R.Mengi for President?

R.Mengi for President?

Status
Not open for further replies.
Maswali yangu makuu ambayo hakuna aliyenijibu zaidi ya kusema tu hafai kama vile mwalimu alivyokuwa akisema kuhusu viongozi asiowataka kwasababu zake yeye binafsi bila ya kuangalia matakwa ya wananchi...

1)Sifa za Kiongozi tunayemtaka vs sifa alizonazo R.Mengi

2)Ni nini hasa kipimo cha kiongozi mwenye kufaa kutupitisha kwenye hii transition period.

3)Sifa za kiongozi huyo mwenye kutufaa kwenye transition period vs sifa za R.Mengi.

4)Sifa za viongozi wengine wanaotarajiwa kurun vs za R.Mengi.

Hapo ndipo pale penye maana halisi ya Fair, Respectfull and Honest disscussion on this man.

Kama tukiendekeza chuki tu basi hata yale mema tuliyonayo moyoni hayatutoka bali chuki pamoja na matukano, na pia tuzitafakari fikra zetu dhidi ya wale waliotutendea mema kabla hata hawajawa Viongozi kwani kinyume na hapo ni utovu wa fadhila!


Tunaona hata vyuoni na kwenye maisha unaweza kuwa nia mtaalamu wa jambo fulani na ukawa mweupe kwa jambo fulani...................(i)

Mengi kuwa mfanya biashara maarufu nchini is not sufficient condition that he can make a good president.
From ........(i) gives uongozi wa biashara != uongozi wa siasa

(where != not equal sign)

Umeuliza nini kipimo cha kiongozi mwenye kufaa kutupitisha kwenye hii transition period.

Answer:
Ikependeza kufanya promotion ya mtu ktk siasa kupata nafasi hiyo ya urais yaani mtu anayejua siasa tayari na pia awe anasifa za kiongozi bora,pia ambaye hata gawa kofia ,kanga na t-shirt za kumwaga kwa maana itapotokea hivyo ndio anakazi ya kurudisha mkopo ,na blackmail ina take over.

Hapo ndugu yetu Mengi kakosa sifa ya uzoefu wa siasa anachojua yeye ni kama wale kwenye pool table wanaweza kutaja angle zote za ball kuingia ila hajawahi onekana kushika stick.Tutasemaje kuwa huyu mchezo anaujua,mbona tumeshajadili sana na kusema uongozi si nia njema tu (ambacho kila kiongozi anatakiwa kuwa nacho) ila ni pamoja na uwezo to accomplish those good things due to the approach we get from experience/be familiar.

Vinginevyo labda tuamini tuuu anaweza kwa kuwa kaweza mengine kwa maana ya kuwa a win trust yetu kama ilivyo kwako ,basi tunaweza kusema ok anafaa.
 
Mwambie achukue fomu za kugombea urais ndiyo atajua watanzania wangapi wanampenda. Maana hiyo ni haki yake. Lakini mwambie asilielie tu wakati wa kampeni maana hapo ndipo unapoweza kutofautisha boys from men in politics

Did you say something about BOYZ II MEN? Maana umenikumbushia mbali..Kwi kwi kwi..
Haya nadhani huu ni mjadala tu na kwenye kuchukua fomu sijui!
Ila Wananchi walio wengi wanampenda R.Mengi!
Huyu mtu anahitaji endorsement kadhaa tu na ngoma ntolee!
 
Tunaona hata vyuoni na kwenye maisha unaweza kuwa nia mtaalamu wa jambo fulani na ukawa mweupe kwa jambo fulani...................(i)

Mengi kuwa mfanya biashara maarufu nchini is not sufficient condition that he can make a good president.
From ........(i) gives uongozi wa biashara != uongozi wa siasa

(where != not equal sign)

Umeuliza nini kipimo cha kiongozi mwenye kufaa kutupitisha kwenye hii transition period.

