Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Chief Rabbi wa Israel, ameagiza Muinjilisti mwanamama Amanda Elkohen aliyefafariki kwa ugonjwa kansa ya utumbo na kuzikwa katika Makaburi ya wayahudi huko Israel, mwili wake ufukuliwe kutoka katika makaburi hayo.
Muinjilist Amanda pamoja na mumewe, walikuwa wakijifanya nao ni wafuasi wa dini ya kiyahudi na hivyo kuwa wayahudi ilihali walikuwa ni Wakiristo.
Ifahamike kuwa ukiwa Israel, ni marufuku Kuinjilisha, yaani kuwapiga Injili Wayahudi. Kama wewe ni mtu kutoka Taifa jingine ukikutwa unainjilisha basi kosa hilo linatosha kukufukuzisha nchini humo.
Kwa habari zaidi juu ya taarifa hii unaweza kuisoma hapa:
Muinjilist Amanda pamoja na mumewe, walikuwa wakijifanya nao ni wafuasi wa dini ya kiyahudi na hivyo kuwa wayahudi ilihali walikuwa ni Wakiristo.
Ifahamike kuwa ukiwa Israel, ni marufuku Kuinjilisha, yaani kuwapiga Injili Wayahudi. Kama wewe ni mtu kutoka Taifa jingine ukikutwa unainjilisha basi kosa hilo linatosha kukufukuzisha nchini humo.
Kwa habari zaidi juu ya taarifa hii unaweza kuisoma hapa: