Rabi Leo Baeck ni nani kwa Israel?

Rabi Leo Baeck ni nani kwa Israel?

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,891
Wakuu ...

Nimekuwa ni mfuatiliaji wa mambo kadhaa hapa ulimwenguni tangu siku moja nilipopewa jarida moja la habari na kukuta taarifa inayomhusu binadamu mmoja anaeitwa Rabi Leo Baeck ...

Jaria lile lilikuwa linasema mengi sana kuhusu kazi za huyu binadamu na mambo yake mengine mengi sana,lakini kitu ambacho kilinistua ni madai ya huyu mtu kuhusishwa na ile alama iliyoko kwenye bendera ya Israel,yaani ile nyota ya pembe sita maarufu kama hexagram

Nyota hii iliwahi kutumiwa na Ujerumani kwenye vita ya Spain ya mwaka 1936,inadaiwa kwenye bendera ya Israel ya kale kulikuwa na alama ya Simba,hata gazeti moja la Uingereza la mwaka 1933,British newspaper, wakati wa vita na Israel liliweka nembo ya Nazi na nembo ya simba kuwakilisha nchi zilizokuwa ziko vitani

Huyu jamaa ana historia na vinavyodaiwa vyama vya siri,lakini pia inadaiwa ana mahusiano na familia ya Adolf Hilter,hapo nilistuka kidogo,kuna mwana familia mmoja wa familia ya Hitler ambae alikuja kuuwawa aliwahi kudai kuwa hakukuwahi kuwepo kwa kitu kinachoitwa mauwaji ya halaiki ya Wayahudi mil 6,makala na maelezo ya huyu marehemu nimekuwa nikizitafuta na sizioni kabisa bali nakutana na nyi ngine tu ambazo zinarejea maelezo ya huyu jamaa

Lakini tofauti na haya,kuna madai kuwa hii Israel tunayoiona leo sio ile ya kale,yaani ile ambayo iko kwenye maandiko ya Biblia,hii ni fake

Najiuliza kama kuna ukweli juu ya hili,unaweza kujiuliza nimekuwaje hadi nimeamua kuuliza hapa,lakini ninachotaka kupata hapa ni maoni ya watu kama wanajua kitu hiki ambacho nakifanyia utafiti maana najua hapa kuna watu wa aina nyingi sana na wana vitu adimu kuacha wale ambao wanajadili mambo kwa kuongozwa na hisia za kidini na chuki

Kwasababu hiyo basi ningependa t ujaribu kulitazama hili ili angalau tufike mahali tusaidiane

Asante ....

Karibuni wakuu Mkuu wa chuo , juve2012 , Ntuzu charminglady Sangarara na wengine .......!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Eiyer ile nyota kwenye bendera ninavyojua inaitwa Star of David na historia ya hiyo nyota ukiiangalia haikuanzia kwenye hiyo miaka hapo juu uliyoitaja historia nia ya kitambo zaidi ya hiyo miaka, halafu hayo maelezo yako sikubaliani nayo, kwasababu kama hii Israel iliyopo ni fake sio yenyewe basi Mungu atakuwa ni muongo, kitu ambacho hakiwezekani... Nadhani hayo maelezo hayajajikita katika reality zaidi...

Kitu kingine inatakiwa kujiuliza je wale watu waliouliwa kule Sobibor na sehemu zingine, je walikuwa ni kina nani, kama sio Wayahudi, Je na wale aliokuwa anawachukia Hitler na kutaka kuwaangamiza wote ilikuwa ni race ipi kama sio jews!? Ni fact kwamba hayo mauaji yalitokea, je kwa idadi hiyo sio halaiki!?
 
Last edited by a moderator:
Labda Niungane Kidogo Na Mleta Mada Kuwa Tofauti Ya Israel Ya Sasa Na Zamani Ni Geographical Area,kusema Israel Ni Fake Lazima Ukwame Mahali From Religious References,and Historical References,kwa Wengi Waliosoma Peagent Of The World History Hawatakubaliana Na Wewe Kabisa
 
Ninavyowachukia wayahudi sitaki hata kuwasikia....

Wamejipa status ya "uungu"....antichrists S.O.Bs!

We Mbantu acha vurugu! Chuki za Waarabu na Waisrael zisikunyime usingizi maana zimejengwa katika misingi ya kihistoria wakati ambapo naamini huku kwetu ustaarsbu ulikua haujafika. Unajua Uislam na Ukristo zote chanzo chake ni Uyahudi? Torat na Injili zote zimeanzia Uyahudi. Kuna mengi ya kuchukia hapa nyumbani na yakaleta maendeleo mfano kuchukia wale wanaotugawa kwa misingi ya dini nitakuelewa. Kuwa Makini. .. unajua wanaojenga u wanna wa ndege Zanzibar ni Wayahudi? Zanzibar ambayo wengi wao ni Waislam Kimsingi wangeweza kusimamia up and wa Palestine. ..
 
Labda Niungane Kidogo Na Mleta Mada Kuwa Tofauti Ya Israel Ya Sasa Na Zamani Ni Geographical Area,kusema Israel Ni Fake Lazima Ukwame Mahali From Religious References,and Historical References,kwa Wengi Waliosoma Peagent Of The World History Hawatakubaliana Na Wewe Kabisa

hivi unajua kua ancient israel kingdom actually ulikua ufalme mdogo sana kieneo?
 
Mkuu Eiyer ile nyota kwenye bendera ninavyojua inaitwa Star of David na historia ya hiyo nyota ukiiangalia haikuanzia kwenye hiyo miaka hapo juu uliyoitaja historia nia ya kitambo zaidi ya hiyo miaka, halafu hayo maelezo yako sikubaliani nayo, kwasababu kama hii Israel iliyopo ni fake sio yenyewe basi Mungu atakuwa ni muongo, kitu ambacho hakiwezekani... Nadhani hayo maelezo hayajajikita katika reality zaidi...

Kitu kingine inatakiwa kujiuliza je wale watu waliouliwa kule Sobibor na sehemu zingine, je walikuwa ni kina nani, kama sio Wayahudi, Je na wale aliokuwa anawachukia Hitler na kutaka kuwaangamiza wote ilikuwa ni race ipi kama sio jews!? Ni fact kwamba hayo mauaji yalitokea, je kwa idadi hiyo sio halaiki!?

Mkuu hebu niambie unavyojua kuhusu hiyo nyota inayodaiwa kuwa ni "star of David"!
 
Mkuu hebu niambie unavyojua kuhusu hiyo nyota inayodaiwa kuwa ni "star of David"!

Hapo mkuu kuna story mchanganyiko, wanajaribu kuhihusanisha na mfalme Daudi lakini hakuna vithibitisho vya kuthibitisha hilo... Inasemekana ilianza kutumika mwaka 1897 katika movement za Wazayuni, na ni alama katika dini ya Kiyahudi, kuna theory nyingi kuhusiana na hiyo Star of David, lakini mimi ninaona ni kama madai ya Kiranga tu, ushahidi hakuna...

Ila bado naendela kuchimbua zaidi mkuu...
 
hao jamaa waongo sana hao waisraeli wana laana
 
Mda mwingine unaakili sana ila nashindwa kuelewa mda mwingine unawaza nini sijui lakini naamini ipo siku utaelewa tu kuhusu jambo moja ambalo ni dogo ila linakusumbua.kwa weledi ulionao naamini kabisa unafanyaga makusudi ila mungu akutangulie "inshallah" itaiona nuru.
 
Ni kivipi wamejaa hiyo status mkuu?

Labda mimi naweza kuchangia kidogo hapa.. Kuna chama cha siri kinaitwa Rothschild naimani sio jina geni kwako we mfuatiliaji wa haya mambo... Sasa Rothschild imetumika kwa kiasi kikubwa sana kumfinance Hitler, sambamba na vatican chini ya kanisa la roman cathoric under, pope pius.. Kwa hivyo basi huu ukoo wakiyahudi wa Rothschild uliingia kwenye mkataba, katika kipindi cha vita ya kwanza ya dunia, chini ya mkataba unaoitwa Tha Barlfoul declaration ambayo by that time palestine was under Britain, sasa kutokana na vuguvugu ya vita ya kwanza na ujerumani kama kawaida kuonekan chachu, nakuonyesha upinzani mkubwa dhidi ya allies, Rothschild ili ishinikiza serikali ya uiingereza, kuwaruhusu wayahudi ambao by that time walikua wanakaa ulaya kuhamia palestine ambayo it was a mandate territory over the Britain.

Makubaliano ya mkataba huu yalikua nikuhakikisha ili ujerumani kushidwa vita, inabidi mtoto wa uingereza ambaye ni Marekani kuingilia katika ya vita au mwishoni wa vita na kuongeza nguvu kwa allies ili washinde vita, na kwa wao kushinda vita ilikua ni kwakusign mkataba wa balfour wa kuwaruhusu wayahudi kuhamia palestine, huku wakiandaa harakati au upenyo au njia ya vita ya pili, na changamoto yote ya holocaust (mauaji ya wayahudi katika vita ya pili), ili wayahudi wapate pakujitetea pakukimbilia walihali wenzao walisha tangulia kabla.

Hivyo basi kwakua mchakato mzima uliundwa na wazayuni, ambao ni hao rothschild, Theodore herlz etc, na wao hao ndio walitunuku hyo bendera na hyo alama ya nyote kua hapo... "Kumbuka Rothschild ni jamii ya siri ambayo zina sadikika kumtumikia muovu ibilisi shetani, kwa wanao amini, na alama ya nyota au hexagram ni nembo kubwa sana kwa hizi jamii za siri na za kishetani" kumbuka kunatofauti sana kati ya uzayuni, ambao naweza kusema ni kama ugaidi kama isis, dhidi ya uisraeli wenyewe ambao tumeweza kuushuhudia katika maandiko matakatifu ambao umeletwa na mitume, manabii na wafalme. Nadhani nimejieleza vizuri.
 
Hapo mkuu kuna story mchanganyiko, wanajaribu kuhihusanisha na mfalme Daudi lakini hakuna vithibitisho vya kuthibitisha hilo... Inasemekana ilianza kutumika mwaka 1897 katika movement za Wazayuni, na ni alama katika dini ya Kiyahudi, kuna theory nyingi kuhusiana na hiyo Star of David, lakini mimi ninaona ni kama madai ya Kiranga tu, ushahidi hakuna...

Ila bado naendela kuchimbua zaidi mkuu...

Mkuu nyota hii haina mahusiano yoyote na Daudi na ina mahusiano na watu flan hivi wanaitwa Tarot na hata ule YHWH ina historia na hao watu pia

Usishangae mkuu hebu watafute hao watu halafu utafakari,hao watu wanajulikana kwa ushirikina tangu zamani sana

Wana kitu kinaitwa Wheel of tarot na utazikuta nyota hizi pamoja na pentagram na nyingine nyingi,hebu kagua mkuu!
 
Labda mimi naweza kuchangia kidogo hapa.. Kuna chama cha siri kinaitwa Rothschild naimani sio jina geni kwako we mfuatiliaji wa haya mambo... Sasa Rothschild imetumika kwa kiasi kikubwa sana kumfinance hitler, sambamba na vatican chini ya kanisa la roman cathoric under, pope pius.. Kwahivyo bas huu ukoo wakiyahudi wa Rothschild uliingia kwenye mkataba, katika kipindi cha vita ya kwanza ya dunia, chini ya mkataba unaoitwa Tha Barlfoul declaration ambayo by that time palestine was under Britain, sasa kutokana na vugu vugu ya vita ya kwanza na ujerumani kama kawaida kuonekan chachu, nakuonyesha upinzani mkubwa dhidi ya allies, Rothschild ili ishinikiza serikali ya uiingereza, kuwaruhusu wayahudi ambao by that time walikua wanakaa ulaya kuhamia palestine ambayo it was a mandate territory over the Britain. Makubaliano ya mkataba huu yalikua nikuhakikisha ili ujerumani kushidwa vita, inabidi mtoto wa uingereza ambaye ni Marekani kuingilia katika ya vita au mwishoni wa vita na kuongeza nguvu kwa allies ili washinde vita, na kwa wao kushinda vita ilikua ni kwakusign mkataba wa balfour wa kuwaruhusu wayahudi kuhamia palestine, huku wakiandaa harakati au upenyo au njia ya vita ya pili, na changamoto yote ya holocaust (mauuaji ya wayahudi katika vita ya pili), ili wayahudi wapate pakujitetea pakukimbilia walihali wenzao walisha tangulia kabla. Hivyo basi kwakua mchakato mzima uliundwa na wazayuni, ambao ni hao rothschild, Theodore herlz etc, na wao hao ndio walitunuku hyo bendera na hyo alama ya nyote kua hapo... "Kumbuka Rothschild ni jamii ya siri ambayo zina sadikika kumtumikia muovu ibilisi shetani, kwa wanao amini, na alama ya nyota au hexagram ni nembo kubwa sana kwa hizi jamii za siri na za kishetani" kumbuka kunatofauti sana kati ya uzayuni, ambao naweza kusema ni kama ugaidi kama isis, dhidi ya uisraeli wenyewe ambao tumeweza kuushuhudia katika maandiko matakatifu ambao umeletwa na mitume, manabii na wafalme. Nadhani nimejieleza vizuri.

Kuna ukweli kwenye maelezo yako ....!!
 
Mda mwingine unaakili sana ila nashindwa kuelewa mda mwingine unawaza nini sijui lakini naamini ipo siku utaelewa tu kuhusu jambo moja ambalo ni dogo ila linakusumbua.kwa weledi ulionao naamini kabisa unafanyaga makusudi ila mungu akutangulie "inshallah" itaiona nuru.

Unamaanisha kitu gani mkuu?
 
THE ILLUMINATI
To answer that question we go back almost another hundred years to what is now the feast of St. Joseph, the Worker, May 1, 1776. On that day a former Jesuit Catholic priest named, Adam Weishaupt, officially organized the Illuminati. The Illuminati, using protocols of Zionism, was the Synagogue of Lucifer or Angel of Light, ushering in the age of Enlightenment. Weishaupt, who took the name"spartacus" set up the Illuminati for the House of Rothschild. Father Weishaupt did this by taking control of the Masonic congress of Wilhelmsbad with the help of Rothschild. It was Weishaupt who convinced the Rothschilds that worship of Lucifer would bring power over the entire world. Weishaupt came to that belief from Scripture itself.
(Matthew 4:8-9)"Again the devil took him up inot a very hight mountain, and showed him all the kingdoms of the world, and the glory of them. And said to him, `All these will I give to you, if falling down you will adore me."
The purpose and goal of the Illuminati was to have a one world government with a puppet dictator controlled by the Rothschilds and their fellow billionairs. This world government would have a world religion, the religion of light, Lucifer. They felt then and feel now that their power comes from weekly worship of Lucifer
 
Back
Top Bottom