Rabbi wa Kiyahudi na familia yake wasilimu

Una ushshidi wa pesa kutumika kusilimisha watu? Tuwekee na sisi tuuone.
 
Kwani tulikwambia "unashtushwa"?

Wewe unangoja nini kuwa Muislam?
 
Hiyo "torah" iko wapi? Au unajifurahisha tu?
 
Kwa maana kwamba roho moja ya mtu mmoja maarufu akislimu ina thamani mara elfu 40 kwa Allah kuliko mwarabu ama mtu asie na hadhi yoyote ila ni muislamu.
Huu ni upumbavu, Allah ana ubaguzi wa kifala
 
This haibadilishi Hamas ambao ndio wawakilishi wa Uislam ukatiri wao wa kuteka raia hausameheki lazima wamalizwe ili kukomesha this madness... Kwa wewe kudhani unaonesha wema wa Uislam is stuid same like Shetani anayetaka kukupa utajiri ili akupoteze... Katizame Website za Mashia na Press Tv yanatangaza ushindi na masifa ya kijinga kuliko yako.. waakati raia wanaisha Gaza na westbank... Ujinga wa dini yenu ni kutaka sifa tu hata kaa unapigwa vibaya
 
Unachanganya mada, itakuwaje myahudi halafu uwe Muislam?

Sema wapo Waislam.wengi sana waliokuwa wayahudi zamani, kama ilivyo kwa wakristo. Kuna Waislamnwenginwaliokuwa Wakristo zamani.

Mwengine mpya huyu hapa:

View attachment 2826302
Tizama wajinga hawa.. huyu akizaliwa kipindi cha vita ya Vietnam ange convert na kuwa dini ya Wabudha wa kule maana Vietnam hawana mfano kwa jihadi..

Na hap Gaza Ingekuwa kweli huyo wapo strong kwa Allah wangeendelea tu na Vita wasiachie Mateka.. ukisikia visa vya wajinga wanaingia kwenye Uislam wa Shetani always ni vichekesho.. alafu watamkishwa Shahada huku hawajui tafsiri yake..

Yaani unashuhudia bila kuona eti Allah na Mudy ndie Mtume wake ni uongo mkuu kwa wasio na akili hata punje... only tahahira anaweza toa huo ushahidi.. uzuri wakianza kuusoma uislam na kujua ni ushatani na upagani wanahama tena na kumrejea Jesus
 
Hahahahahahaha kumbe habari ya uongo kabisa hii inaonesha kuwa Allah,Mudy na all Muslim n waongo hadi Aya za Uongo Taqiya sio dhambi kwa muislam akidanganya.. never trust Muslim..
FAKE NEWS

View: https://www.youtube.com/watch?v=KUB5gt6-9j0
No real Rabbi would ever refer to the “Samaritan” text and “Masoretic” text – there is just the Torah text in Hebrew. Genesis 21:13 reads:

וְגַם אֶת-בֶּן-הָאָמָה, לְגוֹי אֲשִׂימֶנּוּ: כִּי זַרְעֲךָ, הוּא
This translates as “But also the son of the handmaid I will make into a nation, because he is your seed.” There is nothing “antisemitic” about this; it is the proper translation, and no proper Rabbi would claim otherwise.


In this video, the “Rabbi” mispronounces the word “Tehilim” (psalms), which no Rabbi (or even knowledgeable Jew) would:

View: https://www.youtube.com/watch?v=zox_4lvp8Lk
 
Kifupi vitabu vyote ni historia. Jambo la msingi jifunze kutoka kwenye historia. Hujui kukataliwa kwake kulijulikana?. Na unajua kuja kwake kumetabiriwa. Kipindi amekuja unajua wayahudi walijua anakuja kuwaokoa na nini?. Hivi viitabu yafaa uvisome kwa makini sana
eti unajifanya unamjua sana yesu kwa kumsikia kuliko hao wayahudi walio ishi nae. Jinga kabisa na lidini lako la kiitaliano.
wao waliishi nae na kuona matendo yake na wakamkataa sasa wewe upo zako huko machame unajikuta ndo unamjua sana

Hiyo "torah" iko wapi? Au unajifurahisha tu?
Mudi alikopi torah 100% na kupata ushawishi kwa dini za asili walizokuwa wanasali kwenye makaaba aka ongeza na imani zao. Ndio maana kuna doctrine za majini na black stone hizo zilikuwa ni dini za asili. Kwenye Abraham hakuna hayo mambo. Kifupi hata Bible pia ina mambo kadhaa ya kimisri pia ushawishi wa rumi kwenye injili. As long tunajua Satan is smart aliweza fanya kabla ili kuleta mtafaruku. All In all. Dini yako ikusaidie kuishi ijitosheleze.
 
Ila waislamu bnaa hata Michael Jackson walidai kaslimu ila chakushangaza alizikwa kiikritu.
 
Kwani kwa upande wako uyahudi ni dini,kabila au uraia?

Hiyo picha uliyoweka huyo ni raia wa america hivyo ni kawaida tu tena anaongeza idadi ya mabikra wa peponi akifa
Unachanganya mada, itakuwaje myahudi halafu uwe Muislam?

Sema wapo Waislam.wengi sana waliokuwa wayahudi zamani, kama ilivyo kwa wakristo. Kuna Waislamnwenginwaliokuwa Wakristo zamani.

Mwengine mpya huyu hapa:

View attachment 2826302
 
Hii inakusaidia nini wewe?
 
Kwani tulikwambia "unashtushwa"?

Wewe unangoja nini kuwa Muislam?
siwezi kuamini dini ya Baal, mungu wa uongo asiyeokoa, mungu anayeyakubali majini kuwa wanaweza kumwabudu tu pamoja na waumini wake, mungu anayeruhusu jihad, mungu anayeruhusu kuua kafir ili akupe mbingu, mungu anayeruhusu kupiga wanawake, mungu wa aina hiyo siwei kumwamini. I WILL NEVER BE A MUSLIM BECAUSE OF THIS, NEVER EVER.
 
dini maana yake ni nini?
eti tunamfata yesu sio dini
huelewi hata unayoyasema.
kukuita mjinga sijakosea
hautaelewa kwasababu wewe unaabudu dini, haujawahi kumwabudu Mungu. hata ukinitukana ruksa, ni kwasababu you've never experiences change ya moyo kwa kukutana na Yesu, sisi hatuabudu ukristo, tunaabudu Mungu moyoni kabisa.
 
Mimi aliniambia jamaa yangu mwenyeji wa hiyo dini kwamba as long as unachokisema kinaukuza uislam basi hata kama ni uwongo ”uliotukuka” kwa uwongo huo wale unaowadanganya wakashawishika kukuelewa basi wewe una sehemu yako ya pekee peponi.

So hapa huyu bibi yupo ktk ibada akitafuta pepo usimlaumu.
 
Ila waislamu bnaa hata Michael Jackson walidai kaslimu ila chakushangaza alizikwa kiikritu.
Kujistukia tu,hawajui kama wapo sahihi au lah so hiyo imewajengea hali ya kila saa kutaka kujionyesha nao wamo japokuwa hawajaulizwa.

Huko makanisani wangapi wanaiacha hiyo dini na kubatizwa,upande wa pili wangekuwa na ujinga huu basi humu mada zisingeisha kila siku zingepandishwa hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…