R Kelly akimbilia maombi baada ya tuhuma dhidi yake za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto kupamba moto

R Kelly akimbilia maombi baada ya tuhuma dhidi yake za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto kupamba moto

Kwani wanaosema amebaka ni wazungu? Nyie watu mkoje?
Suala hata hamjalifuatilia mnaandika mjuavyo nyie kwa mahaba yenu juu ya ‘weusi’ wenzetu.

Tuhuma zote za kubaka ni juu ya mabinti weusi wenzie, na wao ndio waliohojiwa na kukiri hadharani kufanyiwa hivyo na R. Kelly ambaye ni mweusi mwenzao.



Sent from my iPhone using JamiiForums
hapa swala sio mahaba.....wazungu wanapo tengeneza propaganda ya kukuchafua wanai cover vizuri na utatuhumiwa na watu wako hao hao! unaweza shtakiwa na mkeo hivi hivi (hela mchezooo!)...hata ghadafi alishtakiwa na wa libya hao hao wa nyumbani kwake! waone leo yanayowakuta?

naamini katika system....so kama alifanya kosa, mahakama za marekani zipo vizuri , zitamfunga tuu....lakini funny enough, hua wanashinda kesiii, au wanashinda kwasababu majaji ni weusi wenzao na wana mahaba?
 
hapa swala sio mahaba.....wazungu wanapo tengeneza propaganda ya kukuchafua wanai cover vizuri na utatuhumiwa na watu wako hao hao! unaweza shtakiwa na mkeo hivi hivi (hela mchezooo!)...hata ghadafi alishtakiwa na wa libya hao hao wa nyumbani kwake! waone leo yanayowakuta?

naamini katika system....so kama alifanya kosa, mahakama za marekani zipo vizuri , zitamfunga tuu....lakini funny enough, hua wanashinda kesiii, au wanashinda kwasababu majaji ni weusi wenzao na wana mahaba?
Hiyo documentary inayozunguka itakuwa imesukwa muda mrefu sana. Inawezekana ni mchoro wa muda mrefu ambao wamehakikisha hakuna atakayetia shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo documentary inayozunguka itakuwa imesukwa muda mrefu sana. Inawezekana ni mchoro wa muda mrefu ambao wamehakikisha hakuna atakayetia shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Executive producer wa hiyo doc ni Dream Hampton. An African-American woman.

Kwa hiyo huyu mama kala njama na Wazungu ili wamchafue Robert Kelly?
 
Mkuu, watu wanasaliti nchi kwa mkwanja itakuwa mambo ya rangi? Alafu wazungu mara nyingi wanatutumia sisi wenyewe kumalizana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hiyo si kweli kwamba R Kelly ana tabia ya kutoka na minors?

Ushawahi kuiona ile sextape ya R Kelly?

Halafu, achafuliwe R Kelly kwa minajili ipi hasa? Yeye ni mwanasiasa? Anatishia maslahi ya watu labda?

Kwa sababu, lately R Kelly si relevant kivile...

But most importantly, where is the proof that it is all part of a conspiracy to bring him down?
 
Executive producer wa hiyo doc ni Dream Hampton. An African-American woman.

Kwa hiyo huyu mama kala njama na Wazungu ili wamchafue Robert Kelly?

haha...mkuu mimi naamini umeishi africa kwa mda mrefu kiasi cha kujua kua linapokuja swala la hela, mbumba, mpunga au fekeche hakuna u-african watever unaosimama mbele yake!

hatuwezi jua kama ni njama au la lakini sio kigezo cha ku qualify kusema mtu ana hatia kwasababu documentary imeandaliwa na mu african-american mwenzie! tena kama ni mimi ndio ningekua mpanga mikakati hyo ndio perfect cover. kumbuka hizi viu zinaangwa na wenye taaluma zao?!
 
haha...mkuu mimi naamini umeishi africa kwa mda mrefu kiasi cha kujua kua linapokuja swala la hela, mbumba, mpunga au fekeche hakuna u-african watever unaosimama mbele yake!

hatuwezi jua kama ni njama au la lakini sio kigezo cha ku qualify kusema mtu ana hatia kwasababu documentary imeandaliwa na mu african-american mwenzie! tena kama ni mimi ndio ningekua mpanga mikakati hyo ndio perfect cover. kumbuka hizi viu zinaangwa na wenye taaluma zao?!

Vipi na hivyo vibinti vinavyosema vimenyanyaswa na R Kelly? Na vyenyewe vimepewa mkwanja na Wazungu vimchafue jamaa?
 
Kwa hiyo si kweli kwamba R Kelly ana tabia ya kutoka na minors?

Ushawahi kuiona ile sextape ya R Kelly?

Halafu, achafuliwe R Kelly kwa minajili ipi hasa? Yeye ni mwanasiasa? Anatishia maslahi ya watu labda?

Kwa sababu, lately R Kelly si relevant kivile...

But most importantly, where is the proof that it is all part of a conspiracy to bring him down?
Kwa hizi tuhuma hachomoki. Hakuna namna ya kumtetea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi na hivyo vibinti vinavyosema vimenyanyaswa na R Kelly? Na vyenyewe vimepewa mkwanja na Wazungu vimchafue jamaa?

kama msemaji wa familia yao naomba nikuhakikishie kua.... eeh... havijapewa.... na huyo "alakeli" ni mshenzi majinuni kabisa.... yani tunashindwa kabisa kuvielewa vyombo vya serikali kwanini yupo nnje!
 
dunia yote chungu kwake kwa kipindi hiki
 
This is the problem with us black people, we dont want to deal with our problems, we just trying to find excuses to shift the blame to other people.

The guy is a serial rapist, period! Lets not use Dr. King’s death to justify these people. Dr. King didnt die for this. So all these references of Dr king, Egyptian statues etc are irrelevant. Its time we hold this guy accountable for his actions.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiki kidhungu kwa hisani ya the Bold!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rkelly ni Mshenzi tu afungwe anapenda kuharibu watoto,ebu check alivyoanza kumbokoa Aaliyah wakati akiwa below 14.
 
Back
Top Bottom