R Kelly akimbilia maombi baada ya tuhuma dhidi yake za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto kupamba moto

R Kelly akimbilia maombi baada ya tuhuma dhidi yake za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto kupamba moto

Documentary ya Surviving R. Kelly haiwezi kumuacha salama, mwanzoni alitishia kuwafungulia kesi badala yake kakimbilia maombi?

Hata hivyo R. Kelly kazidi jamani. Tuache kasumba ya kutetea kisa weusi wenzetu.
Niliangalia interviews za aliyekuwa mke wake (Andrea Kelly) nilitokwa na machozi! Jamaa ni mnyama.

This time wamemuamulia, sidhani kama ‘atasurvive’ tena.
Pamoja na mziki wake mzuri ila ifikie wakati tutenganishe career na mhusika.
Nafuatilia kwa karibu hili, ngoja tuone itakuwaje.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani mtu anatenda kosa akiwa mweusi kwa wazungu watasema anaonewa.

Hili sakata la R Kelly sio la leo mimi nilikuwa namkubali sana kwa nyimbo zake ila aliposhikwa na clip za watoto wadogo uchi kwenye pc yake nikamdharau sana.

Hata Bill Cosby ni wale wale ingawa wapo wengi weupe wanafanya hayahaya lakini likija la mweusi eti ni uonezi duu


Sent from my SM using Tapatalk
 
Documentary ya Surviving R. Kelly haiwezi kumuacha salama, mwanzoni alitishia kuwafungulia kesi badala yake kakimbilia maombi?

Hata hivyo R. Kelly kazidi jamani. Tuache kasumba ya kutetea kisa weusi wenzetu.
Niliangalia interviews za aliyekuwa mke wake (Andrea Kelly) nilitokwa na machozi! Jamaa ni mnyama.

This time wamemuamulia, sidhani kama ‘atasurvive’ tena.
Pamoja na mziki wake mzuri ila ifikie wakati tutenganishe career na mhusika.
Nafuatilia kwa karibu hili, ngoja tuone itakuwaje.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Usimsahau na Mohammed naye alibaka binti wa miaka 12

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo si kweli kwamba R Kelly ana tabia ya kutoka na minors?

Ushawahi kuiona ile sextape ya R Kelly?

Halafu, achafuliwe R Kelly kwa minajili ipi hasa? Yeye ni mwanasiasa? Anatishia maslahi ya watu labda?

Kwa sababu, lately R Kelly si relevant kivile...

But most importantly, where is the proof that it is all part of a conspiracy to bring him down?
Foolish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amekuwa akituhumiwa kwa muda mrefu sana.
 
Anawaharibu kivipi???
kama ni binti amefika umri wa miaka 18 ametongozwa kakubali ni sawa....labda utufafanulie anawadhalilisha kivipi??
Huyo jamaa ndio tabia yake ...hajaanza jana wala juzi ... alishawahi kukutwa na kashfa ya kutoka na late Aaliya akiwa bado ni under18 .... ila wakafanya figisu akakoswa koswa kupigwa na rungu la sheria ...

Hawa wasanii sio watu wakuwaamini kabisaa ..hata robo ..ni watu ambao huwa wana makando Makando mengi mnooo ...

Nimeona hapo juu kuna mtu aliongelea kuhusu Mj pindi alipo kuwa ana andamwa na kesi kama hiyo ... inawezekana pia hata yeye alikuwa anawafanya watoto wawatu vibaya who knows ... !!? Kinachotokea mara nyingi huwa pindi unapo pishana kimaslahi na watu ambao wameishika industry wanaamua " kuvujisha siri zako " ambazo wanazijua in and out ..ila awali kwakuwa walikuwa na maslahi na wewe " basi walikuwa wameamua kuegemea upande wako ambao ndio unafaida " ...so baada ya kutibuana nao wanaamua tu kumwaga mboga ...

R.Kelly nimteja huyo " tena ana smoke unga haswaa " so mnatarijia atakuwa na matukio ya namna gani "

Kulawiti na kubaka wamepaka ma -padre ashindwe kubaka R .Kelly yeye nani " !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is the problem with us black people, we dont want to deal with our problems, we just trying to find excuses to shift the blame to other people.

The guy is a serial rapist, period! Lets not use Dr. King’s death to justify these people. Dr. King didnt die for this. So all these references of Dr king, Egyptian statues etc are irrelevant. Its time we hold this guy accountable for his actions.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Spoken as true jury of the supreme court of united states.. ila too bad ulichoandika ni irrelevant pia on the issue[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom