Rabi Leo Baeck ni nani kwa Israel?

Rabi Leo Baeck ni nani kwa Israel?

actually walipoligundua tatizo hilo la kumuunga yesu kuwa ndo lucifer bible version mbalimbali zikafanya juhudi kubadili japo kwa machale ndo maana aya hii imejaribiwa kubadilishwa katika kila version ili kujalibu kufuta
 
Wakuu ...

Nimekuwa ni mfuatiliaji wa mambo kadhaa hapa ulimwenguni tangu siku moja nilipopewa jarida moja la habari na kukuta taarifa inayomhusu binadamu mmoja anaeitwa Rabi Leo Baeck ...

Jaria lile lilikuwa linasema mengi sana kuhusu kazi za huyu binadamu na mambo yake mengine mengi sana,lakini kitu ambacho kilinistua ni madai ya huyu mtu kuhusishwa na ile alama iliyoko kwenye bendera ya Israel,yaani ile nyota ya pembe sita maarufu kama hexagram

Nyota hii iliwahi kutumiwa na Ujerumani kwenye vita ya Spain ya mwaka 1936,inadaiwa kwenye bendera ya Israel ya kale kulikuwa na alama ya Simba,hata gazeti moja la Uingereza la mwaka 1933,British newspaper, wakati wa vita na Israel liliweka nembo ya Nazi na nembo ya simba kuwakilisha nchi zilizokuwa ziko vitani

Huyu jamaa ana historia na vinavyodaiwa vyama vya siri,lakini pia inadaiwa ana mahusiano na familia ya Adolf Hilter,hapo nilistuka kidogo,kuna mwana familia mmoja wa familia ya Hitler ambae alikuja kuuwawa aliwahi kudai kuwa hakukuwahi kuwepo kwa kitu kinachoitwa mauwaji ya halaiki ya Wayahudi mil 6,makala na maelezo ya huyu marehemu nimekuwa nikizitafuta na sizioni kabisa bali nakutana na nyi ngine tu ambazo zinarejea maelezo ya huyu jamaa

Lakini tofauti na haya,kuna madai kuwa hii Israel tunayoiona leo sio ile ya kale,yaani ile ambayo iko kwenye maandiko ya Biblia,hii ni fake

Najiuliza kama kuna ukweli juu ya hili,unaweza kujiuliza nimekuwaje hadi nimeamua kuuliza hapa,lakini ninachotaka kupata hapa ni maoni ya watu kama wanajua kitu hiki ambacho nakifanyia utafiti maana najua hapa kuna watu wa aina nyingi sana na wana vitu adimu kuacha wale ambao wanajadili mambo kwa kuongozwa na hisia za kidini na chuki

Kwasababu hiyo basi ningependa t ujaribu kulitazama hili ili angalau tufike mahali tusaidiane

Asante ....

Karibuni wakuu Mkuu wa chuo , juve2012 , Ntuzu charminglady Sangarara na wengine .......!!

If you want to deal with this issue for knowledge sharing and learning we will go well Eiyer. However, I dont think our zealot brothers and sister will let this go peacfully not to cause the closure of your thread.
 
Last edited by a moderator:
actually walipoligundua tatizo hilo la kumuunga yesu kuwa ndo lucifer bible version mbalimbali zikafanya juhudi kubadili japo kwa machale ndo maana aya hii imejaribiwa kubadilishwa katika kila version ili kujalibu kufuta


Huu ni upotoshaji wa hali ya juu
 
Isaiah 14:12-14 New King James Version (NKJV)
The Fall of Lucifer
12 “How you are fallen from heaven,
O Lucifer, [ a ] son of the morning!
How you are cut down to the ground,
You who weakened the nations!
13 For you have said in your heart:
‘I will ascend into heaven,
I will exalt my throne above the stars of God;
I will also sit on the mount of the congregation
On the farthest sides of the north;
14 I will ascend above the heights of the clouds,
I will be like the Most High
 
Isaiah 14:12-14 English Standard Version (ESV)
12 “How you are fallen from heaven,
O Day Star, son of Dawn!
How you are cut down to the ground,
you who laid the nations low!
13 You said in your heart,
‘I will ascend to heaven;
above the stars of God
I will set my throne on high;
I will sit on the mount of assembly
in the far reaches of the north; [ a ]
14 I will ascend above the heights of the clouds;
I will make myself like the Most High.’
 
Isaiah 14:12-14 New International Version (NIV)
12 How you have fallen from heaven,
morning star, son of the dawn!
You have been cast down to the earth,
you who once laid low the nations!
13 You said in your heart,
“I will ascend to the heavens;
I will raise my throne
above the stars of God;
I will sit enthroned on the mount of assembly,
on the utmost heights of Mount Zaphon. [ a ]
14 I will ascend above the tops of the clouds;
I will make myself like the Most High
 
Unachotaka kuendelea kupotosha ni nini?

Isaya 14:12 inasema "SON OF THE MORNING"

Na Ufunuo 22:16 inamalizia kwa kusema "BRIGHT AND MORNING STAR"

Hivyo vitu viwili viko sawa?

actually ile inaitwa nyota ya asubuhi ni sayari ya venus na ndo nyota inayong'aa asubuhi na kilatini no inaitwa lucifer.

na huu unabii wa isaya ulimhusu king ahaz alipofariki dhana kuwa ulimhusu shetani sijui ilipachikwa tu
 
11--Fahari yako imeshushwa hata kuzimu, Na sauti ya vinanda vyako; Funza wametandazwa chini yako, Na vidudu vinakufunika.
12--Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
13--Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
14--Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
15--Lakini utashushwa mpaka kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo.
16--Wao wakuonao watakukazia macho, Watakuangalia sana, wakisema, Je! Huyu ndiye aliyeitetemesha dunia, Huyu ndiye aliyetikisa falme;
17--Aliyeufanya ulimwengu ukiwa, akaipindua miji yake; Asiyewafungua wafungwa wake waende kwao?
 
huo haukua unabii bali isaya akimsimanga marehemu mfalme ahaz
 
Wakuu ...

Nimekuwa ni mfuatiliaji wa mambo kadhaa hapa ulimwenguni tangu siku moja nilipopewa jarida moja la habari na kukuta taarifa inayomhusu binadamu mmoja anaeitwa Rabi Leo Baeck ...

Jaria lile lilikuwa linasema mengi sana kuhusu kazi za huyu binadamu na mambo yake mengine mengi sana,lakini kitu ambacho kilinistua ni madai ya huyu mtu kuhusishwa na ile alama iliyoko kwenye bendera ya Israel,yaani ile nyota ya pembe sita maarufu kama hexagram

Nyota hii iliwahi kutumiwa na Ujerumani kwenye vita ya Spain ya mwaka 1936,inadaiwa kwenye bendera ya Israel ya kale kulikuwa na alama ya Simba,hata gazeti moja la Uingereza la mwaka 1933,British newspaper, wakati wa vita na Israel liliweka nembo ya Nazi na nembo ya simba kuwakilisha nchi zilizokuwa ziko vitani

Huyu jamaa ana historia na vinavyodaiwa vyama vya siri,lakini pia inadaiwa ana mahusiano na familia ya Adolf Hilter,hapo nilistuka kidogo,kuna mwana familia mmoja wa familia ya Hitler ambae alikuja kuuwawa aliwahi kudai kuwa hakukuwahi kuwepo kwa kitu kinachoitwa mauwaji ya halaiki ya Wayahudi mil 6,makala na maelezo ya huyu marehemu nimekuwa nikizitafuta na sizioni kabisa bali nakutana na nyi ngine tu ambazo zinarejea maelezo ya huyu jamaa

Lakini tofauti na haya,kuna madai kuwa hii Israel tunayoiona leo sio ile ya kale,yaani ile ambayo iko kwenye maandiko ya Biblia,hii ni fake

Najiuliza kama kuna ukweli juu ya hili,unaweza kujiuliza nimekuwaje hadi nimeamua kuuliza hapa,lakini ninachotaka kupata hapa ni maoni ya watu kama wanajua kitu hiki ambacho nakifanyia utafiti maana najua hapa kuna watu wa aina nyingi sana na wana vitu adimu kuacha wale ambao wanajadili mambo kwa kuongozwa na hisia za kidini na chuki

Kwasababu hiyo basi ningependa t ujaribu kulitazama hili ili angalau tufike mahali tusaidiane

Asante ....

Karibuni wakuu Mkuu wa chuo , juve2012 , Ntuzu charminglady Sangarara na wengine .......!!

Ni sengee flani hivii
 
Last edited by a moderator:
If you want to deal with this issue for knowledge sharing and learning we will go well Eiyer. However, I dont think our zealot brothers and sister will let this go peacfully not to cause the closure of your thread.
Tayari kuna mmoja ameleta fujo hapo juu

We kagua tu utaona!
 
Last edited by a moderator:
actually walipoligundua tatizo hilo la kumuunga yesu kuwa ndo lucifer bible version mbalimbali zikafanya juhudi kubadili japo kwa machale ndo maana aya hii imejaribiwa kubadilishwa katika kila version ili kujalibu kufuta
Hueleweki hata unachotaka kusema hapa

Mara shetani na Yesu kafananishwa

Mara yale maandiko ya kwenye Isaya hayakumhusu Shetani bali mfale Ahaz

Kipi ni kipi?

Halafu umeshasahau thread inahusu nini?
 
We acha tu!kazi ipo mkuu!kwa hiyo jamaa anataka kusema nini?Yesu ndio Lucifer?!ha ha haa!kazi tunayo na kizazi hiki!
Mkuu nadhani tuachane na hawa wavurugaji

Mkuu hebu nambie,unalijuaje hili ambalo ninalizungumzia hapa kwenye mada?
 
Labda mimi naweza kuchangia kidogo hapa.. Kuna chama cha siri kinaitwa Rothschild naimani sio jina geni kwako we mfuatiliaji wa haya mambo... Sasa Rothschild imetumika kwa kiasi kikubwa sana kumfinance hitler, sambamba na vatican chini ya kanisa la roman cathoric under, pope pius.. Kwahivyo bas huu ukoo wakiyahudi wa Rothschild uliingia kwenye mkataba, katika kipindi cha vita ya kwanza ya dunia, chini ya mkataba unaoitwa Tha Barlfoul declaration ambayo by that time palestine was under Britain, sasa kutokana na vugu vugu ya vita ya kwanza na ujerumani kama kawaida kuonekan chachu, nakuonyesha upinzani mkubwa dhidi ya allies, Rothschild ili ishinikiza serikali ya uiingereza, kuwaruhusu wayahudi ambao by that time walikua wanakaa ulaya kuhamia palestine ambayo it was a mandate territory over the Britain. Makubaliano ya mkataba huu yalikua nikuhakikisha ili ujerumani kushidwa vita, inabidi mtoto wa uingereza ambaye ni Marekani kuingilia katika ya vita au mwishoni wa vita na kuongeza nguvu kwa allies ili washinde vita, na kwa wao kushinda vita ilikua ni kwakusign mkataba wa balfour wa kuwaruhusu wayahudi kuhamia palestine, huku wakiandaa harakati au upenyo au njia ya vita ya pili, na changamoto yote ya holocaust (mauuaji ya wayahudi katika vita ya pili), ili wayahudi wapate pakujitetea pakukimbilia walihali wenzao walisha tangulia kabla. Hivyo basi kwakua mchakato mzima uliundwa na wazayuni, ambao ni hao rothschild, Theodore herlz etc, na wao hao ndio walitunuku hyo bendera na hyo alama ya nyote kua hapo... "Kumbuka Rothschild ni jamii ya siri ambayo zina sadikika kumtumikia muovu ibilisi shetani, kwa wanao amini, na alama ya nyota au hexagram ni nembo kubwa sana kwa hizi jamii za siri na za kishetani" kumbuka kunatofauti sana kati ya uzayuni, ambao naweza kusema ni kama ugaidi kama isis, dhidi ya uisraeli wenyewe ambao tumeweza kuushuhudia katika maandiko matakatifu ambao umeletwa na mitume, manabii na wafalme. Nadhani nimejieleza vizuri.

Hicho unachoelezea ni kama ngano au hadithi za kusadikika. Mimi hawa watu nimekaa kwao kama miaka 5 nikipata muda nitawapa maelezo yote. Lakin pia kwa kukusaidia ni kuwa wapo wayahud uarabun, hasa yemen na persia yaan iran, ethiopia, mpaka india na huko ulaya marekan na south africa australia ni kwingineko. Na awali wakati wayahudi wote wameweka shinikizo wanataka kurudi nyumban. baadh ya mataifa ya ulaya walitaka kuifanya uganda ndio makao yao. Na pia tambua Quran na Bible zinawatambua kama ni wakaz halali wa eneo lile. Ndio maana zinaelezea namna walivyotoka misri. na idadi kubwa ya mitume au manabii kwenye hivyo vitabu vyote ni wayahudi. Swali linlojitokeza ni hili kwanini walichukiwa sana kila walikokuwa. Jibu ni kwamba hawa jamaa walikuwa na mafanikio makubwa sana kimaisha kila walikokuwa. Ngoja nitakuja na majibu ya kila alama ya nembo wanazotumia hawa jamaa.
 
Hicho unachoelezea ni kama ngano au hadithi za kusadikika. Mimi hawa watu nimekaa kwao kama miaka 5 nikipata muda nitawapa maelezo yote. Lakin pia kwa kukusaidia ni kuwa wapo wayahud uarabun, hasa yemen na persia yaan iran, ethiopia, mpaka india na huko ulaya marekan na south africa australia ni kwingineko. Na awali wakati wayahudi wote wameweka shinikizo wanataka kurudi nyumban. baadh ya mataifa ya ulaya walitaka kuifanya uganda ndio makao yao. Na pia tambua Quran na Bible zinawatambua kama ni wakaz halali wa eneo lile. Ndio maana zinaelezea namna walivyotoka misri. na idadi kubwa ya mitume au manabii kwenye hivyo vitabu vyote ni wayahudi. Swali linlojitokeza ni hili kwanini walichukiwa sana kila walikokuwa. Jibu ni kwamba hawa jamaa walikuwa na mafanikio makubwa sana kimaisha kila walikokuwa. Ngoja nitakuja na majibu ya kila alama ya nembo wanazotumia hawa jamaa.
Duh!

Aisee!
 
Back
Top Bottom