Kariobangi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2022
- 480
- 435
Kwa hiyo afanye vile utakavyo halafu abaki kuwa Allah? Akili ya wapi hii?Allah hawezi kujipigania ?
Why asimgeuze panya huyo mchoma quran
Au ampige makofi kutoka mbinguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo afanye vile utakavyo halafu abaki kuwa Allah? Akili ya wapi hii?Allah hawezi kujipigania ?
Why asimgeuze panya huyo mchoma quran
Au ampige makofi kutoka mbinguni
Akili Ya Kunyonyolea Kuku Vibudu TuKwa hiyo afanye vile utakavyo halafu abaki kuwa Allah? Akili ya wapi hii?
Dah tafadhali kua makiniMalipo ni hapa hapa duniani usifikiri Mbinguni utalipizwa .
Waislamu wanatusemaga sana sijui makafikiri Sasa huoni quaran imechomwa
Inauma mnamsemaga Yesu ni kafiri na pia mnatusemaga sana sisi na dini yeti how do you feel Mungu yupo upande wetu na usiseme kiwa makini nimimi nimetoa video kuwa makini wewe
Yehova hawezi kujihubiria!!?..why mnapayuka hadharani Domo Pana na mijasho badala yeye mwenyewe ahubiri huko aliko tumsikie!!Allah hawezi kujipigania ?
Why asimgeuze panya huyo mchoma quran
Au ampige makofi kutoka mbinguni
Umeandika nilichokiwaza atavuna mavuno yake soonHuyo jamaa ni mwehu tu, amesahau kilichowakuta wale wachora vikatuni kule Ufaransa, atavuna alichopanda.
Allah hayupo.Yaani mpaka afanye vile unavyotaka wewe ndio awe Allah? Akili ya wapi hii!!!
Kwa sababu Allah hajanisaidia kuandika."Bula" lugha gani umeiandika hapo ?
Wewe kuku mmoja tu unampangia Mungu cha kufanya kama nani unajiona kichwa kumbe popoma. Aya hivyo vitabu vimechomwa vyote.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakuna Allah wala Jehovah.Yehova hawezi kujihubiria!!?..why mnapayuka hadharani Domo Pana na mijasho badala yeye mwenyewe ahubiri huko aliko tumsikie!!
Mimi hayo sijali langu lilikuwa ni kujua neno hilo tu .Kwa sababu Allah hajanisaidia kuandika.
Kwa sababu hayupo.
Angekuwepo nisingekosea.
Kama unabisha na kusema Allah yupo, thibitisha yupo.
Mwanasiasa mmoja nchini Sweden kachoma quran mbele ya balozi wa uturuki.
Kitendo hicho kimewakasirisha watu hasa RAIA wa uturuki mpaka kusababisha watu kuchoma Bendera ya sweden
HayaInauma mnamsemaga Yesu ni kafiri na pia mnatusemaga sana sisi na dini yeti how do you feel Mungu yupo upande wetu na usiseme kiwa makini nimimi nimetoa video kuwa makini wewe
nikuthibitishie wewe kama nani?Siwezi kumpangia Mungu asiyekuwepo cha kufanya.
Kwa sababu hayupo.
Kama unabisha, thibitisha yupo.
Usinithibitishie mimi tu, thibitisha hata kwako mwenyewe na kwa dunia nzima kwamba unachoamini ni kweli.