MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
Hakuna Qur’an inayoitwa “Swahih al-Bukhar”
Huu ni upotoshaji wa wazi kabisa mleta mada
Huu ni upotoshaji wa wazi kabisa mleta mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote ni vitabu vya kiislamu ambavyo 'viliteremshwa' kwa Mohamed na Winchi ya AllahHii ni Qur'an au hadith? 🤔
Hizo ni hadithi.Hakuna Qur’an inayoitwa “Swahih al-Bukhar”
Huu ni upotoshaji wa wazi kabisa mleta mada
Hakuna ukweli wowote hapo, na tena ni kinyume chake.Mtu mwenye akili timamu wala haitaji kuambiwa na kitabu chochote, huo ni ukweli ulio uchi
UTAWALA wa MWANAMKEHizi nafasi za juu za uongozi, wanawake wasiwe wanapewa kabisa......
uko tayari/unaweza mruhusu mkeo awe mtawala hapo nyumbani kwako?Hakuna ukweli wowote hapo, na tena ni kinyume chake.
Ujerumani ilikuwa bora zaidi kwa Angela Michael na hakuna Uingereza bora kushinda enzi za Magret Tharcher, unasemaje ndg mfagilia mfumedume?
Vyote ni vitabu vya kiislamu ambavyo 'viliteremshwa' kwa Mohamed na Winchi ya Allah
Hakuna ukweli wowote hapo, na tena ni kinyume chake.
Ujerumani ilikuwa bora zaidi kwa Angela Michael na hakuna Uingereza bora kushinda enzi za Magret Tharcher, unasemaje ndg mfagilia mfumedume?
Swali zuri.uko tayari/unaweza mruhusu mkeo awe mtawala hapo nyumbani kwako?
mimi mwanamke hata awe msomi vipi simuamini sana, dhaifu ni dhaifu tuu!Swali zuri.
NI vyema kujifunza au kufanya utafiti wa jambo kabla kuliweka bayana......
Quran sio hadith
Hakuna Qur’an inayoitwa “Swahih al-Bukhar”
Huu ni upotoshaji wa wazi kabisa mleta mada
Unazidi kudhihirisha udhaifu wa wanawake, kama walikuwa kundi maalumu kama watoto huoni ni sababu tosha ya kutowapa nafasi nyeti hata leo!? Kwa maelezo yako ulihisi unawatetea kumbe ndo unapigilia msumali.Hao ni ruler or emperor kipind ambacho kina mapambano kwa sana ,hadith zinafuatwa ni matendo pomoja aliyosema.
Ina maana kama ni ruler enzi zile lazima awe upande wa mbele kweny vita ,sasa kaangalie kweny vita kama palikuwa na wanawake.
Kwanza hao wanawake walikuwa special group kama watoto ,hawatakiwa hata kushambuliwa kipind cha vita ,sasa wangewezaje kuongoza vita?
Mwanamke huwa hana maamuzi binafsi, mpaka asikilize upande wa pili (mume au mchepuko wake)UTAWALA wa MWANAMKE
Wewe unasema ukweli, Qur'an ndo inasema uongo.Mimi nasema Tanzania itaendelea mtake msitake. Pamoja na maneno haya kusemwa na Quran naamini itakuwa si kwa ajili ya nchi yetu.
Labda kwa maeneo mengine. Tuendeleeni kumuunga mkono samia katika harakati zake. Haya mambo mengine yasitutoe kwenye mstari. Lazima tukubaliane dunia imebadilika. Au nasema uongo?
View attachment 2908698
Inatoka wapi? Inahusu nini?Hiyo ni hadithi.
Inatoka wapi? Inahusu nini?NI vyema kujifunza au kufanya utafiti wa jambo kabla kuliweka bayana......
Quran sio hadith
Mama anaupiga mwingi... Wenye wivu mjinyongeKama unamaanisha kumpigia chapuo mama, hii itakuwa kinyume chake, na hayo ni kati ya maandishi ya kipuuzi kabisa toka kwenye vitabu vya dini,
Yakiwa na nia ya kumnyanyapaa mwanamke na kuendekeza mfumodume.