani ya uarabu.
Huoo ndio ukweli kabisa uislamu bila uarabu hakuna kituu
 
Nadhani hapo kuna umuhimu wa kutafsiri mtoto ni nani kwa muktadha wa jamii husika. Labda tuanze na jamii yetu
Kwa Jamii yetu mtoto ni mtu aliyeko chini ya umri 18

Katika Uislam binti akisha vunja ungo tayari sio mtoto tena. Na mvulana aki balekh

Sasa itategemea binti amevunja ungo akiwa na umri gani ni kuanzia miaka 9. Ila ni wachache sana wengi kuanzia 12 na kuendelea

Wachache ambao wanafika mpaka 15
 
Kwa Jamii yetu mtoto ni mtu aliyeko chini ya umri 18

Katika Uislam binti akisha vunja ungo tayari sio mtoto tena. Na mvulana aki balekh

Sasa itategemea binti amevunja ungo akiwa na umri gani ni kuanzia miaka 9. Ila ni wachache sana wengi kuanzia 12 na kuendelea

Wachache ambao wanafika mpaka 15
Bwana mudi ni mbakajii na inabidi ashitakiwe afungwe jela
 
Sasa aisha alivunja ungo na miaka 6

Kama alimuoa Aisha akiwa na miaka 6 basi huo ulikuwa ni uvunjifu mkubwa sana wa haki za watoto. Maana mtoto kwa umri huo, alikuwa hajui kwa nini wamemtoa kwa mama yake na kumpeleka aishi na mtu mwingine. Inasikitisha sana.
 
Kama alimuoa Aisha akiwa na miaka 6 basi huo ulikuwa ni uvunjifu mkubwa sana wa haki za watoto. Maana mtoto kwa umri huo, alikuwa hajui kwa nini wamemtoa kwa mama yake na kumpeleka aishi na mtu mwingine. Inasikitisha sana.
Mary mama wa Yesu alipewa mimba ya Yesu akiwa na miaka 13 , unataka kumaanisha Mungu alimbaka huyu mtoto wa miaka 13? Nyie mna chuki zenu mada ni Qur"an vs sayansi mnaleta chuki zeni kwa Mtume wa Allah.mtukufu
 
Mary mama wa Yesu alipewa mimba ya Yesu akiwa na miaka 13 , unataka kumaanisha Mungu alimbaka huyu mtoto wa miaka 13? Nyie mna chuki zenu mada ni Qur"an vs sayansi mnaleta chuki zeni kwa Mtume wa Allah.mtukufu

Tuache mihemko pembeni. Onesha uthibitisho wa kwamba Mariam alikuwa na miaka 13 alipopata mimba. Lakini pia Aisha wa miaka 6 ni tofauti kabisa na Mariam wa miaka 13. Licha ya kwamba wote ni watoto
 
Tuache mihemko pembeni. Onesha uthibitisho wa kwamba Mariam alikuwa na miaka 13 alipopata mimba. Lakini pia Aisha wa miaka 6 ni tofauti kabisa na Mariam wa miaka 13. Licha ya kwamba wote ni watoto
Wewe umeonyesha udhibitisho gani kwamba Aisha( ra) slikua na miaka 6, bangi ni hatari ukivuta usije jf mpaka ishe kichwani mwako.
 
Wewe umeonyesha udhibitisho gani kwamba Aisha( ra) slikua na miaka 6, bangi ni hatari ukivuta usije jf mpaka ishe kichwani mwako.

Makosa mawili hayawezi kutengeneza sahihi moja (licha ya kuwa - × - = +). Wewe lete huo uthibitisho.
 
Tuache mihemko pembeni. Onesha uthibitisho wa kwamba Mariam alikuwa na miaka 13 alipopata mimba. Lakini pia Aisha wa miaka 6 ni tofauti kabisa na Mariam wa miaka 13. Licha ya kwamba wote ni watoto
Mery hakutajwa kama ako na miaka 13 ila alikuwa bicra bicra anaweza kuwa hata na miak30
 
Wewe umeonyesha udhibitisho gani kwamba Aisha( ra) slikua na miaka 6, bangi ni hatari ukivuta usije jf mpaka ishe kichwani mwako.
Si quruan imesema si umesema ni kitabu hakina shaka sasa unaikana quruan sio
 
Wewe umeonyesha udhibitisho gani kwamba Aisha( ra) slikua na miaka 6, bangi ni hatari ukivuta usije jf mpaka ishe kichwani mwako.
Kwaiyooo unakAtaaaaa mtume hajamuona aisha na miaka 6
 
Back
Top Bottom