una shida sanaNinavyowachukia wayahudi sitaki hata kuwasikia....
Wamejipa status ya "uungu"....antichrists S.O.Bs!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una shida sanaNinavyowachukia wayahudi sitaki hata kuwasikia....
Wamejipa status ya "uungu"....antichrists S.O.Bs!
soma hizi zitakusadiaMkuu hebu niambie unavyojua kuhusu hiyo nyota inayodaiwa kuwa ni "star of David"!
Ahazi ndio alidondoka kutoka mbinguni?
Ahazi ndio alidondoka kutoka mbinguni?
mbona umekariri neno mbinguni wakati inaweza ikaamanisha madaraka ya juu?,hebu soma aya kwa aya .
inasemwa aliwashinda wafalme na kupindua miji etc,
sasa lucifer aliyafanya lini hayo?
Hueleweki hata unachotaka kusema hapa
Mara shetani na Yesu kafananishwa
Mara yale maandiko ya kwenye Isaya hayakumhusu Shetani bali mfale Ahaz
Kipi ni kipi?
Halafu umeshasahau thread inahusu nini?
yataka usome aya kwa aya utaconclude kuwa anaongelewa ni mfalme na wala si shetani,ngoja nijaribu kuiweka tena usome nukta kwa nuktaKwanini uone madaraka wakati limeandikwa kua ni mbinguni?
3--Tena itakuwa katika siku ile, ambayo Bwana atakupa raha baada ya huzuni yako, na baada ya taabu yako, na baada ya utumishi ule mgumu uliotumikishwa;
4--utatunga mithali hii juu ya mfalme wa Babeli, na kusema, Jinsi alivyokoma mwenye kuonea; Jinsi ulivyokoma mji ule wenye jeuri!
5--Bwana amelivunja gongo la wabaya, Fimbo ya enzi yao wenye kutawala.
6--Yeye aliyewapiga mataifa kwa ghadhabu, Kwa mapigo yasiyokoma; Aliyewatawala mataifa kwa hasira, Ameadhibiwa asizuie mtu.
7--Dunia yote inastarehe na kutuli
Hapo mkuu kuna story mchanganyiko, wanajaribu kuhihusanisha na mfalme Daudi lakini hakuna vithibitisho vya kuthibitisha hilo... Inasemekana ilianza kutumika mwaka 1897 katika movement za Wazayuni, na ni alama katika dini ya Kiyahudi, kuna theory nyingi kuhusiana na hiyo Star of David, lakini mimi ninaona ni kama madai ya Kiranga tu, ushahidi hakuna...
Ila bado naendela kuchimbua zaidi mkuu...
mbona iko wazi sana,nachoshangaa ni kwa jinsi gani aya hizo zikahusishwa na kutupwa kwa lucifer duniani.Hapa usichoelewa kitu gani mpk uje useme haya maneno yanamhusu King Ahazi? Kwa fasili gani Hiyo uliyotumia?
mbona iko wazi sana,nachoshangaa ni kwa jinsi gani aya hizo zikahusishwa na kutupwa kwa lucifer duniani.
kumbuka neno duniani katika isaya limetumika kuelezea maeneo ya huko wakati huo na si dunia kwa maana tunayoijua sasa
Ndio .....!!
Kwa fasili gani unayotumia? Nitakutolea Mfano Hapa kidogo! Ktk mambo ya unabii Ukiona neno Maji humaani watu! Au mnyama humaanisha tawala! Sasa wewe ktk Hayo mafungu unatumia fasili gani? Naomba unijibu hili swali mkuu!