Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Yaani mtu anatenda kosa akiwa mweusi kwa wazungu watasema anaonewa.Documentary ya Surviving R. Kelly haiwezi kumuacha salama, mwanzoni alitishia kuwafungulia kesi badala yake kakimbilia maombi?
Hata hivyo R. Kelly kazidi jamani. Tuache kasumba ya kutetea kisa weusi wenzetu.
Niliangalia interviews za aliyekuwa mke wake (Andrea Kelly) nilitokwa na machozi! Jamaa ni mnyama.
This time wamemuamulia, sidhani kama ‘atasurvive’ tena.
Pamoja na mziki wake mzuri ila ifikie wakati tutenganishe career na mhusika.
Nafuatilia kwa karibu hili, ngoja tuone itakuwaje.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hili sakata la R Kelly sio la leo mimi nilikuwa namkubali sana kwa nyimbo zake ila aliposhikwa na clip za watoto wadogo uchi kwenye pc yake nikamdharau sana.
Hata Bill Cosby ni wale wale ingawa wapo wengi weupe wanafanya hayahaya lakini likija la mweusi eti ni uonezi duu
Sent from my SM using Tapatalk