titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,571
- 9,789
Hao weusi wanavuna walichopanda ila Marekani wangekuwa hawabagui hawana duble standards Harvey Weinstein angekuwa jela kitambo sana.Kwahiyo wabake, wadhalilishe wanawake na watoto waachwe kwavile ni magwiji weusi?
Mfano ungekuwa unaishi US na R. Kelly akamharibu binti yako ungemuacha kisa tu ni legend?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app