tayari District artoney amelipeleka ofisini so now ipo chizi ya uchunguzi ukikamilika jamaa anakamatwa...
ila maisha yake yameshakuwa magumu juzi alikuwa anapiga story na mademu wawili kwenye trump tower raia wema wakapiga simu kuwa rkelly anahatarisha usalama wa wale mademu polisi ghafla wakaja wakamkata jamaa sema mademu wakamuokoa wakasema hakuna tatizo
ila wazazi wa hao mademu wakaenda vyombo vya habari wakasema walishawahi kugombana na rkelly kisa alikuwa anawachanganya watoto wao(hao mademu) na kuwanyisha threesome
jamaa hana pakuchomokea this time
Sent using
Jamii Forums mobile app