Cha msingi si wao kusema,bali wao wathibitishe ukweli juu ya hayo wanayo yasema. Hutaona ukweli wowote juu ya hayo wanayo yasema.Sisi waislam tunasema hivyo, ila wayahudi wenyewe wanasema: sisi waisrael ni umma chaguo la Mungu, na tunapomuomba Mungu, maombi yetu anayakubali hapohapo.
Tuliza akili. Kisha uache utoto.Uficho uliokuwa ukimzunguka MWENDAZAKE uhai wake, hata kifo chake kimezungukwa na uficho ndio maana hata sisi wengi wetu hatuna uhakika kifo chake kimesababishwa na nini.
Afadhali hao wa Bagamoyo Sisi huku Dodoma makaburi ya ndugu zetu hapo Hijra yamepandwa misalaba na kila siku yanapotea viongozi WA dini wametulia kimya kisa wao na familia zao hawazikwi hukoHii hata siyo news. Hapo Bagamoyo miaka michache iliyopita Waislam walitaka maiti ya mtoto Mkristu iliyozikwa kwenye makaburi ya Waislam iondolewe na kweli ilifukuliwa na kuhamishiwa kwingine.
Uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad?Unaandika mambo ambayo huna ushahidi nayo. Nijibu maswali haya.
1. Niambie uyahudi ulianza lini rasmi ?
2. Thibitisha ya kuwa Agano la kale na Qur'aan ni maboresho ya dini ya Uyahudi.
Kingine unaposema Uyahudi ni dini kongwe unatakiwa uainishe ni dini kongwe ukilinganisha na Uislami alio kuja nao mtu,ila Uislamu wa ujumla ulikuwepo hata kabla ya Uyahudi,maana mitume na manabii wote walikuwa Waislamu,maana yake Uislamu ulikuwepo hata kabla ya Uyahudi.
Ukisoma vitabu vya Historia na ukifanya utafiti utaona ya kuwa haijulikani ni lino rasmi Uyahudi ulianza ila zama za Musa Uyahudi haukuwepo ila wapo wanao sema Uyahudi ulianza baada ya kuondoka nabii Suleymani.
Naam Uislamu wa mitume wote ulikuwepo kabla ya Mtume Muhammad.
Udini gani wewe unaouzungumzia, kwani Waisrael ni Wakiristo hadi unihukumu juu kuzungumzia mambo yao?Wewe ndugu yangu Missile of the Nation
kwenye ule uzi wako wa iran inaongoza kuikopesha Tanzania nilikwambia acha udini na utumie akili.
Na Leo narudi tena jarbu kutumia akili na udini uache . Lengo la uzi linaeleweka ila tu nikwambie unapoteza mda wako.
Kua acha utoto umri unaenda familia inakutegemea.
Pamoja na hayo yote bado ni taifa teule.Nani alikwambia Israeli ni Taifa Teule ? Nani alikwambia Mayahudi wana urafiki na Wakristo...?
Kuna kitabu nilisomeshwa kinaongelea Historia ya dini za kale na makundi mbali mbali,ukiingia katika dini ya Uyahudi utaona urafiki wa kinafiki baina ya Uyahudi na Ukristo ulipo anzia,ukienda mbele zaidi utakutana na itikadi za Uyahudi,hapa ndipo kuna kizaa zaa. Mayahudi wanaamini ya kuwq Wanadamu wote ambao si Mayahudi wao ni Mbwa tu na ni wameumbwa kwa ajili ya kuwatumikia Mayahudi.
Tatizo watu hawasomi vitabu na kufanya utafiti.
Kwa hiyo Muhammad hakuuleta uislam?Naam Uislamu wa mitume wote ulikuwepo kabla ya Mtume Muhammad.
Wayahudi weusi wa JF hawatokuelewaHawa wayahudi si ndo waliomsulubisha mesiyah hawa! Inamaana mpaka ss bado wako kinyume na nabii issa(mesiah).
