R Kelly akimbilia maombi baada ya tuhuma dhidi yake za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto kupamba moto

R Kelly akimbilia maombi baada ya tuhuma dhidi yake za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto kupamba moto

Kwa nilivofatilia inaonesha Yule Robert anaumwa,maana mabinti wote wanasema jamaa huwaomba mzigo Kwa nguvu,hata ufanyaji wake ni ile rough,then hupenda kuwalazimisha wamuite dad,why!mara mwingine anasema alipokua akimfanya alikua anamlazimisha aongee Maneno flan hv dirty,kitu ambacho wote wameongea kinafanana ni kuwa jamaa anapenda kutake control ya Kila jambo,hata kutaka kwenda bafuni,chakula gani wale,nk nk.watu wa saikoloji mnisaidie kujua huyu jamaa ana tatizo gani kitaalam?
 
Stop putting the man down none of those women had any proof.... they are looking for money nothing else...
 
nyimbo zinasemaga!
""AGE AINT NOTHING BUT A NUMBER"
kifo cha Aaliyah kilikuwa na maswali mengi sana!
KAMA VILE KUNA MENGI YATAIBUKA ZAIDI YA UBAKAJI
 
Kwa nilivofatilia inaonesha Yule Robert anaumwa,maana mabinti wote wanasema jamaa huwaomba mzigo Kwa nguvu,hata ufanyaji wake ni ile rough,then hupenda kuwalazimisha wamuite dad,why!mara mwingine anasema alipokua akimfanya alikua anamlazimisha aongee Maneno flan hv dirty,kitu ambacho wote wameongea kinafanana ni kuwa jamaa anapenda kutake control ya Kila jambo,hata kutaka kwenda bafuni,chakula gani wale,nk nk.watu wa saikoloji mnisaidie kujua huyu jamaa ana tatizo gani kitaalam?
SADIST!
 
Plus the shooting of black men by the American Polices, which occurs several times in US...its hard to hear this happens to Whites.
Nope but experience and trend show us that the whites tends to bury the history of the greatness of a blackman whenever the chance occurs... Reference is made from limb chopping by Belgians in Congo, cutting nose of black statues in Egypt, the killing of Martin Luther King and mud slinging of these celebrities now.
The white man is on the mission to wipe out our history.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jenga hoja zako kwa facts. Hivi kuna mwendawazimu gani angelalamika kama hao mabinti anaowaharibu wangekuwa na miaka kuanzia 18?

Wengi ni kuanzia miaka 13 hadi 17. Fuatilia kwa undani suala hili na sio kujenga hoja kwa mahaba.

Kama wahusika wamehojiwa na kukiri udhalilishaji waliofanyiwa na R. Kelly wewe ni nani hadi useme hakuwaharibu?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kipindi cha mtume alioa miaka 9/11 tatizo liko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom