Rabbi wa Kiyahudi na familia yake wasilimu

Rabbi wa Kiyahudi na familia yake wasilimu

Uislamu una classes. Akibadili dini mzungu, myahudi ama msanii ama mtu maarufu mmoja wanafurahia sana hata kama wameuawawa waislamu laki 2.

Kwa maana kwamba roho moja ya mtu mmoja maarufu akislimu ina thamani mara elfu 40 kwa Allah kuliko mwarabu ama mtu asie na hadhi yoyote ila ni muislamu.

Ndio maana unakuta uislamu ama waislamu wanatumia nguvu na pesa nyingi sana kusilimisha watu maarufu kama wasanii, waimbaji, wacheza kikapu, mipira ama ngumi kina Tyson ili kutafta legitimacy ya uislamu wao.

Tukisema hii dini ni ya kitapeli watu hawaelewi.
Una ushshidi wa pesa kutumika kusilimisha watu? Tuwekee na sisi tuuone.
 
FaizaFoxy, watu hatushtushwi kwanini mtu anabadili dini, kuamini dini ni uhuru wa kila mmoja. hata sisi wakristo, usijefikiri kwamba huwa tunawapenda wayahudi kwasababu ni watakatifu, hapana, wayahudi ni watu kama sisi tu, wengine wachawi, wengine wanaabudu mashetani, wengine freemason n.k. kama walivyo ndugu zako tu nao wengine wachawi wanafuga majini, wengine waganga wa kienyeji nguli, washirikina na wengine magaidi. wakristo nao hivyo hivyo. Wakristo tunawapenda wayahudi unconditionally, hatuhitaji chochote toka kwao, ila ni Biblia imetuagiza tuwapende, wawe na dhambi au watakatifu, watupende sisi au wasitupende and infact Wayahudi wanaamini wakristo ndio watu hatari zaidi kwao katika imani kwasababu ya kumwamini Yesu, wao wanasema sisi wakristo ni threat kubwa kwenye imani yao ya Kiyahudi kwasababu tangu Yesu awepo sisi wakristo ndio tumekuwa tukiwaattack wao zaidi na kuwaambia dini yao ni ya kizamani na imepitwa na wakati, mahubiri karibia yote ya AGano jipya yanapinga dini ya kiyahudi ambayo haitambui ujio wa Yesu Kristo.

But still we love them. kwahiyo hata kubadili dini awe muislam au awe hata mganga wa kienyeji kwetu sisi hatuwashangai wayahudi kwasababu kwa imani ya Kikristo wayahudi pale walipo sasaivi wakifa au siku ya mwisho ikifika ghafla, wote wataenda motoni isipokuwa wale tu waliompokea na kumwamini Yesu Kristo. hao wote wanaoabudu judaism kwetu sisi wakristo, wamepotoka na hawana tofauti na wanaoabudu uislam na imani zingine na wapo kinyume na Mungu. Wayahudi wanaye Mungu ila hawamwabudu kiusahihi na hiyo ndio sababu Mungu yupo nao kiagano tu kwamba anawalinda na kuwapatia uzima ila kwa habari ya wokovu siku ya hukumu watahukumiwa kwanini walimkataa Yesu na wataenda motoni kama kawaida kwasababu hiyo.

kwetu sisi, hasa tuliookoka, mtu kubadili dini kwenda uislam akitokea dini yeyote, kama alikuwa hajaokoka huwa hatushangai kwasababu huwa tunawaweka wote ninyi kwenye kapu moja, muwe wakatoliki, wasabato, walutheran, wanini nini wote kama hamjaokoka hamna tofauti na wayahudi, waislam, wabudha n.k. na mtaenda motoni kwasababu mnamkataa yule aliyekufa kwa ajili ya wokovu wenu, mnaabudu dini badala ya Mungu, mmechagua kumkataa Roho wa Mungu mkaaamini mafundisho manyonge yasiyookoa. nyote mmepotea.
Kwani tulikwambia "unashtushwa"?

Wewe unangoja nini kuwa Muislam?
 
Hayo yanatukia ili kuthibitisha uwepo wa nguvu kubwa kuliko ya kibinadamu. Tumejisahau sana. Ndio maana covid ., Russia against lgbtq then Israel vs Palestine ambayo ni kuthibitisha uwepo wa Mungu. Bila hivyo tungeamini kuwa hakuna Mungu. Ila kifupi iwepo wa Israel as flag bearer of God's kingdom on earth sijui iliishq au bado..as long wao ndio litmus paper of any Abrahamic religious. Islam bila torah can't exist.
Hiyo "torah" iko wapi? Au unajifurahisha tu?
 
Kwa maana kwamba roho moja ya mtu mmoja maarufu akislimu ina thamani mara elfu 40 kwa Allah kuliko mwarabu ama mtu asie na hadhi yoyote ila ni muislamu.
Huu ni upumbavu, Allah ana ubaguzi wa kifala
 
This haibadilishi Hamas ambao ndio wawakilishi wa Uislam ukatiri wao wa kuteka raia hausameheki lazima wamalizwe ili kukomesha this madness... Kwa wewe kudhani unaonesha wema wa Uislam is stuid same like Shetani anayetaka kukupa utajiri ili akupoteze... Katizame Website za Mashia na Press Tv yanatangaza ushindi na masifa ya kijinga kuliko yako.. waakati raia wanaisha Gaza na westbank... Ujinga wa dini yenu ni kutaka sifa tu hata kaa unapigwa vibaya
 
Unachanganya mada, itakuwaje myahudi halafu uwe Muislam?

Sema wapo Waislam.wengi sana waliokuwa wayahudi zamani, kama ilivyo kwa wakristo. Kuna Waislamnwenginwaliokuwa Wakristo zamani.

Mwengine mpya huyu hapa:

View attachment 2826302
Tizama wajinga hawa.. huyu akizaliwa kipindi cha vita ya Vietnam ange convert na kuwa dini ya Wabudha wa kule maana Vietnam hawana mfano kwa jihadi..

Na hap Gaza Ingekuwa kweli huyo wapo strong kwa Allah wangeendelea tu na Vita wasiachie Mateka.. ukisikia visa vya wajinga wanaingia kwenye Uislam wa Shetani always ni vichekesho.. alafu watamkishwa Shahada huku hawajui tafsiri yake..

Yaani unashuhudia bila kuona eti Allah na Mudy ndie Mtume wake ni uongo mkuu kwa wasio na akili hata punje... only tahahira anaweza toa huo ushahidi.. uzuri wakianza kuusoma uislam na kujua ni ushatani na upagani wanahama tena na kumrejea Jesus
 
Familia maarufu ya Kiyahudi yabadilisha dini kuwa Waislamu. Kiongozi wa kidini wa Kiyahudi aitwaye Rabbi Mort alitangaza kusilimu kwake rasmi. Hapo awali, Rabbi Mort alichukia sana na alikuwa na chuki kwa Waislamu. Hata hivyo, uongozi wa Mwenyezi Mungu ulimjia na akaugeuza kuwa Uislamu. Wakati wa mchakato wa uongofu katika msikiti, Rabbi Mort pia aliwaalika wanafamilia wake wote, pamoja na mkewe. Pia aliambatana na watoto wake.Awali, jina la Rabbi Mort lilienea kwenye mitandao ya kijamii. Kwa sababu hiyo, alikubali kabisa kwamba Mtume Muhammad alikuwa mjumbe wa Allah. Ingawa wakati huo Rabbi Mort alikuwa kiongozi maarufu wa kidini, kutaniko na jumuiya ya Wayahudi walishangaa kusikia uamuzi huu. Hata hivyo, Rabbi Mort alielezea kwa upole kwamba mabadiliko haya yalikuwa sehemu ya safari yake ya kiroho. Alielezea heshima yake kwa mafundisho ya dini ya Kiyahudi, lakini pia alisema kwamba alipata amani na ukweli katika Uislamu. Bila shaka, kauli hii ilifanya baadhi ya vyama kujisikia wasiwasi.Watu kutoka dini yake ya awali mara moja walimshambulia Rabbi Mort kwa kutoa habari mbaya juu yake. Kwa kweli, watu wengi wanahoji ukweli wa hadhi yake kama kiongozi wa kidini.



View: https://youtu.be/eqKyEskoPH8?si=Pvf0voCoHZ7LjZcO

17,476 views Nov 22, 2023 #convertingintoislam #jewish

On this occasion, Islamic Secrets will reveal the story of a prominent Jewish family converting to Islam.A Jewish religious leader named Rabbi Mort announced his official conversion to Islam. Previously, Rabbi Mort really hated and was hostile to Muslims. However, Allah's guidance came down to him and he firmly converted to Islam. During the conversion process at a mosque, Rabbi Mort also invited all his family members, including his wife. and also accompanied by his children.Previously, Rabbi Mort's name went viral on social media. The reason is, he firmly admitted that the Prophet Muhammad was the messenger of Allah. Even though at that time Rabbi Mort was a well-known religious leader, the congregation and Jewish community were shocked to hear this decision. However, Rabbi Mort explained gently that these changes were part of his spiritual journey. He expressed his respect for the teachings of the Jewish religion, but also stated that he found peace and truth in Islam. Of course, this statement made some parties feel uncomfortable.People from his previous religion immediately attacked Rabbi Mort by making negative news about him. In fact, many people question the authenticity of his status as a religious leader.

Hahahahahahaha kumbe habari ya uongo kabisa hii inaonesha kuwa Allah,Mudy na all Muslim n waongo hadi Aya za Uongo Taqiya sio dhambi kwa muislam akidanganya.. never trust Muslim..
FAKE NEWS

View: https://www.youtube.com/watch?v=KUB5gt6-9j0

No real Rabbi would ever refer to the “Samaritan” text and “Masoretic” text – there is just the Torah text in Hebrew. Genesis 21:13 reads:

וְגַם אֶת-בֶּן-הָאָמָה, לְגוֹי אֲשִׂימֶנּוּ: כִּי זַרְעֲךָ, הוּא
This translates as “But also the son of the handmaid I will make into a nation, because he is your seed.” There is nothing “antisemitic” about this; it is the proper translation, and no proper Rabbi would claim otherwise.


In this video, the “Rabbi” mispronounces the word “Tehilim” (psalms), which no Rabbi (or even knowledgeable Jew) would:

View: https://www.youtube.com/watch?v=zox_4lvp8Lk
 
Kifupi vitabu vyote ni historia. Jambo la msingi jifunze kutoka kwenye historia. Hujui kukataliwa kwake kulijulikana?. Na unajua kuja kwake kumetabiriwa. Kipindi amekuja unajua wayahudi walijua anakuja kuwaokoa na nini?. Hivi viitabu yafaa uvisome kwa makini sana
eti unajifanya unamjua sana yesu kwa kumsikia kuliko hao wayahudi walio ishi nae. Jinga kabisa na lidini lako la kiitaliano.
wao waliishi nae na kuona matendo yake na wakamkataa sasa wewe upo zako huko machame unajikuta ndo unamjua sana

Hiyo "torah" iko wapi? Au unajifurahisha tu?
Mudi alikopi torah 100% na kupata ushawishi kwa dini za asili walizokuwa wanasali kwenye makaaba aka ongeza na imani zao. Ndio maana kuna doctrine za majini na black stone hizo zilikuwa ni dini za asili. Kwenye Abraham hakuna hayo mambo. Kifupi hata Bible pia ina mambo kadhaa ya kimisri pia ushawishi wa rumi kwenye injili. As long tunajua Satan is smart aliweza fanya kabla ili kuleta mtafaruku. All In all. Dini yako ikusaidie kuishi ijitosheleze.
 
Ila waislamu bnaa hata Michael Jackson walidai kaslimu ila chakushangaza alizikwa kiikritu.
 
Kwani kwa upande wako uyahudi ni dini,kabila au uraia?

Hiyo picha uliyoweka huyo ni raia wa america hivyo ni kawaida tu tena anaongeza idadi ya mabikra wa peponi akifa
Unachanganya mada, itakuwaje myahudi halafu uwe Muislam?

Sema wapo Waislam.wengi sana waliokuwa wayahudi zamani, kama ilivyo kwa wakristo. Kuna Waislamnwenginwaliokuwa Wakristo zamani.

Mwengine mpya huyu hapa:

View attachment 2826302
 
Familia maarufu ya Kiyahudi yabadilisha dini kuwa Waislamu. Kiongozi wa kidini wa Kiyahudi aitwaye Rabbi Mort alitangaza kusilimu kwake rasmi. Hapo awali, Rabbi Mort alichukia sana na alikuwa na chuki kwa Waislamu. Hata hivyo, uongozi wa Mwenyezi Mungu ulimjia na akaugeuza kuwa Uislamu. Wakati wa mchakato wa uongofu katika msikiti, Rabbi Mort pia aliwaalika wanafamilia wake wote, pamoja na mkewe. Pia aliambatana na watoto wake.Awali, jina la Rabbi Mort lilienea kwenye mitandao ya kijamii. Kwa sababu hiyo, alikubali kabisa kwamba Mtume Muhammad alikuwa mjumbe wa Allah. Ingawa wakati huo Rabbi Mort alikuwa kiongozi maarufu wa kidini, kutaniko na jumuiya ya Wayahudi walishangaa kusikia uamuzi huu. Hata hivyo, Rabbi Mort alielezea kwa upole kwamba mabadiliko haya yalikuwa sehemu ya safari yake ya kiroho. Alielezea heshima yake kwa mafundisho ya dini ya Kiyahudi, lakini pia alisema kwamba alipata amani na ukweli katika Uislamu. Bila shaka, kauli hii ilifanya baadhi ya vyama kujisikia wasiwasi.Watu kutoka dini yake ya awali mara moja walimshambulia Rabbi Mort kwa kutoa habari mbaya juu yake. Kwa kweli, watu wengi wanahoji ukweli wa hadhi yake kama kiongozi wa kidini.



View: https://youtu.be/eqKyEskoPH8?si=Pvf0voCoHZ7LjZcO

17,476 views Nov 22, 2023 #convertingintoislam #jewish

On this occasion, Islamic Secrets will reveal the story of a prominent Jewish family converting to Islam.A Jewish religious leader named Rabbi Mort announced his official conversion to Islam. Previously, Rabbi Mort really hated and was hostile to Muslims. However, Allah's guidance came down to him and he firmly converted to Islam. During the conversion process at a mosque, Rabbi Mort also invited all his family members, including his wife. and also accompanied by his children.Previously, Rabbi Mort's name went viral on social media. The reason is, he firmly admitted that the Prophet Muhammad was the messenger of Allah. Even though at that time Rabbi Mort was a well-known religious leader, the congregation and Jewish community were shocked to hear this decision. However, Rabbi Mort explained gently that these changes were part of his spiritual journey. He expressed his respect for the teachings of the Jewish religion, but also stated that he found peace and truth in Islam. Of course, this statement made some parties feel uncomfortable.People from his previous religion immediately attacked Rabbi Mort by making negative news about him. In fact, many people question the authenticity of his status as a religious leader.

Hii inakusaidia nini wewe?
 
Hii inakusaidia nini wewe?

1701120004375.png
 
Kwani tulikwambia "unashtushwa"?

Wewe unangoja nini kuwa Muislam?
siwezi kuamini dini ya Baal, mungu wa uongo asiyeokoa, mungu anayeyakubali majini kuwa wanaweza kumwabudu tu pamoja na waumini wake, mungu anayeruhusu jihad, mungu anayeruhusu kuua kafir ili akupe mbingu, mungu anayeruhusu kupiga wanawake, mungu wa aina hiyo siwei kumwamini. I WILL NEVER BE A MUSLIM BECAUSE OF THIS, NEVER EVER.
 
dini maana yake ni nini?
eti tunamfata yesu sio dini
huelewi hata unayoyasema.
kukuita mjinga sijakosea
hautaelewa kwasababu wewe unaabudu dini, haujawahi kumwabudu Mungu. hata ukinitukana ruksa, ni kwasababu you've never experiences change ya moyo kwa kukutana na Yesu, sisi hatuabudu ukristo, tunaabudu Mungu moyoni kabisa.
 
Hahahahahahaha kumbe habari ya uongo kabisa hii inaonesha kuwa Allah,Mudy na all Muslim n waongo hadi Aya za Uongo Taqiya sio dhambi kwa muislam akidanganya.. never trust Muslim..
FAKE NEWS

View: https://www.youtube.com/watch?v=KUB5gt6-9j0

No real Rabbi would ever refer to the “Samaritan” text and “Masoretic” text – there is just the Torah text in Hebrew. Genesis 21:13 reads:


This translates as “But also the son of the handmaid I will make into a nation, because he is your seed.” There is nothing “antisemitic” about this; it is the proper translation, and no proper Rabbi would claim otherwise.


In this video, the “Rabbi” mispronounces the word “Tehilim” (psalms), which no Rabbi (or even knowledgeable Jew) would:

View: https://www.youtube.com/watch?v=zox_4lvp8Lk

Mimi aliniambia jamaa yangu mwenyeji wa hiyo dini kwamba as long as unachokisema kinaukuza uislam basi hata kama ni uwongo ”uliotukuka” kwa uwongo huo wale unaowadanganya wakashawishika kukuelewa basi wewe una sehemu yako ya pekee peponi.

So hapa huyu bibi yupo ktk ibada akitafuta pepo usimlaumu.
 
Ila waislamu bnaa hata Michael Jackson walidai kaslimu ila chakushangaza alizikwa kiikritu.
Kujistukia tu,hawajui kama wapo sahihi au lah so hiyo imewajengea hali ya kila saa kutaka kujionyesha nao wamo japokuwa hawajaulizwa.

Huko makanisani wangapi wanaiacha hiyo dini na kubatizwa,upande wa pili wangekuwa na ujinga huu basi humu mada zisingeisha kila siku zingepandishwa hapa.
 
Back
Top Bottom