R Kelly na masuala ya devil worshippers, kuna siri ipo?

R Kelly na masuala ya devil worshippers, kuna siri ipo?

That is true huyu jamaa aliwakataa hawa illuminat na aliwaripua live akiwa stejini na walishataka kumuua mara mbili pia R.kelly na Jzee wana bifu la maisha hawajawahi kuelewana maana Jayz kawamaliza ma rapa wote ilr abaki yeye kwa mfano Nas,Dr.Dre,Jahrule,ila kwa R kely alishindwa,kumbuka R kelly kesha koswa kupigwa risasi mara kadhaa akiwa live stejini.
Jayz kawamalizaje hawa?
 
Alipewa umaarufu na shetani SAsa akataka kumkimbia shetani, akaliwa kichwa. Hela ya shetani haiendi bure. Upewe kesi, uuliwe, ufungwe. Ukiamua kuwa kwa shetani kaa jumla kama Jay z na mkewe, ukianza mguu ndani mguu nje yaani kwa shetani upo na kwa Mungu upo lazima yakupate yaliyowapata kina bob marley, tupac, big small, kobe bryant, Aaliyah, left eye, dmx, michael jackson, witness houston and more.
Wanamlia timing Justin Bieber.
 
Naomba kuuliza, Kwahiyo mnamaanisha vitendo alivyokuwa anavifanya vilikuwa ni halali na hastahili kwenda jela?

Kulawiti,kulazimisha watoto wadogo washiriki nae Ngono,kuwa na picha za utupu za watoto wadogo kwenye laptop yake,kudanganya vyombo vya Dora kuhusu umri wa Aaliyah ili amuoe na kuzuia soo la kushtakiwa

Hivi haya yote mnataka kusema hayatoshi tu kumweka huyu legend gerezani hadi zije story za mashetani?
Angekuwa bado yupo nao hata angefanya zaidi ya hivyo wasingemuweka jela
 
Mjomba kavuna alichopanda
viepushe na watoto wadogo.
Milango ya jela IPO wazi
 
Kwaiyo unataka tu kwambie na sisi yatukute yakina kanumba
 
Kawabozogoa watoto wa watu halafu mnatuletea story za vijiweni. Yule mbuzi kafungwa kwasababu ni paedophile, hakuna cha nini wala nini. Na kwa kesi ile huko jela na yeye lazima abakwe
 
Naomba kuuliza, Kwahiyo mnamaanisha vitendo alivyokuwa anavifanya vilikuwa ni halali na hastahili kwenda jela?

Kulawiti,kulazimisha watoto wadogo washiriki nae Ngono,kuwa na picha za utupu za watoto wadogo kwenye laptop yake,kudanganya vyombo vya Dora kuhusu umri wa Aaliyah ili amuoe na kuzuia soo la kushtakiwa

Hivi haya yote mnataka kusema hayatoshi tu kumweka huyu legend gerezani hadi zije story za mashetani?
Tena angefungwa hata kifungo Cha maisha kutumia utajiri na umaarufu wako kunyanyasa watoto huo ni zaidi ya ushetani na mtu mwenye akili hawezi kutetea uovu.
 
Wabongo ujuaji mwingi sana na conspiracy zao no wonder wale jamaa Wakenya waliuza sana CD za mahubiri ya Freemasons enzi zile..R Kelly mwenyewe kwa mdomo wake mahakamani kakiri wazi kwamba alitembea na marehemu Aaliyah akiwa under age wabongo wanakazia kwamba jamaa kaonewa na kwamba weusi wake umemponza
Yah Kelly alishakiri mwenyewe mkuu
Sema wabongo washaanza ingiza
Maujuaji yao

Ova
 
Naomba kuuliza, Kwahiyo mnamaanisha vitendo alivyokuwa anavifanya vilikuwa ni halali na hastahili kwenda jela?

Kulawiti,kulazimisha watoto wadogo washiriki nae Ngono,kuwa na picha za utupu za watoto wadogo kwenye laptop yake,kudanganya vyombo vya Dora kuhusu umri wa Aaliyah ili amuoe na kuzuia soo la kushtakiwa

Hivi haya yote mnataka kusema hayatoshi tu kumweka huyu legend gerezani hadi zije story za mashetani?
hakuna aliyeona robert akilawiti au kuwatomasa watoto wa miaka 6 sehemu za siri,haya yote yanatolewa kama ushahidi mahakamani kwa mdomo.

nawaza tu,sijui kwanini ni sasa na si wakati huo.
 
Nikionaga Mambo kama hizi naskia hasira acheni kudiscuss vitu havina mana hizi ni story za kufikirika
 
hakuna aliyeona robert akilawiti au kuwatomasa watoto wa miaka 6 sehemu za siri,haya yote yanatolewa kama ushahidi mahakamani kwa mdomo.

nawaza tu,sijui kwanini ni sasa na si wakati huo.
We jamaa una argue kitoto sana, wewe hapa umekaa unakaza shingo ila mtuhumiwa akiwa kizimbani anakubali mashtaka yake, hivi ata ulikuwa unafatilia mwenendo wa hii case au we una comment tu

Ulichotakiwa kusimamia ni either jamaa mashtaka yake ni sahihi au sio sahihi na sio issue ya kwanini Leo..! Huwezi kupanga siku ya Jambo usilolijua

Sabaya leo hii Yuko mbaroni kutokana na mashtaka yanayomkabiri ila wote tunajua kuwa kama hayati magufuli angelikuwa hai jamaa angekua DC hadi leo hii, ila ata kama Magu angekua hai bado hiyo haibadili maovu yake kuwa halali

System huchange pamoja na watu, kipindi wewe unataka haya yatokee kipindi hicho ingekuwa ngumu coz kuna watu unakuta walikuwa wanamkingia kifua na of course hicho kipindi alikuwa na pesa

Kiboko na mkewe kipindi cha Magu walipigwa Mvua ya miaka 20 jera Kwa case ya uuzaji wa madwa ya kulevya, ila kipindi cha jakaya walikuwa free tu, kwahiyo napo watu waje na hoja kwanini iwe kipindi cha magufuri? Au hoja iwe je jamaa ni kweli muuza Sembe au kasingiziwa?

Ukifanya ubaya katika Maisha yako lazima ukae ukijua kuwa kuna siku Mambo yanaweza kwenda kombo, ndo hiyo huitwa Ajali kazini japokuwa wengine hufanikiwa kukwepa Maisha yao yote ila haiwafanyi kuwa wasafi
 
Huyu jamaa nimeanza kusikia scandal za yeye kutembea na vitoto vidogo zaidi ya miaka kumi na tano iliyopita. Kuna kipindi alifunguliwa kesi ya ubakaji ila sikumbuki iliishaje.

Huyu alishazoea ubakaji wa watoto, halafu mnaleta ushamba wa kumtetea.
 
Back
Top Bottom