Answer:
Ikependeza kufanya promotion ya mtu ktk siasa kupata nafasi hiyo ya urais yaani mtu anayejua siasa tayari na pia awe anasifa za kiongozi bora,pia ambaye hata gawa kofia ,kanga na t-shirt za kumwaga kwa maana itapotokea hivyo ndio anakazi ya kurudisha mkopo ,na blackmail ina take over.

Hapo ndugu yetu Mengi kakosa sifa ya uzoefu wa siasa anachojua yeye ni kama wale kwenye pool table wanaweza kutaja angle zote za ball kuingia ila hajawahi onekana kushika stick.Tutasemaje kuwa huyu mchezo anaujua,mbona tumeshajadili sana na kusema uongozi si nia njema tu (ambacho kila kiongozi anatakiwa kuwa nacho) ila ni pamoja na uwezo to accomplish those good things due to the approach we get from experience/be familiar.

Vinginevyo labda tuamini tuuu anaweza kwa kuwa kaweza mengine kwa maana ya kuwa a win trust yetu kama ilivyo kwako ,basi tunaweza kusema ok anafaa.

Rekodi yake ya kuyapigania na kuyasimamia yale tunayokabaliana nayo kwa muda wote wa historia yetu ya Tanzania kama umasikini na UFISADI inasema nini?
Naomba pia muangalie upande huo.
Accomplishments zake ni za kiongozi shupavu!
Na hapo bado hajawa kiongozi!
The man is positive and intelligent!
The man ni mzalendo!
The man already fought for poor!
Chuki zisilikoseshe Taifa vipaji ambavyo tunavihitaji kwenye kipindi hiki cha mpito chenye kuhitaji uelewa mkubwa kwenye kukabiliana na brutal forces za ubepari!
 
Mzee wetu Mengi namkumbuka kwa mradi wake katili sana kwa watu MASIKINI wa JACKPOT BINGO. Mradi huu uliwafanya watoto wetu wakawa vibaka kuanzia ndani ya familia hadi nje ili wapate shilingi elfu moja ya kucheza BINGO.
Aliubuni mradi huu huku akijua kabisa kwamba sheria zetu za kodi kwenye michezo ya kubahatisha zilikuwa hafifu mno. Akakusanya kwelikweli "visenti" vya watu masikini hasa.
Anapojaribu kuwarudishia kwa staili ya kula na walemavu tunaona anajali watu wetu!
Halafu, Mzee huyu anaonekana akikuchukia ni basi hakuna suluhu wala kuombana msamaha.
Hofu yangu pia ni mambo ninayo yaona Wakikuyu wakiyafanya hapa jirani. Ndugu zetu wa K'njaro walionyesha dalili kama hizo mwaka 1995 Mzee wa Kilaracha alipogombea Urais.
 
Ameshindwa Kuendesha Kampuni Yake Ya Vinywaji Ya Hakuna Matata Na Pesa Alizokopa Kwa Ajili Ya Kiwanda Hicho Bado Hajarudisha Mpaka Sasa Hivi Ingawa Alinunua Mitambo Kwa Bei Ghali Sana , Mitambo Hiyo Akaiuza Kwa Ujanja Kupeleka Viwanda Vingine Vya Vinjwaji

Huyu Sio Mtu Kufaa Jamii Historia Yake Inamhukumu
 
Mkuu Mushi,
Hapo first lady atakuwa nani? nachelea wabeijing tusije kumhoji hili
 
Hivi Kuwa Na Fest Ledi Ni Lazima Kumbwa Katiba Inasema Hivyo ? Atakuwa Mke Mkubwa Mama Wa Rodney
 
Anaweza kuwa anafaa kulingana na uzani wa yale aliyoyafanya hapa kwetu hususani kwa manufaa ya watu maskini.

Na pia anaweza kufaa hata ikilinganishwa na baadhi ya viongozi wa sasa kama suluhisho mbadala, hususani katika wakati huu ambapo vyombo vya habari vinang'ara, wasanii wanashupalia mapenzi badala ya ufisadi, na viongozi wanauona ufisadi a good company, they enjoy it and get to attach it as their appendage.

Shida ni kwamba atagombea kwa chama gani, kwanza CCM ina wenyewe na hakuna nafasi kwa mtu kama Mengi hadi kupendekezwa kuwa mgombea Urais, kama ni mchakato basi watataka hela zake halafu mwishoni watamtosa.

Haya inaelekea hata wawania Urais 2010 kama Mwandosya yamewashinda na ndiyo maana wanasubiri kwa hamu nafasi za wagombea binafsi.

Haya museeee.
 
hata hivyo huyu ameshajichokea kwa sasa afanye kazi zake tu alipe madeni na mambo mengine yake binafsi kabla hajaamua au kushauriwa kuingia katika ulingo wa siasa ataumia bure
 
Rekodi yake ya kuyapigania na kuyasimamia yale tunayokabaliana nayo kwa muda wote wa historia yetu ya Tanzania kama umasikini na UFISADI inasema nini?
Naomba pia muangalie upande huo.
Accomplishments zake ni za kiongozi shupavu!
Na hapo bado hajawa kiongozi!
The man is positive and intelligent!
The man ni mzalendo!
The man already fought for poor!
Chuki zisilikoseshe Taifa vipaji ambavyo tunavihitaji kwenye kipindi hiki cha mpito chenye kuhitaji uelewa mkubwa kwenye kukabiliana na brutal forces za ubepari!

The above attributes are by no means unique to Mr. Mengi. There are hundreds if not thousands of honest, well-meaning, brave, patriotic Tanzanians rich and poor with great leadership skills to equal or even surpass Mr. Mengi's. However, Mengi's dominant and unchallenged position as number one media tycoon in Tanzania is the one thing that sets him apart from other individuals with potentially equal or even better leadership skills and attributes. You don't need to be a rocket scientist to realise that Mengi's near monopolistic control of the media will lead to serious ethical issues as far as democracy and freedom of expression are concerned. You need only ask yourself why Italians keep electing Berlusconi as prime minister (3 times so far and counting) to appreciate the potent twin powers of monopolistic control of media and money. Italy surely has tonnes of smarter and wealthier individuals than Berlusconi, but nobody can beat Berlusconi when it comes to manipulation of media to his own political advantage simply because he owns and controls most of the media in Italy.
 
Hivi Kuwa Na Fest Ledi Ni Lazima Kumbwa Katiba Inasema Hivyo ? Atakuwa Mke Mkubwa Mama Wa Rodney

mtalaka wake? kipimo cha uvumilivu na upatano
charity begins at home? kipimo cha uongozi bora
mke ni mtu 1, watanzania ni milioni 40? kipimo cha uaminifu
 
I agree that there are many candidates much more suitable for the top job of which the only difference I can so far see is that they are not as "wealthy" and "publicised" as Mr Mengi. We must also understand that self-PR is always designed at showing the "good" side of you...the side you want everybody to identify with. It isnt however a benchmark and doesnt mean that you will make an effective president.
 
ni mtu mzuri kwa kumjua kwa nje. Anao uzoefu wowote katika mambo ya siasa?

Mama hao wenye uzoefu wa siasa ndio hao wametutenda. JK hatajawahi kufanya kazi ingine yeyote zaidi ya siasa, lakini tazama anavyotutenda. Kwa hiyo hakuna sababu ya kumkataa huyu bwana kwa sababu tu hana uzoefu wa kisiasa. Binafsi huyu bwana angesimama kama mgombea binafsi ningekuwa naye maana ameonyesha mafanikio makubwa sana katika nyanja mbalimbali kama vile biashara, philanthropy, etc. Ni mfanyabisahara pekee nchini mwetu anayetumia sehemu ya faida yake kwa ajili ya watu wengine wasio na fursa katika jamii. To me, compared to TZ politicians, he is more than qualified to be president. The oly caveat is that he needs to choose to run as an independent candidate.
 