Uislam ni dini ya Allah aliopewa Nabii Adam thn wakafuata manabii wengine mpaka mwisho kaja kuieneza Nabii Muhammad ndio mtume wa mwishoKwa hiyo Muhammad hakuuleta uislam?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hizi mada zake inaonyeshea zinakuchoma sana, ila kama kweli unatafuta knowledge basi ni mda mzuri wa kujifunza mambo mengi kupitia kwake na sio kukasirika, kwanza jamaa anaongea mada zake zenye ukweli ingawaje huwa baadhi ya watu kama nyinyi hampendi, mnataka mada za Israel na marekani wameuwa mama na watoto 100 ndio mnafurahi sioWewe ndugu yangu Missile of the Nation
kwenye ule uzi wako wa iran inaongoza kuikopesha Tanzania nilikwambia acha udini na utumie akili.
Na Leo narudi tena jarbu kutumia akili na udini uache . Lengo la uzi linaeleweka ila tu nikwambie unapoteza mda wako.
Kua acha utoto umri unaenda familia inakutegemea.
Ww utakuwa mfuasi wa mwamposa si bureWewe ndugu yangu Missile of the Nation
kwenye ule uzi wako wa iran inaongoza kuikopesha Tanzania nilikwambia acha udini na utumie akili.
Na Leo narudi tena jarbu kutumia akili na udini uache . Lengo la uzi linaeleweka ila tu nikwambie unapoteza mda wako.
Kua acha utoto umri unaenda familia inakutegemea.
Kuwatetea wayahudi Mkuu, wao wanafuata Torah, na Torah ni kitabu kitakatifu na wayahudi wengi wa ukweli wapo against Israel.Nani alikwambia Israeli ni Taifa Teule ? Nani alikwambia Mayahudi wana urafiki na Wakristo...?
Kuna kitabu nilisomeshwa kinaongelea Historia ya dini za kale na makundi mbali mbali,ukiingia katika dini ya Uyahudi utaona urafiki wa kinafiki baina ya Uyahudi na Ukristo ulipo anzia,ukienda mbele zaidi utakutana na itikadi za Uyahudi,hapa ndipo kuna kizaa zaa. Mayahudi wanaamini ya kuwq Wanadamu wote ambao si Mayahudi wao ni Mbwa tu na ni wameumbwa kwa ajili ya kuwatumikia Mayahudi.
Tatizo watu hawasomi vitabu na kufanya utafiti.
Inaonekana mada zake zinakuchoma kama pasi,na unazifuatilia sana kumbe Eeeh!Wewe ndugu yangu Missile of the Nation
kwenye ule uzi wako wa iran inaongoza kuikopesha Tanzania nilikwambia acha udini na utumie akili.
Na Leo narudi tena jarbu kutumia akili na udini uache . Lengo la uzi linaeleweka ila tu nikwambie unapoteza mda wako.
Kua acha utoto umri unaenda familia inakutegemea.
Wewe jamaa unapotosha..acha upotoshaji kwanini kila siku kulazimisha isaa awe yesu...bure kabisaNacho jua mimi Mayahudi wameshalaniwa na Daudi kadhalika na Issa (Yesu).
Mayahudi walichukua baadhi ya mafundisho ya nabii Musa wakayaingiza katika kitabu chao,na kujidai wanamfata nabii Musa.
Allah awalani Myahudi.
Kingine usichanganye kati ya Israeli na Uyahudi. Hivi ni vitu kando.
Tuki lidurusu hili linalo itwa taifa teule la sasa la mwaka 1948 utakuja kuona ni zao la chama cha kizayuni. Wavamizi na watu waovu tu.
Mlilo liteuwa nyinyi. Ila mbele ya Allah hao ni madhalimu waovu.Pamoja na hayo yote bado ni taifa teule.
Soma nilicho kiandika.Kwa hiyo Muhammad hakuuleta uislam?