R Kelly na masuala ya devil worshippers, kuna siri ipo?

Tupia uthibitisho wowote. Na je R.Kelly ni Rapa?
 
Ebanae...hata witness houston😀
Hizi ni siri kali ila sisi tunazijua
 
Ebanae...hata witness houston😀
Hizi ni siri kali ila sisi tunazijua
Fanya tafiti KILA ikikaribia tuzo za grammy awards ni lazima wamtoe mtu kafara,wengi wao huwa ni wale waliokiuka mikataba.Ukiingia kwa shetani umeingia kutoka au kutaka kutoka adhabu yake kifo.
Lakini zipo mbinu za kutoka na ukawashinda hao wapumbavu na wasikufanye kitu.
 
Dah we jamaa muongo sana.
 
Ebanae...hata witness houston[emoji3]
Hizi ni siri kali ila sisi tunazijua
Whitney Houston (sio Witness), alikufa baada ya kuzama kwenye sinki la kuogea kutokana na kuzidiwa na madawa ya kulevya, tatizo lake ambalo lilikuwa well documented. Acheni uzushi wenu!
 
Kufatilia Kwa sasa ni ngumu sana, kama hutojali inaonekana wewe unafahamu hao watu waliotolewa kafara tuzo za Grammy zinapokaribia

Nimekuwa mfuasi wa ufatiliaji wa utoaji wa hizi tuzo Kwa miaka kadhaa, Naomba unitoe tongo tongo tu angalau Kwa watu wa 5 tu ambao walitolewa kafara tuzo za Grammy zinapokaribia

najua mara nyingi hutolewa mwezi February ispokuwa mwaka huu ambao walitoa April, hebu tuanzie Kwa mtu alietolewa kafara Kwa mwaka huu kurudi nyuma miaka 5 mkuu
 
Akikujibu unitag.
 
🤔 kwahiyo unataka kuudhihirishia ummakwamba umarufu wa watu wote hawa unatokana na ushwaitwani
 
🤔 kwahiyo unataka kuudhihirishia ummakwamba umarufu wa watu wote hawa unatokana na ushwaitwani
Watu wepi wote hao.
Either uwe kwa Mungu au kwa shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…