I will tell you this, if Mengi was unable to control his male hormones and cheated on his wife of 30+ years what makes you believe he will not try to be crafty and deceive Watanzania?


But should we be judging "presidentialness" on the basis of what prosepctive candidates do in their private lives?
 
But should we be judging "presidentialness" on the basis of what prosepctive candidates do in their private lives?

Kwa maoni yangu; PRIVATE LIFE ya mtu ndio mtu mwenyewe hasa na inakuwa na umuhimu wa pekee unapotaka kuwania ofisi ya UMMA.
 
Mama hao wenye uzoefu wa siasa ndio hao wametutenda. JK hatajawahi kufanya kazi ingine yeyote zaidi ya siasa, lakini tazama anavyotutenda. Kwa hiyo hakuna sababu ya kumkataa huyu bwana kwa sababu tu hana uzoefu wa kisiasa. Binafsi huyu bwana angesimama kama mgombea binafsi ningekuwa naye maana ameonyesha mafanikio makubwa sana katika nyanja mbalimbali kama vile biashara, philanthropy, etc. Ni mfanyabisahara pekee nchini mwetu anayetumia sehemu ya faida yake kwa ajili ya watu wengine wasio na fursa katika jamii. To me, compared to TZ politicians, he is more than qualified to be president. The oly caveat is that he needs to choose to run as an independent candidate.
Unajua Mengi wanaomchukia wakati mwingine naona wanamwonea. Hata mimi nilikuwa sijapata muda wa kumsoma vema mzee huyu. Hakuna cha uzoefu katika masuala haya ya siasa. Tukielemea masuala ya uzoefu basi tukiri CCM wana hoja wanaposema "Wapinzani hawana uzoefu wa uongozi hawastahili kupewa nchi"!

Naungana nawe Kitila, ni mara mia ya Mengi kuliko hawa boronga boronga hawa waliotufikisha pabaya. Mengi hana makuu, Mengi anachukiwa sana na wabadhirifu wengi. Matatizo ya Management ya IPP ama Radio One kwa namna moja ama nyingine na vyombo vyake vya habari kumwonesha yeye mara nyingi ama kutoa matangazo yanayolenga Kilimanjaro zaidi sidhani kama ni suala la kumlaumu Mengi directly. Indirectly YES sababu alitakiwa kurekebisha tatizo hilo kwa kurekebisha menejimenti hizo lakini wengi hukitumia kama kigezo cha kumpondea.

Mengi kwa ninavyojua hapendwi na watu kama Mkapa, RA, Manji, na wengi tu ambao wanahisi kugundulika kwa machafu yao kumetokana na uwepo wa Mengi. I may say Mengi is a hero compared to others. Hakuna asiye na mapungufu kusema kweli.

Lakini nadhani angesimama kama private candidate kama usemavyo Kitila ndipo anaweza ku-suit. Ni bora kumpa Mengi kura yangu kuliko JK.

Ni mawazo yangu tu
 
Kwa maoni yangu; PRIVATE LIFE ya mtu ndio mtu mwenyewe hasa na inakuwa na umuhimu wa pekee unapotaka kuwania ofisi ya UMMA.
Naomba kupingana nawe ndugu WildCard, personal life ni nzuri kuigusia lakini inategemea ni katika hoja gani. Ni kweli ukimjua mtu in and out ni rahisi kuweza kushawishika kumpa ama kumnyima kura yako. Pamoja na kuwa namuunga mkono Mengi; yawezekana wakatokea watu wakanifahamisha mengine dhidi ya Mengi ambayo siyafahamu lakini si suala la ana wake wanne au kumi, anatembea na flani na ana watoto 500 nje. Hilo kwangu halina nafasi sana kwani viongozi wengi waliopo na waliopita ni yaleyale.

