R Kelly akimbilia maombi baada ya tuhuma dhidi yake za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto kupamba moto

R Kelly akimbilia maombi baada ya tuhuma dhidi yake za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto kupamba moto

Huyo jamaa ndio tabia yake ...hajaanza jana wala juzi ... alishawahi kukutwa na kashfa ya kutoka na late Aaliya akiwa bado ni under18 .... ila wakafanya figisu akakoswa koswa kupigwa na rungu la sheria ...

Hawa wasanii sio watu wakuwaamini kabisaa ..hata robo ..ni watu ambao huwa wana makando Makando mengi mnooo ...

Nimeona hapo juu kuna mtu aliongelea kuhusu Mj pindi alipo kuwa ana andamwa na kesi kama hiyo ... inawezekana pia hata yeye alikuwa anawafanya watoto wawatu vibaya who knows ... !!? Kinachotokea mara nyingi huwa pindi unapo pishana kimaslahi na watu ambao wameishika industry wanaamua " kuvujisha siri zako " ambazo wanazijua in and out ..ila awali kwakuwa walikuwa na maslahi na wewe " basi walikuwa wameamua kuegemea upande wako ambao ndio unafaida " ...so baada ya kutibuana nao wanaamua tu kumwaga mboga ...

R.Kelly nimteja huyo " tena ana smoke unga haswaa " so mnatarijia atakuwa na matukio ya namna gani "

Kulawiti na kubaka wamepaka ma -padre ashindwe kubaka R .Kelly yeye nani " !?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa usa music miguels ni wapi hasa,yani wanaoi run industry ,wazee wa figisu kiasi kwamba ukipishana nao haiwezi ku survive?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah asipo kuwa makini watamuharibia kinoma noma

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa wenyewe wanafanya what is best for bussness,kama hashikiki mikononi mwao maana yake ni kwamba hayuko relevant tena kwao wanachofanya ni kumwaga mbogo kupitia udhaifu wake mwenyewe,ambao ndo hayo mambo ya vitoto..ila jamaa nae anakula mno tutoto tudogo..kama bongo tu unapigwa mvua 30 jela na mbele watamfanya nini?.kufilisi+ 35 year in prison.duuh!!..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa wenyewe wanafanya what is best for bussness,kama hashikiki mikononi mwao maana yake ni kwamba hayuko relevant tena kwao wanachofanya ni kumwaga mbogo kupitia udhaifu wake mwenyewe,ambao ndo hayo mambo ya vitoto..ila jamaa nae anakula mno tutoto tudogo..kama bongo tu unapigwa mvua 30 jela na mbele watamfanya nini?.kufilisi+ 35 year in prison.duuh!!..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hatari .... haya mambo ya kula vitoto mbona watu wengi wanafanya aisee ...ila ndio hivyo wakifika mbele ya camera wanajifanya ma-saint ...

Amini kwamba kila binaadamu ana kichaa chake ... shida inakuja pale unapo ruhusu kutawaliwa na hicho kichaa (udhaifu ),wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ni yako wewe sio sheria hiyo.

Jaribu kubaka au mpe mimba mwanafunzi halafu uende mahakamani ukajenge hoja hii uone itakuwaje. [emoji4]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sema ukweli Nifa huu mchezo uliuanza ukiwa na umri gani?
 
Back
Top Bottom