Nashindwa nikwambie vipi nalenga lakini kifupi personal life ya mtu ukiingilia masuala ya kifamilia ni tatizo (kwangu) kwakuwa masuala haya nimegundua ni asilimia kubwa sana ya viongozi wachafu kwa upande huu. Kama mali alizo nazo Mengi ni za wizi, hapo naweza kukuelewa. Kama ameshiriki katika wizi wa fedha zetu BoT basi pia nakusoma sana hapo na ama kweli hapo nitamwona hamnazo kabisa.

Naamini unanisoma mkuu
 
Kwa Tanzania private life ya viongozi wetu ni mbaya sana, kiasi kuwa inakuwa ni siraha moja kubwa wakati wa uchaguzi. Vingozi wetu wanaonekana wanaishi maisha yanayofanana kuwa na wanawake au wanaume nje ya ndoa kwao ni kitu cha kawaida, kwahiyo tukitafuta kiongozi kwa kuangalia sana private life yake hatuwezi kupata kiongozi mzuri hata kidogo.
 
Mimi ningependa kuungana na Kitila kwa kiasi fulani. Watanzania lazima tuwe objective! Mengi ni mmoja ya wazalendo wa matendo! Haya mapungufu ni ubinadamu tu (hata wewe unayo, labda umeyaficha). Mimi nadhani huyu ni mmoja watanzania walio proud sana na utanzania wao! Pia anajua sana kutetea haki yake (hajali kubishana, maadam anaona aha haki) hiki ni kitu ambacho watanzanaía wengi hatukifanyi! Tumejaa uoga sana! Jamaa ameachiwa vita na wahindi muda mrefu sana (siwachukii wahindi lakini jamii za akina Manji ni hatari sana kwa nchi), na hao wengine wa EPA). Nani tajiri hapa kwetu anajitoa kama Mengi!! Bakhressa! Hapana. Habari ya Ukabila, mimi sijaiona kwa huyu jamaa! Hata hivyo ana kabila! (mchaga). Hakuna ushahidi kuwa wengine hawana ukabila! Habari ya ukabila itakufa na muda Tanzania! Magazeti ya Mengi (hasa Thisday na Kulikoni) yamefanya kazi kubwa saana ya kufichua ufisadi jamani! Hata kama kuna wanaodai yanafanya hivyo ili kuwakomoa maadui wa Mengi bado habari wanazoandika ndio hizo zingine zinakuwa mada zetu hapa JF!! Mlitaka mtu afanye nini? Habari ya talaka na mambo kama hayo ni too personal!! Nadhani si hoja zenye uzito!!! Kuna watu huku ulaya na duniani kwingi wametaliki sana na bado ni heros katika uongozi! Hata Mandela alishindwa kulinda ndoa - ingawa kuna watakao mtetea!! Clair short 'aliadoptisha' mtoto wake wa kumzaa akiwa na chini ya mwaka mmoja na amekuja kuonana naye akiwa above 20! Na wala hajali kuwa huyo ni damu yake! Sitetei hizi tabia lakini najaribu kuonyesha kuwa si lazima ziwe kipimo cha uongozi wa umma!!

Tofauti yangu na Kitila ni kwamba sioni kama ni vema Mengi agombee urais, he is already doing enough in the position he is!! Lazima nchi iwe na watu kama yeye. Tuwe na wazalendo kama wengi wa wanaJF! Sidhani kama wazalendo wote wa JF wanatarajia (wanazengea) urais au uongozi wa Siasa! Mimi nadhani nchi kwanza! Anayetaka urais aseme mwenyewe!!! ili sisi tumjadili!! Hizi habari za kupendekeza watu, ndio tunaishia hukohuko kwa akija JK et al!!!
 
thumbnail.aspx


Can this man lead this Nation towards a successfull way?

Muulize kwanza aliambiwa nini na mashabiki wa Yanga siku aliyoenda kuwapatanisha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom